ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

Inawezekana report hizo unazo zing'ang'ania zilificha mambo kwa manufaa ya wachache kama tulivyokuwa au tunavyo zipigia kelele sheria husika... na kama wanavyosema kuwa report hupingwa kwa report/research na hiki ndicho kilichofanyika kwa muda mfupi wakitegemea report ya mwisho ili tupate majibu au maamuzi ya mwisho pia... bro tusikariri mambo ya tangu mwaka 70s tukasema hakuna kitakachokuja kuwa tofauti baadae...
 
Hawajaondoka tu waondoke maana ata sisi hatuwahitaji vijana wachimbe mwenye bahati akipata tuseme ni bahati yake!!
 
Lugha ya wenyewe hiyo jamani, chetu kiswahili na twakijua vizuri sana na twapaswa kukienzi
 
jana hisa zao zimepanda kwa 3....% kwa DSE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…