ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

Uzuri wakiondoka hakuna atakae kuja wekeza tena
 
Kwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
Ndiyo! Inamaana bila huo mchanga kusafirishwa hakuna mgodi?
 
Unajua watu wangapi watakosa ajira na wanafamilia au unashabikia tu? Unadhani ni Arsenal na Man U
Hivi nawewe unafahamu ni pesa kiasi gani zinapotea kila mwaka kwenye huo mchanga? Au mzee unalalamatu.
 
Mgodi upo dhahabu zinazopatikana palepale mgodini, pamoja na mchanga ambao ndani kuna madini ni mali ya mwekezaji. Kilichomo kwenye mchanga wanaenda kukitoa huko mbele Europe. Hiyo ni sehemu ya mkataba otherwise waisingechukua mchanga.
 
Tusi tishiane nyau hapa. Kama ilikuwa mchanga tu usio na thamani kubwa kwa nini waondoke. Nina uhakika kama wao walikuwa na haki kwenye hili wange hangaika kwenda mahakamani.
Ukiona wanaondoka hivyo ujue wameshikwa pabaya.
Rais tunaomba wasiondoke mpaka wanetulipa hela zetu.
Eti kuna mtu anasema serekali itapata wapi hela ya kufukia mashimo. Lini na wapi hawa jamaa walisha fukia mashimo baada ya kuchukua madini.
Na wish kumsikia Rais akitoa agizo la kushikiliwa passports zao mpaka vitu vikae sawa.
 
Kati ya makontena ya mchanga na gold inayopatikana pale Acacia (ambapo kuna % ndogo inalipwa ya mapato) ni upande gani hasa Taifa linapoteza ela nyingi?
 
Mgodi upo dhahabu zinazopatikana palepale mgodini, pamoja na mchanga ambao ndani kuna madini ni mali ya mwekezaji. Kilichomo kwenye mchanga wanaenda kukitoa huko mbele Europe. Hiyo ni sehemu ya mkataba otherwise waisingechukua mchanga.
Ni sawa mkataba unaruhusu kubeba mchanga lakini sidhani kama unaruhusu kureport data za uongo!
 
Unaonaje kama ile uchunguzi mwingine huru (unbiased) ukifanywa, wadau wa pande zote mbili (govt na mwekezaji) washiriki kujiridhisha findings, maana Acacia walikataa report ya Tume ya Prezda kwa madai kuna exageration?
 
From what ACACIA is saying that " they will close Bulyanhulu Gold Mine if a ban on exporting copper concentrates ", then it is obvious that there is a more lucrative business with the concentrate than saling pure gold.
It also implies that Bulyanhulu Gold mine has little gold deposite which its value is not worth prospering if the ban continue to be effective. From the obsevery remarks, then it Crystal clear that the Concentrate business is more profitable than what ACACIA tried to make the public to believe.
If that is the case then ACACIA should be more transpirate and declare actual amounts and pay for
Your absolute correct and it doesn't need someone to be Rocket enginner to understand simple mathematics.
Simple Matrix
 
Are they referring to the TMAA's Study on the Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania? The study concluded that it was not feasible for a copper concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate.

One of the reasons provided in the study was that the country’s output was too small for this to be economically viable. According to the authors, their opinion was based on the technical and economic factors required for an economically viable Copper Concentrate smelter.

Sasa ona jinsi tunavyojichanganya.

Full report available at http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
Ushaambiwa watu walitumwa wakaishia hoteli wakarudi. Sasa jiulize hapo kilichowagandisha hoteli wasiendelee na safari yao ya kutafuta smelter ya serikali ni nini??
 
May 27, 2017 | The Telegraph

Mgodi wa Bulyanhulu huenda ukafungwa kufuatia mfululizo wa hasara baada ya Serikali kusitisha usafirishwaji wa mchanga kwenda nje.

Zuio usafirishaji wa mchanga wa madini kwenda nje ya nchi, lilipelekea bei ya hisa za Kampuni ya ACACIA kutetereka kwenye Soko la Hisa la Uingereza (LSE) na Dar es Salaam (DSE).



=======
Acacia Mining is preparing to close a loss-making mine after a row over exports with the Tanzanian government escalated.

Shares in the FTSE 250 gold miner plunged nearly 40pc last week after a report by the Tanzanian government accused it of under-representing the amount of gold in the concentrate it exports, potentially depriving the country of millions in royalties.

The government said that Acacia’s gold output was 10 times greater than it claimed – a level that would “make it third-biggest gold miner in the world”, the company said.

The findings, published with great fanfare on national TV, mean an export ban on gold concentrate imposed at the start of March is likely to continue indefinitely. Acacia is still able to ship out gold bars, which make up 70pc of its output, but estimates that it is losing $1m (£780,000) in revenue every day.

The company, which is dependent on its three mines in Tanzania, has been stockpiling gold concentrate in the hope of a quick end to the dispute. But it is now preparing to close Bulyanhulu mine to stem mounting losses.

Acacia is dependent on three mines in Tanzania
Around 45pc of Bulyanhulu’s output is gold concentrate, and the losses from stockpiling production cannot be offset by sales of gold bars.

Acacia’s Buzwagi and North Mara mines will remain operational for now.

Some observers suggest that Tanzania’s president, John Magufuli, is trying to force Acacia to fund a new gold-smelting industry, but experts say the country’s output is too small for this to be economically viable.

Acacia is petitioning the government to allow a third party to assess its output.

“We need to defend ourselves,” said a person close to the situation. “The numbers are not believable. We are not guilty of a multi-billion dollar fraud.”

A second government committee is looking at gold concentrate production in Tanzania dating back 15 years - roughly the time-span that Acacia, formerly African Barrick, has been operating there. As Acacia is by far the largest miner in the country, it is thought to be the focus of the probe.
Na taarifa isiyoshtua! Bali inafurahisha hadi moyoni. Wasepe
 
So wanataka kutuambia kua ule mchanga (makapi) ndio ulikua wanautegemea kwa kutafuta faida ya kila siku??
Kama ndivyo je dhahabu inayopatikana nayo wanaifanyia nini??
Wafunge tu waondoke wezi hawa, washatuibia sana
Waliowaibia sio wao. Ni wale waliopitisha sheria kwa hati ya dharura na kwenda kusaini mkataba wa uchimbaji hotelini majuu huku wanakunywa wiski.

Mwekezaji anafanya watakacho watawala.
 
Mchanga ungekuwa hauna ziada hawa jamaa wasingelia lia hivi. Pia ungekuta nchi zao ama makampuni yao yameshatoa mkopo Tz ijenge smelter ili waondoke na mzigo safi
 
Waende, wanataka tuwaonee huruma?
Hata watoe chozi la damu, walipe kwanza trillion 286 walizoiba! Halafu inawezekana vipi hayo mabaki ya mchanga ambayo wanasema hayana dhahabu ya kutosha ndio iwatie hasara?

Halafu wanasema mashudu au pumba yana punje kidogo sana (economically not viable), chakushangaza mchozi unawatoka baada ya kuzuia pumba zisitoke kwenda nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom