Ac Milan: Miamba ya Soka iliyotikisa Ulaya miaka ya 2000

Ac Milan: Miamba ya Soka iliyotikisa Ulaya miaka ya 2000

Naleta nyuzi zako coz kukuweka sawa uache kujiongopea,

Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
Hahahaha kweli dunia haiishi vitukoooo kwahiyo mzee kabisa unaenda kutafuta nyuzi zangu na kuzileta hahahaha unapata kabisa mda wa kusaka nyuzi za mtu usiemjua sura humu jamii forum yaani upo serious kabisaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jibu swali,umesha shiba dona na utumbo?
JF umefanya burudani wakati kwenye viuzi vyako vya kijinga hua unaishia kutukana watu havyo tu? Wewe ni kakituka ka JF

Nimekushauri tafuta akili,kubadili ID kila mara hakuwezi kukubadilisha wewe punguani.
Hahahaha na hii naibadili Ili uweze kuendelea kunifuatila kumbe mzee hua unafula Kwa hasira kabisa wenzio tunafurahi humu ni burudani wewe mwenzetu unaanza kuchunguza watuna kiwafuatilia hahaha unapata mda kabisa wa kifautilia mtu wa mtandaoni 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha kwahiyo mzee upo serious kabisa unachamba hahahaha kweli dunia haiishi vituko imagine mtu humjui hata sura halafu unamfuatilia hahaha mzee huna mishe nini maana jamii forum ni burudani wewe nakuona mishipa ya shingo imesimama hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe unajua kua huwezi kumuhukumu mtu usiyemjua? Sasa mbona kila wachangiaji hua unajifanya kuwaita masikini wakati masikini wa kweli ni wewe hata nafsi yako inajua,

Naona dawa inakuingia unajibu kila comment yangu.
 
Kuna kipindi wakati gari ya AC MILAN LIMEWAKA KINA EDIGAR DEVIS MZEE WA MIWANI WALIKIWASHA BALAA..

BILA KUSAHAU KUNA MECHI KAKA ALIGONGANISHA BEKI ZA MAN U NA KUPIGA BAO..

KUNA FAINALI YA UEFA 2005 MUUJIZA ILITOKEA ZIDI YA LIVERPOOL BINAFSI NILI IPENDA LIVERPOOL NA STEVEN GERRARD ILIKUA NI FAINALI NGUMU SANAA ULIMWENGU WA SOKA KUSHUHUDIA..
 
Kumbe unajua kua huwezi kumuhukumu mtu usiyemjua? Sasa mbona kila wachangiaji hua unajifanya kuwaita masikini wakati masikini wa kweli ni wewe hata nafsi yako inajua,

Naona dawa inakuingia unajibu kila comment yangu.
Wewe ni masikini sababu tajiri Hana mda wa kifautilia mtu wa mtandaoni tafuta tu hela maana unahasira na mtu ambaye humjui 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha na hii naibadili Ili uweze kuendelea kunifuatila kumbe mzee hua unafula Kwa hasira kabisa wenzio tunafurahi humu ni burudani wewe mwenzetu unaanza kuchunguza watuna kiwafuatilia hahaha unapata mda kabisa wa kifautilia mtu wa mtandaoni 🤣🤣🤣🤣🤣
Wenzio wewe na nani? Ongelea nafsi yako wewe kama wewe,acha kutafuta huruma chiefGodlove fake wa jf.
 
Wenzio wewe na nani? Ongelea nafsi yako wewe kama wewe,acha kutafuta huruma chiefGodlove fake wa jf.
Hasira za nini yaani upo serious kabisa umefula hahahaha dah Leo nimecheka kinyamaaa we jamaa ni kituko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ni masikini sababu tajiri Hana mda wa kifautilia mtu wa mtandaoni tafuta tu hela maana unahasira na mtu ambaye humjui 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona umeanza kujiweka wazi wewe mwenyewe,ndio maana kwenye nyuzi zako hua wanalupiga spana kua tajiri hawezi kushinda jf kwa kuanzisha uzi kila dakika na kujisifu kua ni tajiri,hela hua hazina kelele,

Umepigika na maisha ila njia uliyoichagua ya kufake life hapa jf haiwezi kukufikisha popote mshindia utumbo wewe.
 
Naona umeanza kujiweka wazi wewe mwenyewe,ndio maana kwenye nyuzi zako hua wanalupiga spana kua tajiri hawezi kushinda jf kwa kuanzisha uzi kila dakika na kujisifu kua ni tajiri,hela hua hazina kelele,

Umepigika na maisha ila njia uliyoichagua ya kufake life hapa jf haiwezi kukufikisha popote mshindia utumbo wewe.
Hahahaha yaani unachamba kabisaaaaa mzee huna kazi ha kufanya nini yaani unahasira kama unanijuah hata sura 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hasira za nini yaani upo serious kabisa umefula hahahaha dah Leo nimecheka kinyamaaa we jamaa ni kituko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajibu kila comment yangu na hii ndio faraja kwangu kuona kua dawa inakuingia ila unajibu kila comment kujifariji tu,kwenye viuzi vyako hua unatukana kila mchamgiaji halafu unasema jf unajifurahisha! Ungekua unajifurahisha usingetukana watu,wewe kama wewe huna maana yeyote ndio maana unafake kujiita chiefGodlove,

Hata hapo kitaani kwenu unaonekana ni kakijana ka hovyo sana kaliko jichokea,ukaamua kutafuta faraja jf.
 
Unajibu kila comment yangu na hii ndio faraja kwangu kuona kua dawa inakuingia ila unajibu kila comment kujifariji tu,kwenye viuzi vyako hua unatukana kila mchamgiaji halafu unasema jf unajifurahisha! Ungekua unajifurahisha usingetukana watu,wewe kama wewe huna maana yeyote ndio maana unafake kujiita chiefGodlove,

Hata hapo kitaani kwenu unaonekana ni kakijana ka hovyo sana kaliko jichokea,ukaamua kutafuta faraja jf.
Faraja Gani nimekuchana ukweli mzee hunijui sikujui kumbe unakaa Kila siku unaingia unanifuatilia umeingiza Bei Gani tangia uanze kufuatilia mtu asiekufuatlia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Faraja Gani nimekuchana ukweli mzee hunijui sikujui kumbe unakaa Kila siku unaingia unanifuatilia umeingiza Bei Gani tangia uanze kufuatilia mtu asiekufuatlia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe jf umeshajulikana tayari,badili akili kwanza kisha njoo na ID nyingine tena,ID zako zote 4 zimeshajulikana,kale utumbo utulie sasa.
 
Wewe jf umeshajulikana tayari,badili akili kwanza kisha njoo na ID nyingine tena,ID zako zote 4 zimeshajulikana,kale utumbo utulie sasa.
Tangia uanze kunifuatila umeingiza kiasi gani hahahaha unajua Leo nimecheka kinyama maana nimetulia mda huu ndani nacheka hivi vituko vyako yaani upo serious kabisa unafuatilia mtu humu jamii forum tena unaenda Hadi kusaka nyuzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tangia uanze kunifuatila umeingiza kiasi gani hahahaha unajua Leo nimecheka kinyama maana nimetulia mda huu ndani nacheka hivi vituko vyako yaani upo serious kabisa unafuatilia mtu humu jamii forum tena unaenda Hadi kusaka nyuzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuandika gazeti lote hili ni uthibitisho kua dawa inakuingia kisawa sawa,umebakia kuruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla.
 
Kuandika gazeti lote hili ni uthibitisho kua dawa inakuingia kisawa sawa,umebakia kuruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla.
Umeingiza Bei Gani tangia uanze kunifuatila nijibu Hlii swali usiwe na hasira 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom