Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Maskini Noah zetu.... dah!
Toyota+Noah+White.jpg
Siamini kama naendelea kubanana kwenye mwendokasi.......maskini nlikuwa nshaenda hadi VETA.
 
Hakuna mtanzania hata mmoja kwa sasa pamoja na serikali kutoa favour juu vitalu vya uchimbaji aliyejaribu kuchimba hata robo ya namna hawa jamaa wanavyochimba Buzwagi na bulyanhulu.

Busolwa mining chini ya muwekezaji mzawa pale Geita anayejulikana kwa jina la BARAKA ndiye pekee aliyejaribu kuwa na modern mining but in small scale, TuLawaka chini ya Serikali imekuwa ikisuasua toka kuanza kwake chini ya serikali lakini ACACIA waliurun mpaka pale walipoufunga baadala ya ore kuleta shida..

Ubinafsi, wivu, uvivu, umalaya, wizi ndio vitu vitakavyotuzonga tutakapojaribu kuendesha hii migodi wenyewe kwa kutumia hawa watu wetu the so called wasomi wasio na skills, knowledge, and exposure..

Njia pekee itakayotusaidia kuimiliki hii migodi ni kusub uchimbaji, na operation zote za mgodi na sisi tusubiri kuletewa miche na kuipeleka sokoni.. Tulipe contractor wetu kwa wakati na tusijaribu kuingilia operation zao baadala yake tucheze na return tu..
 
Kama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
Bashite unachekesha u naandika mwenyewe na kujijibu cha kuchekesha hajui kuwa tumesha ingia kwenye ressecion uchumi umeanguka puu utachukua miaka 20 kuanza kukuwa uchumi unadhani ulikuwa kwa asilimia 6 -7 kwa sababu ya maanasi na matikiti ya chato au kuku wa kienyeji wa karomije ni kwa sababu ya hela ya kigeni iliyopatikana toka migodi
 
Kama hiki Kitu kimetolewa na Informer Kitakua na Ukweli Ndani yake Ni Muda wa Kutuachia Mgodi wetu dhahabu haziwezi Kuoza.
Vipi kuhusu bajeti yenu mliyopanga kwa kupigia mahesabu ya kodi hiyo ya ACACIA namigodi mingine ni nani atafidia?
 
Na ninachojua Hawa jamaa wakifunga mgodi wanafunga kila kitu, kwani hata Mjerumani kuna mashimo waliyafunga hadi Leo hii hakuna anayeweza kuchimba maeneo hayo. Hivyo tutarajie maumivu na uchumi kuporomoka ikiwemo na wawekezaji wa Kigeni kusepa na kutuachia linchi letu Kama lilivyokuwa miaka ya 70.
 
Waendee tuuu wao ndo wamemponza jembe lissu.walisema anapewa hongo kuwatetea masikini kumbe hakuna lolote
 
Kaka mshana wewe ni moja ya watu ninaowaheshimu sana na haitatokea nikujibu kwa namna yoyote mbaya ila ndugu fanya utafiti utagundua kuwa hawa watu kuna mambo mengi sana Mazuri waliyowekeza huko. Nakutajia baadhi ya mambo positive
1: Wameboresha miundo mbinu (barabara ya kutoka mgodini hadi Kahama pamoja na Ile ya kutoka mgodini kwenda Nyamtukunja (kwenye ziwa Victoria
2: Wamevuta maji kutoka ziwa Victoria na wameacha vituo vya kuchota maji kila kijiji lililopita bomba na kipindi kikali cha kiangazi wananchi wamekuwa wananywesha mifugo.
3: Wamejenga shule za kisasa za Secondary hususani ya Bugarama na Bulyanhulu
4: Wamejenga nyumba za walimu za kisasa katika kata Tatu zinazozunguka mgodi
5: Hospital ya kisasa ambayo haipo mkoa mzima wa Shinyanga na ipo Bugarama
6: Ajira na mishahara ambayo labda uwe mkuu wa wilaya kuipata.
7: Miundombinu ya umeme na tayari kabla ya makinikia walikuwa wameshaplan kuleta maji ya ziwa Victoria kwenye vijiji kadhaa vinavyozunguka mgodi.
8: Nyumba zao walizojenga kwa ajili ya wafanyakazi zilizopo Ilogi na Bugarama hakika zimefanya maeneo hayo kuonekana kama mjini kabisa.
9: Stand na soko lililopo Bugarama na hadi sasa limekuwa chanzo kikubwa cha mapato katika wilaya ya Msalala. Mengine siyakumbuki
NB: Huko ni nyumbani so kila updates nazipata na nishawahi kuwa miner hapo mgodini
Asante lakini hayo yote waliyofanya ni tofauti kabisa na super super profit waliyopata... Na kwakweli wamefanya kwa kiwango cha chini mno
Johannesburg imejengwa na dhahabu inatopatikana hapo, hebu linganisha J'burg na Kahama unaweza kuona tumeibiwa kiasi gani....
 
System haikurupuki na haitakaa ikurupuke Vyote ulivyotaja ni faida wanayopata kwa sku 2...kama hawako tayari kubadilika waondoke tu
17_thumb_egoli01.jpg
egoli-place-of-gold-or.jpg
tamthiliya maarufu ya Egoli inaweza kukupa picha halisi ya matunda ya dhahabu Jburg
 
Back
Top Bottom