Ac Milan: Miamba ya Soka iliyotikisa Ulaya miaka ya 2000

Ac Milan: Miamba ya Soka iliyotikisa Ulaya miaka ya 2000

Mkuu soka la italia sijui limekumbwa na pepo gani?! Kama ilivyo kwa sasa spain wachezaji bara ulaya walikuwa wakitokea serie A. Gang Chomba tafadhali pita hapa.

Wachezaji wote bora walikuwa wakicheza italia. Kuanzia kina Gullit, mpaka George Weah. Msururu ni mtefu dah sheeeder kweli

Nafikiri uwekezaji ndio umechangia soka la Italia kushuka miaka hii.

Zamani wawekezaji wengi wa kubwa walipenda sana serie A baada ya EPL na hata mishahara yao ilikuwa ni mikubwa na ndio maana hata wachezaji wazuri wengi walikimbilia italia, nakumbuka hata wachezaji waliokuwa wananunuliwa kwa dau kubwa walikuwa wanachezea Italy mfano Zidane.

Siku hizi serie A imekosa mvuto kabisa sababu hakuna vipaji vya kutisha kama zama zile
 
Nafikiri uwekezaji ndio umechangia soka la Italia kushuka miaka hii.

Zamani wawekezaji wengi wa kubwa walipenda sana serie A baada ya EPL na hata mishahara yao ilikuwa ni mikubwa na ndio maana hata wachezaji wazuri wengi walikimbilia italia, nakumbuka hata wachezaji waliokuwa wananunuliwa kwa dau kubwa walikuwa wanachezea Italy mfano Zidane.

Siku hizi serie A imekosa mvuto kabisa sababu hakuna vipaji vya kutisha kama zama zile
Word....
 
Jamaa sasa hivi ndio kakabidhiwa timu hadi mwisho wa msimu.
700b731cfc618c73cf96d375c58f0bf3.jpg
Lakini utakumbuka Malegend wengine wazamani wa Ac Milan walishapewa nafasi wakaishia kuchemsha. Kuna Seedorf na Inzaghi ngoja tuone Gattuso atakuja na jipya gani. Ila kwa kifupi Ac Milan ni sikio la kufa
 
Lakini utakumbuka Malegend wengine wazamani wa Ac Milan walishapewa nafasi wakaishia kuchemsha. Kuna Seedorf na Inzaghi ngoja tuone Gattuso atakuja na jipya gani. Ila kwa kifupi Ac Milan ni sikio la kufa
Labda wachezaji hawata muangusha, lakini gattuso ni burudani sana itabidi nianze kufuatilia game za ac Milan kwa ukaribu
 
Aisee wote waudanande ila kwangu rui costa, seerdorf na bwamdogo pirlo kipindi hiko, aisee walikuwa wananikosha mnoo
 
Kutoka kushoto waliosimama;
El Capitano Paolo Maldini, Dida, Shevchenko, Kakha Khaladze, Seedorf, Nesta.

Waliochuchumaa kutoka kushoto;
Inzaghi, Rino Gattuso, Andrea Pirlo ( The Brain of Milan ), Alessandro Costacurta na Rui Costa ( Maestro ).

Hakuna aliyetoka salama pale Sansiro wakati kikosi hiki kikiwa katika ubora wake. Kuna nyakati Ac Milan hii ilikuwa na Beki bora wa Ulaya, Kipa bora wa Ulaya, Mshambuliji bora wa Ulaya.

Leo hii licha ya uwekezaji mkubwa, Ac Milan bado inachechemea na wala haitishi kabisa.
Aisee rui costa alikuwa ni maestro kweli kweli
 
Lakini utakumbuka Malegend wengine wazamani wa Ac Milan walishapewa nafasi wakaishia kuchemsha. Kuna Seedorf na Inzaghi ngoja tuone Gattuso atakuja na jipya gani. Ila kwa kifupi Ac Milan ni sikio la kufa
ila kwa kumfukuza seedorf walibugi sana. Aliibadilisha sana timu kwa kipindi kifupi tena kwa wachezaji ambao walikuwa wamesajiliwa kutoka kwenye kusugua benchi kwenye timu zao. Lakini Seedorf alifanikiwa kuifanya timu icheze soka la kuvutia na kufanikiwa kuipandisha timu hadi nafasi ya saba. Sijui walitumia kigezo kumfukuza labda huenda labda uweusi wake umechangia wamtimue.
 
Hahaha kwahiyo ukahama ac milan
Halafu kuna haka katoto ka juzi kanaiponda AC Milan kisa kameanza kufuatilia soka baada ya kumiliki mobile phone.

 
Halafu kuna haka katoto ka juzi kanaiponda AC Milan kisa kameanza kufuatilia soka baada ya kumiliki mobile phone.

Tafuta hela masikini wewe
 
Wewe tafuta akili kwanza,


Wewe ulishageuka kua ni kakituko ka JF kwa kuanzisha viuzi vya kijinga jinga,na ulisha jishtukia,ndio maana kila mara unabadili ID ila akili mgando ni ile ile tu,

So,tafuta akili kwanza,kubadili ID kwa akili ile ile ni useless.
Tafuta hela masikini wewe
 
Tafuta hela masikini wewe
Naona unajipa matumaini hewa,masikini wa mwisho wewe.


 
Naona unajipa matumaini hewa,masikini wa mwisho wewe.


Tafuta hela masikini wewe
 
Back
Top Bottom