Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,183
Kama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
Mnashindwa kutengeneza toilet paper mtaweza kuchimba dhahabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
Mkuu informer ni mtu wa ikulu habari zake siku zote ni za KweliKama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
Ok[emoji6] [emoji6] [emoji1] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Umeniwahi, kama tumenyonywa zaidi ya miaka 20 bila faida, ni bora kufaidi msosi na vinywaji sio haba.Huo mnuso sio wa kukosa mlioko karibu. Ni zaidi ya vunja jungu.
sawa ngoja tuone mkuuYatasaidia mkuu...dont underestimate JF
johannesburg ilianza kuchimbwa 1880, kahama 1990.Asante lakini hayo yote waliyofanya ni tofauti kabisa na super super profit waliyopata... Na kwakweli wamefanya kwa kiwango cha chini mno
Johannesburg imejengwa na dhahabu inatopatikana hapo, hebu linganisha J'burg na Kahama unaweza kuona tumeibiwa kiasi gani....
Kuna tukio la kuagana.Kiukweli sijaielewa hii picha
Pambana na hali yakoMaskini Noah zetu.... dah!
![]()
Kalaghabaho, tumebakiziwa mashimo. Washakula vinono vyote pamoja na CCM.
Kweli mkuu mashimo matupu hayaozi labda tuanze kufuga ndezi na vyura.Kama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
Unajifariji? Kwa hiyo unataka Kahama nayo ichukue miaka 100 kuendelea kutokana na uchimbaji wa dhahabu? Hivi huoni mazingira wezeshi ya kuendelea sasa ni rahisi kuliko yalivyokuwa enzi hizo?johannesburg ilianza kuchimbwa 1880, kahama 1990.
hata kama nikikueleza hutanielewa ni bora nikae kimyaUnajifariji? Kwa hiyo unataka Kahama nayo ichukue miaka 100 kuendelea kutokana na uchimbaji wa dhahabu? Hivi huoni mazingira wezeshi ya kuendelea sasa ni rahisi kuliko yalivyokuwa enzi hizo?
Malaysia imeendelea kuanzia miaka ya 1990, leo watoto wa Kitanzania wanakimbilia kwenda kusoma huko!!
Halafu wewe bozo unataka Kahama ichukue miaka 100! Hivi toka paanze kuchimbwa Kahama kumeendeleaje, kama hata huduma za msingi (maji, umeme, elimu, barabara) bado ni hoehae!!??
Ebu fikiria kwa mapana na uone aibu chifu.
Try me...hata kama nikikueleza hutanielewa ni bora nikae kimya
Twende tukashushe duara wakiondoka acaciaTry me...
Watu wengine bana...hata ungeandika kwa Kiswahili bado usingeelewekaIt all depends on two things.
To them it is all about business and Mulla[emoji387][emoji387], if it pays a dividend for them no matter the discourse of locking horn with the government, they will definitely stay.
And secondly, If there are significant risks outweigh the future cash flow and survival of their operation, they will pack and go..
Unfortunately the real fight happening on the government court, it has to prove the loss of earning on their part based on what was written and agreed by the previous administration, i.e. Past Government agreement, which it is significantly HARD to prove..
In other words the war the President has been preaching for far too long, unfortunately it is waged on civil side of court, i.e. It was his government, his administration and his cabinet far a reach from the past who entered in this legit agreement blindly.
And if the new agreement will be reached btn ACACIA and government, let's say they agree to pay royalty from 6% to 30% of the net profit, we will still not be an equal partner, and we shouldn't be celebrating, we are still loosing a significant 20 plus % to make at least 50% partnership.
My instinct and belief this is what will come out of the meeting, but there will be a lot of strong attached to the new agreement legally, for example ACACIA would want the government to pay the cost of stoping the production and loss of earning for months on end now, that means a big cut of the new agreed government royalties dividend and any future breaking of these agreements will come with hefty fine.
I would suggest the government to determine the time scale of these precious materials, how long in terms of tonnage will be able to produce them,
And secondly gauging for the actual cost of production and mining of these metals, having that information will help them in negotiating
And lastly, thinking how can the government be a partner in the process, having a board member within acacia, but that would prove difficulty.
Good luck with the negotiation.