ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

Wabongo kibao hapo vibarua vyao ndo vinakaribia kuota magugu. 97% of Acacia Gold Mining PLC are Tanzanian citizens.
 
Umeona eeee??
Yaani Ule Mchanga ndio kila kitu
Kwenye ule msafara wa makilikili (sijui makinikia) walikua wanachomekea mambo yao (the raw sands) ambazo ndo zilikuwa zinawapa mafaida ya kufa mtu. Si unaona magold ambayo tume iliyakuta kwenye mchanga.
 
Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.

Sasa wewe kumbe ndo hujaelewa hilo la kushuka kwa hisa limekuja juzi tu. Wenyewe wanafunga kwa sababu ya Zuiò la makinikia. Kwenye ule msururu wa mchanga walikuwa wanachomekea mambo yao (raw sands) kwenda nje. Ndiyo maana tume ilikuta kiasi kikubwa cha gold kwenye mchanga kinyume cha sheria.
 
Yaani, hawa wafanyakazi wa TMAA si wakatwe vichwa hadharani jamani lakini!?

Ndiyo wametufikisha hapa Aisee.

Muhongo naye bila kuelewa kinachoendelea nyakati za usiku huko migodini yeye kuhusu mchanga akajitanua kumbe hajaelewa kuwa JPM na UwT wako kazini hawataki mzaha.

Sasa kabla hawajaondoka inabidi walipe kiasi walichoiba Kwa miaka yote hiyo.

Safi Sana President Dr. Magufuli
 
Watu wameiba tangu wakiwa Barric Gold tunakuja kulialia wakiitwa Acacia na all days mliambiwa hawa wanaiba mkajifanya viburi,wako wapi wabunge walioshabikia?
Wapo. Lkn hata wakiwepo itasaidia nini zaidi ya kurekebisha makosa?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wapo. Lkn hata wakiwepo itasaidia nini zaidi ya kurekebisha makosa?
Wakurekebisha makosa ni wabunge sio rais,any sheria lazima iende Bungeni.
Sheria za maana wanazichekea,sheria za Cyber crime ndo wanakomaa nazo
 
JPM endelea na msimamo wako mpaka waondoke, Majizi wakubwa nyie mnaojiita Acacia
 
Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
Makontena yalikuwa tupu?
 
Kwenye ule msafara wa makilikili (sijui makinikia) walikua wanachomekea mambo yao (the raw sands) ambazo ndo zilikuwa zinawapa mafaida ya kufa mtu. Si unaona magold ambayo tume iliyakuta kwenye mchanga.
Ni kweli,
Hii inatokana na Scanner vipofu zisizoona kitu,
Ndio maana walivyo test kwa kuweka machuma ya Reli mle ndani hayakuonekana kwenye scanner
 
Ni kweli,
Hii inatokana na Scanner vipofu zisizoona kitu,
Ndio maana walivyo test kwa kuweka machuma ya Reli mle ndani hayakuonekana kwenye scanner

Baba hiyo imenistua sana. Kwa hiyo kumbe walitest kwa kuweka mavyuma ya reli ambayo ni makubwa hayakuoneka, ikabidi waanze kupitisha raw sands. Duuu
 
Kwahiyo unataka tumuache mwizi alietuibia kisa tumeacha mlango wazi bahati mbaya?
Hujaacha mlango kwa bahati mbaya, walinzi uliowaweka wameshirikiana nae na hilo ulikuwa unalijua. So mmeiba wote kama kweli ushahidi wako ni wa ukweli
 
bro wakijenga watasaidia hata mataifa mengine ya africa ambayo yanashida ya namna hii... hiyo report haikuangalia fursa zaidi ya ubinafsi uliosababisha kuifirisi nchi yetu....

ukipata muda imba wimbo huu "Tazama Ramani"

Are they referring to the TMAA's Study on the Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania? The study concluded that it was not feasible for a copper concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate.

One of the reasons provided in the study was that the country’s output was too small for this to be economically viable. According to the authors, their opinion was based on the technical and economic factors required for an economically viable Copper Concentrate smelter.

Sasa ona jinsi tunavyojichanganya.

Full report available at http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
 
Are they referring to the TMAA's Study on the Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania? The study concluded that it was not feasible for a copper concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate.

One of the reasons provided in the study was that the country’s output was too small for this to be economically viable. According to the authors, their opinion was based on the technical and economic factors required for an economically viable Copper Concentrate smelter.

Sasa ona jinsi tunavyojichanganya.

Full report available at http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf


Kwani sisi huwa tunaeleweka basi Mkuu. Ni kushabikia tu vitu kama majuha. Tunashabikia report ya kuwananga ACACIA wakati huohuo hatusomi tafiti nyingine zilizofanywa huko nyuma zinazoonyesha kwamba hatuwezi kumudu uwekezaji wa smelter nchini. Halafu hawa watu wanayoyafanya yote yalipewa baraka zote za serikali hiyohiyo inayolialia leo. Upuuzi mtupu. Binafsi nataka kuona independent analysis ya hasara tunayoambiwa tumeingizwa na hawa ACACIA kabla sija comment zaidi.
 
Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
zuio la makontena yenye nn? maji au pumba?
 
unataka kutuambia tusichukue hatua zidi ya kibaka ambaye anafanya uhalifu kwa ajiri ya kuhudumia familia yake, kwa maana tukichukua hatua familia yake itateseka? hivyo ni bora kibaka huyo aendelee kuumiza raia kwa kunufahisha familia yake na rafiki zake?

Unajua watu wangapi watakosa ajira na wanafamilia au unashabikia tu? Unadhani ni Arsenal na Man U
 
Ww amka usingizini. Usifikiri hijulikani makontena yana nn. Mlipoambiwa yanapelekwa ulaya kwa further smelting mlidhani wanaenda kufanya smelting ya maji au pumba?
 
Unajua hapa ni ubishi tu wa kibongo. Unajua athari za soko la hisa za kampuni kushuka? Hapa wanahisa na potential shareholders na investors katika Acacia wameshaanza kupoteza imani.

wamepoteza imani zidi ya wizi wa acacia au zidi ya hatua stahiki zinazochukuliwa na serkali yetu kupambana na udharimu huu
 
Back
Top Bottom