ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

Mgodi wa Bulyanhulu, utafiti wake umefanyika kwa miaka mingi kuanzia miaka ya 1970. STAMICO walifanya wakaishiwa pesa na utaalam. Wakafuata Placedome, wakaja Sutton Resources na baadaye Barrick. Utafiti ndiyo unaowezesha mgodi kuanza kujengwa. Mgodi siyo shamba la mahindi au maharage ambalo mazao yake huweza kubadilika kufuatana na msimu au hali ya hewa. Taarifa zilizopatikana kabla ya kuujenga mgodi ni hizo hizo mpaka leo, na ndiyo zinazoongoza uchimbaji na uchenjuaji.

Taarifa hizo hupatikana baada ya kazi ya muda mrefu iliyohusisha watu wengi wenye ujuzi mbalimbali. Sisi ndiyo tuliofanya utafiti. Nilikuwepo pia miaka ya mwanzo ya uzalishaji. Baadaye niliondoka na kuendelea na kazi hizo hizo ndani na nje ya Tanzania mpaka leo. Alichoandika Mruma na wenzake hakipo katika Ulimwengu huu labda kama ni ugunduzi mpya. Na kama ni ugunduzi mpya basi ungekuwa kwa mgodi mpya siyo huu ambao taarifa zake zinafahamika sana.
Inawezekana report hizo unazo zing'ang'ania zilificha mambo kwa manufaa ya wachache kama tulivyokuwa au tunavyo zipigia kelele sheria husika... na kama wanavyosema kuwa report hupingwa kwa report/research na hiki ndicho kilichofanyika kwa muda mfupi wakitegemea report ya mwisho ili tupate majibu au maamuzi ya mwisho pia... bro tusikariri mambo ya tangu mwaka 70s tukasema hakuna kitakachokuja kuwa tofauti baadae...
 
Hawajaondoka tu waondoke maana ata sisi hatuwahitaji vijana wachimbe mwenye bahati akipata tuseme ni bahati yake!!
 
for their 4% let dem go go go mother facxxx. 4% have little effect on our economy. I wish I could be a president so that I can chase them like mice and we can dig our selves even if we use primitive tools the concentrate we can use it for washing our sufuria and decorate our houses
Lugha ya wenyewe hiyo jamani, chetu kiswahili na twakijua vizuri sana na twapaswa kukienzi
 
jana hisa zao zimepanda kwa 3....% kwa DSE
 
Back
Top Bottom