Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu misiba hutofautiana; huu wenu inaelekea unaweza kuwa mkubwa... Inabidi tukufariji. Wenzio wanajua balaa ni kubwa mno; wameingia mitini. Wewe kidume kweli hahahahaHata mjazane wapinzani, mimi nawakilisha mashetani wenzangu, na nyie 2mr msije apa kimyakimya ka GUESTS.
Hata mjazane wapinzani, mimi nawakilisha mashetani wenzangu, na nyie 2mr msije apa kimyakimya ka GUESTS.
SHEtani mwekundu tu. Unaona Man wanavyofanya vurugu eh?Hivi NANI ni nani?
Bila kupga viatu hawa unadhani kuna mpira hapa utahechezwa?SHEtani mwekundu tu. Unaona Man wanavyofanya vurugu eh?
Mkishaandika hivi huwa kawada yenu mna-log off na kuanza kuchungulia kuona hali inakwendaje... NJOO! Mechi ianze ukiwa hapahapa... Leo mnalo hahahaha
Asavalii...................Invisible
Nipo mkuu, hata tufungwe sipotei japo inauma!!..Wewe ndo sikuoni mana ni invisible, ha ha
...haya 😀