Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ule msafara wa makilikili (sijui makinikia) walikua wanachomekea mambo yao (the raw sands) ambazo ndo zilikuwa zinawapa mafaida ya kufa mtu. Si unaona magold ambayo tume iliyakuta kwenye mchanga.Umeona eeee??
Yaani Ule Mchanga ndio kila kitu
Wakimaliza kupiga pasi hayo marinda akili yako itakuwa imekaa sawasurely another Zimbabwe in the making..
Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
Wapo. Lkn hata wakiwepo itasaidia nini zaidi ya kurekebisha makosa?Watu wameiba tangu wakiwa Barric Gold tunakuja kulialia wakiitwa Acacia na all days mliambiwa hawa wanaiba mkajifanya viburi,wako wapi wabunge walioshabikia?
Wakurekebisha makosa ni wabunge sio rais,any sheria lazima iende Bungeni.Wapo. Lkn hata wakiwepo itasaidia nini zaidi ya kurekebisha makosa?
Mkuu nawewe upo upande wa Magu ktk hili? Duuh siamini macho yangu!!Wakwendreeeee
Makontena yalikuwa tupu?Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
Ni kweli,Kwenye ule msafara wa makilikili (sijui makinikia) walikua wanachomekea mambo yao (the raw sands) ambazo ndo zilikuwa zinawapa mafaida ya kufa mtu. Si unaona magold ambayo tume iliyakuta kwenye mchanga.
Ni kweli,
Hii inatokana na Scanner vipofu zisizoona kitu,
Ndio maana walivyo test kwa kuweka machuma ya Reli mle ndani hayakuonekana kwenye scanner
Hujaacha mlango kwa bahati mbaya, walinzi uliowaweka wameshirikiana nae na hilo ulikuwa unalijua. So mmeiba wote kama kweli ushahidi wako ni wa ukweliKwahiyo unataka tumuache mwizi alietuibia kisa tumeacha mlango wazi bahati mbaya?
Are they referring to the TMAA's Study on the Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania? The study concluded that it was not feasible for a copper concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate.
One of the reasons provided in the study was that the country’s output was too small for this to be economically viable. According to the authors, their opinion was based on the technical and economic factors required for an economically viable Copper Concentrate smelter.
Sasa ona jinsi tunavyojichanganya.
Full report available at http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
Are they referring to the TMAA's Study on the Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania? The study concluded that it was not feasible for a copper concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate.
One of the reasons provided in the study was that the country’s output was too small for this to be economically viable. According to the authors, their opinion was based on the technical and economic factors required for an economically viable Copper Concentrate smelter.
Sasa ona jinsi tunavyojichanganya.
Full report available at http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
zuio la makontena yenye nn? maji au pumba?Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
Unajua watu wangapi watakosa ajira na wanafamilia au unashabikia tu? Unadhani ni Arsenal na Man U
Unajua hapa ni ubishi tu wa kibongo. Unajua athari za soko la hisa za kampuni kushuka? Hapa wanahisa na potential shareholders na investors katika Acacia wameshaanza kupoteza imani.