princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Mkuu soka la italia sijui limekumbwa na pepo gani?! Kama ilivyo kwa sasa spain wachezaji bara ulaya walikuwa wakitokea serie A. Gang Chomba tafadhali pita hapa.
Wachezaji wote bora walikuwa wakicheza italia. Kuanzia kina Gullit, mpaka George Weah. Msururu ni mtefu dah sheeeder kweli
Word....Nafikiri uwekezaji ndio umechangia soka la Italia kushuka miaka hii.
Zamani wawekezaji wengi wa kubwa walipenda sana serie A baada ya EPL na hata mishahara yao ilikuwa ni mikubwa na ndio maana hata wachezaji wazuri wengi walikimbilia italia, nakumbuka hata wachezaji waliokuwa wananunuliwa kwa dau kubwa walikuwa wanachezea Italy mfano Zidane.
Siku hizi serie A imekosa mvuto kabisa sababu hakuna vipaji vya kutisha kama zama zile
Lakini utakumbuka Malegend wengine wazamani wa Ac Milan walishapewa nafasi wakaishia kuchemsha. Kuna Seedorf na Inzaghi ngoja tuone Gattuso atakuja na jipya gani. Ila kwa kifupi Ac Milan ni sikio la kufaJamaa sasa hivi ndio kakabidhiwa timu hadi mwisho wa msimu.
Labda wachezaji hawata muangusha, lakini gattuso ni burudani sana itabidi nianze kufuatilia game za ac Milan kwa ukaribuLakini utakumbuka Malegend wengine wazamani wa Ac Milan walishapewa nafasi wakaishia kuchemsha. Kuna Seedorf na Inzaghi ngoja tuone Gattuso atakuja na jipya gani. Ila kwa kifupi Ac Milan ni sikio la kufa
Mkuu sijakuelewa..Siku hiyo Nedved(spelling) alikosa hiyo game baada ya kulimwa kadi ya pili ya njano kwenye nusu fainali. Kwa hoa waliopo hapo kwenye pic Sheva ndio nyoko.
Aisee rui costa alikuwa ni maestro kweli kweliKutoka kushoto waliosimama;
El Capitano Paolo Maldini, Dida, Shevchenko, Kakha Khaladze, Seedorf, Nesta.
Waliochuchumaa kutoka kushoto;
Inzaghi, Rino Gattuso, Andrea Pirlo ( The Brain of Milan ), Alessandro Costacurta na Rui Costa ( Maestro ).
Hakuna aliyetoka salama pale Sansiro wakati kikosi hiki kikiwa katika ubora wake. Kuna nyakati Ac Milan hii ilikuwa na Beki bora wa Ulaya, Kipa bora wa Ulaya, Mshambuliji bora wa Ulaya.
Leo hii licha ya uwekezaji mkubwa, Ac Milan bado inachechemea na wala haitishi kabisa.
Del piero hajawahi kucheza milan mkuuAlesandro del piero,Alesandro Nesta,Demetrio Albertini,Paolo Maldini,Clarence seedof,Dida,Genaro Gatusso,
ila kwa kumfukuza seedorf walibugi sana. Aliibadilisha sana timu kwa kipindi kifupi tena kwa wachezaji ambao walikuwa wamesajiliwa kutoka kwenye kusugua benchi kwenye timu zao. Lakini Seedorf alifanikiwa kuifanya timu icheze soka la kuvutia na kufanikiwa kuipandisha timu hadi nafasi ya saba. Sijui walitumia kigezo kumfukuza labda huenda labda uweusi wake umechangia wamtimue.Lakini utakumbuka Malegend wengine wazamani wa Ac Milan walishapewa nafasi wakaishia kuchemsha. Kuna Seedorf na Inzaghi ngoja tuone Gattuso atakuja na jipya gani. Ila kwa kifupi Ac Milan ni sikio la kufa
Hahaha kwahiyo ukahama ac milanNakumbuka nilikua na jezi imeandikwa philipe Inzaghi....
Opel /0²
jezi yangu ya kwanza kuvaa ni ya AC MILLAN
saivi nmehamia madrid ..millan wamejichokea
Halafu kuna haka katoto ka juzi kanaiponda AC Milan kisa kameanza kufuatilia soka baada ya kumiliki mobile phone.Hahaha kwahiyo ukahama ac milan
Tafuta hela masikini weweHalafu kuna haka katoto ka juzi kanaiponda AC Milan kisa kameanza kufuatilia soka baada ya kumiliki mobile phone.
Hivi hii timu ya Ac Milan inamashabiki kweli
Hivi hii klabu ya ac Milan inamashabiki kweli wakuu maana watu wanaiita klabu kubwa wakati hata mashabiki Haina aisee wazee mnatabu sana timu hata mashabiki watano hawafiki MNASEMA ni klabu kubwa duniani halafu hata uwanja hainawww.jamiiforums.com
Wewe tafuta akili kwanza,Tafuta hela
Tafuta hela masikini weweWewe tafuta akili kwanza,
Wewe ulishageuka kua ni kakituko ka JF kwa kuanzisha viuzi vya kijinga jinga,na ulisha jishtukia,ndio maana kila mara unabadili ID ila akili mgando ni ile ile tu,
So,tafuta akili kwanza,kubadili ID kwa akili ile ile ni useless.
Naona unajipa matumaini hewa,masikini wa mwisho wewe.Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweNaona unajipa matumaini hewa,masikini wa mwisho wewe.
Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia...www.jamiiforums.com
Endelea kujaza tumbo kwa kushindia utumbo,Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini wewe🤣🤣🤣🤣Endelea kujaza tumbo kwa kushindia utumbo,
Nyama ya utumbo na ugali vinafaa kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo?
Kama kichwa cha habari kinavyosema, ugali na nyama ya utumbo wa ng'ombe kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo inafaa au haifai? Wakuu naombeni mnijulishe.www.jamiiforums.com
Nilikwambia umeingia anga ambazo haziingiliki,JF utaiona chungu ChiefGodlove fake wa JF.Tafuta hela masikini wewe🤣🤣🤣🤣