AC Milan vs Man UTD...

AC Milan vs Man UTD...

Dihno ***** tu, anatafuta umaarufu kupitia sie, we are coming back to roooooooarrr u guys!
 
Tumewatanguliza kwa baiskeli, sie twaja na X5-BMW
 
Hata mjazane wapinzani, mimi nawakilisha mashetani wenzangu, na nyie 2mr msije apa kimyakimya ka GUESTS.
 
Hata mjazane wapinzani, mimi nawakilisha mashetani wenzangu, na nyie 2mr msije apa kimyakimya ka GUESTS.
Mkuu misiba hutofautiana; huu wenu inaelekea unaweza kuwa mkubwa... Inabidi tukufariji. Wenzio wanajua balaa ni kubwa mno; wameingia mitini. Wewe kidume kweli hahahaha
 
Hata mjazane wapinzani, mimi nawakilisha mashetani wenzangu, na nyie 2mr msije apa kimyakimya ka GUESTS.

Nilikuwa naangalia stats Manure wamecheza na A C Milan 4 times pale San Siro na mara zote wamekung'utwa.
 
Wacha1; hilo sisi sio tatizo, stats ka zingekuwa zinacheza then hadi leo hakuna ambaye angekuwa bingwa wa CL, zaidi ya Mdrd
 
Huyu Dihno anatafutia sifa kwetu badala ya Sauzi June?
 
Becks: halahala kijana, unanyumba jijini Manchster, tutuwaita MAJEMBE AUCTION waku@#$$%,,,,,
 
hapa leo kuna shughuli.........Dihno na Rafael mchaga......
 
Mkishaandika hivi huwa kawada yenu mna-log off na kuanza kuchungulia kuona hali inakwendaje... NJOO! Mechi ianze ukiwa hapahapa... Leo mnalo hahahaha

Invisible

Nipo mkuu, hata tufungwe sipotei japo inauma!!..Wewe ndo sikuoni mana ni invisible, ha ha
 
Mpoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!
 
Na akifunga huyo huwaga hayarudi, waulize Barca!
 
Back
Top Bottom