ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

Kwani sisi huwa tunaeleweka basi Mkuu. Ni kushabikia tu vitu kama majuha. Tunashabikia report ya kuwananga ACACIA wakati huohuo hatusomi tafiti nyingine zilizofanywa huko nyuma zinazoonyesha kwamba hatuwezi kumudu uwekezaji wa smelter nchini. Halafu hawa watu wanayoyafanya yote yalipewa baraka zote za serikali hiyohiyo inayolialia leo. Upuuzi mtupu. Binafsi nataka kuona independent analysis ya hasara tunayoambiwa tumeingizwa na hawa ACACIA kabla sija comment zaidi.
Unaambiwa smelter zipo hadi ndogo tu. ACACIA hawa fanyi smelting wanauza mchanga kama ulivyo kwa faida kubwa tuu!!
Wabunge wa CCM walizomea bungeni wapinzani walipopinga hii kituu!!
 
hiyo ni report yakwenu sasahivi tuna report mpya inayoonesya data mpya zaidi kwa kuambiwa kuna madini zaidi...

swali lingine hizo report unazo ziandika wewe umezifanyia uchunguzi wewe au hao acacia? na nizamwaka gani bro?
Chillah,mtoa mada ameelezea vizuri sana, Issue ni kuwa kuna udanganyifu kama ni kweli. Ni vizuri tujenge utamaduni wa kusoma na kukumbuka matukio ya nyuma. Mkulu amekurupuka na itakula kwetu upende usipende, Namuombea abadilike na kubehave kama mkuu wa nchi.
 
I think is the time government to wake up and resolve the matter[/QU
There is no need to hurry with this, they have stolen our concentrate for many years now lets do it slow and resolve it with benefit on our side. if the concentrate have small amount of gold why are they want to close the mine let them operate if they claim concentrate have small amount of valuable minerals
 
Go Mr. Go! We needed somewhere to start and This is IT. Not so funny thing is it can go both ways
 
Bro we all advocate for their departure but we must be keen not to extort ourselves on the way
for their 4% let dem go go go mother facxxx. 4% have little effect on our economy. I wish I could be a president so that I can chase them like mice and we can dig our selves even if we use primitive tools the concentrate we can use it for washing our sufuria and decorate our houses
 
Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
acha kudanganya watu soma vizuri uelewe au kingereza chako cha dictionary nini? yaani wote tumeelewa sababu kubwa ni kuzuiwa kwa makontena yenye mchanga ambao ulikuwa unawaingizia milion 1 kwa siku ww unasema hasara hawapati kwa ajili ya mchanga nyie ndio wakina mangungu. MAGUFULI mwanzo mwisho chase dem mother fackkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
 
Watu wameiba tangu wakiwa Barric Gold tunakuja kulialia wakiitwa Acacia na all days mliambiwa hawa wanaiba mkajifanya viburi,wako wapi wabunge walioshabikia?
Basi saivi serikali yenye rais mpya ameamua kulishughulikia. Unaonaje tukampa support basi na sio kulia lia kwamba tuliibiwe zamani. Au hukutaka rais wa sasa alishughulikie?
 
Mm nina wazo Magu akiendelea hivi kukomaa kila sekta kwa kipindi cha mihula yake yote, tubadilishe katiba aendelee kuwa raisi mpaka mwisho wa maisha yake.
 
Watu badala ya kuunga mkono juhudi za serikali walikuwa wakija na vitisho. Eti ijue bodi ya Acacia, eti mossad, sijui mwanasheria wa acacia yupo londo bla bla zilikuwa nyingi kutaka kutuaminisha kuwa serikali yetu si chochote mbele ya wawekezaji. JMT haipingi wawekezaji, bali wawe honest, yaani watu kulipa kwenyewe ni 4% kisha bado wanatuibia. Kama hii habari ni kweli basi serikali inadeserve kupewa hongera, wacha wafunge virago wasepe, atakuja mwekezaji mwengine. Lazima serikali ioneshe kuwa haiyumbishwi na ukubwa wa kampuni wala waliomo kwenye bodi.

Sikubaliani na Magu kwenye baadhi ya vitu lakini mimi mpenda maendeleo akifanya zuri ntampa sifa yake akiboronga nitamkandia tu.

Magu kune lile wanja nasikia ukifika unaambiwa welcome to UAE. Naomba utupie jicho na kule!!! (Utaona hafla jamaa anapata watetezi tena walewale walolalamika)
 
Mpaka wanataka kufungu mgodi, kweli wameshikwa! JPM endelea kukomaa soon utaona uzalishaji wa dhahabu unaongezeka
Chavez alisifiwa hivi hivi ..tazama walichoifanya ile nchi ...haitawaliki tena
 
Tumeibiwa sana, tena sana ila wasiwasi wangu ni hii report kutoaksi ukweli, Sisi kama wachumi tulitaka Report ya ukweli ili tuichambue na kutoa majibu sahihi kwa maendeleo ya taifa leo.
Najua kwa mtu aliyesoma au anayefanya Biashara anajua kitu kinaitwa Operating Cost.

Ili tujue tunaibiwa Kiasi gani, inabidi tujue Price of minerals(gold, Copper, Silver..) in Tanzania sio huko Uk, the Operation cost mpaka unapata hayo Makanikia ndio tujue faida. halafu tukokotoe hiyo faida(Tax,....) tuone tunaibiwa shilingi ngapi. Sio kutumia Selling price ya soko la dunia eti ndicho tunachoibiwa as if huyo investor anaokota hayo madini juu ya arthi kama mchanga wa bahari.

Narudia tena tumeibiwa sana na simutetei huyo mwekezaji wala sina hisa naye ila ukweli ni kwamba kuna process ndefu ili upate madini(Running Cost).
  1. Exploration
  2. Surveing
  3. excavating
  4. Drilling of rock
  5. ...
  6. ...
  7. ...
  8. Manpower
  9. Machineries
  10. Theft
  11. Processing
  12. transportation
  13. Sinking Cost
  14. Marketing & marketing
  15. Interest from Banks
  16. Consultation
  17. Insurance .......................
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo tulihitaji yawepo kwenye report pamoja na Mkataba wenyewe ili wachambuzi tuliyibobea tuyafanyie kazi halafu tutoe ushauri nini kifanyike, ila kama ndio riport inasema kilichomo kwenye makanikia tu hiyo itakua report ya kujinyakulia umarufu wa kisiasa ambao ndio iliyotufikisha hapa tulipo. Bila kusahau hadi leo watanzania wanamsifia Nyerere kwa Maamuzi ya kutoruhusu uchimbaji madini miaka hiyo eti kwa kisingizio cha kuibiwa maamuzi ambayo ni ya **** kwelikweli. poor administration system kwani mwenye nyumba lini akajua kujenga gorofa ila anajiri wasomi(Engerneer) kumjengea kutokana na usimamizi mzuri na haibiwi.

Tatizo hapa ni mkataba! mkataba! mkataba! mkataba! Mibovu sio Makanikia. na magufuli ni sehemu ya tatizo kwani alichangia hata juzi kupitisha mikataba ya gas kwa hati ya dharura. "The problem cannot be Solved by the same person who created it"
Simutetei ni jina la kilabu kijijini kwenu au?
 
Are they referring to the TMAA's Study on the Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania? The study concluded that it was not feasible for a copper concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate.

One of the reasons provided in the study was that the country’s output was too small for this to be economically viable. According to the authors, their opinion was based on the technical and economic factors required for an economically viable Copper Concentrate smelter.

Sasa ona jinsi tunavyojichanganya.

Full report available at http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
Do yo refer to the report ya waliandika hotelini?
 
Sawa, ila mlitarajia wapate nn zaid ya hasara kama gold concentrate ina.constitute karibia 45% ya output katika migodi yao 3?
 
acha kudanganya watu soma vizuri uelewe au kingereza chako cha dictionary nini? yaani wote tumeelewa sababu kubwa ni kuzuiwa kwa makontena yenye mchanga ambao ulikuwa unawaingizia milion 1 kwa siku ww unasema hasara hawapati kwa ajili ya mchanga nyie ndio wakina mangungu. MAGUFULI mwanzo mwisho chase dem mother fackkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
Unachojua ni mother fucker tu, hizo ni lugha za wahuni na jitahidi kuziepuka. Hili ni suala la mkataba unaweza kuwafukuza ila utakacholipa ni zaidi ya utakachopata kwenye hiyo migodi. Unashindwa hata kutengeneza tooth pick ndo uweze kuoperate mgodi!!!. Tatizo ni mikataba na tuanzie hapo. Waarabu wametuzidi sana kwa sababu mikataba yao ilikuwa ni kwa manufaa ya wananchi.
 
Mm nina wazo Magu akiendelea hivi kukomaa kila sekta kwa kipindi cha mihula yake yote, tubadilishe katiba aendelee kuwa raisi mpaka mwisho wa maisha yake.
Makubwa, katiba inasemaje?Yaani unaona mkulu anafanya mambo mazuri sana?Akili kuzitumia vizuri ni faida sana.
 
Mgodi wa Bulya ulikuwa uko scheduled ufungwe baada ya miaka mitatu hata kabla ya hili sakata kutokea. Wanachofanya sasa ni kuharakisha. Nafikiri ni vyema kusubiri kwana an indepenent auditor kabla ya kuwahukumu
 
Sheria ifwate mkondo wake,let there be free ruling on this,Tanzania tumepoteza mabilioni ya fedha ambazo zingewekezwa katika sekta muhimu zinazosuasua mwananchi wa kawaida angeweza kunufaika ila kwa sababu ya ufisadi na utowajibikaji kwa baadhi ya viongozi serikalini tunajipata kama taifa tukipoteza mambo mengi!
 
Back
Top Bottom