Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Unaikumbuka Rossoneri hii iliyoiua Kibebe Kizee cha Turin, Juventus katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 2003 katika dimba la Old Trafford. Hiki ni moja ya vikosi vilivyosumbua sana Ulaya chini ya Jemedari Carlo Ancelotti. Yupi alikuwa mchezaji wako kivutio hapo?