Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Prof Mruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu punguza utani kidogo ...tuweke hoja za kuisaidia serikali kama tulivyozoeleka hapa JFNapendekeza migodi yote imilikiwe na CCM.
Hiyo ni historia mkuu..sheria zishabadilikaMkuu ukumbuke pale bulyanhulu jamaa wanaleseni ya uchimbaji 100yrs na bwana mmoja alisaini pia mkataba 100yrs..
Nafikiri umeniquote kimakosa mkuu..Ktendo cha kusea
Acha kuleta siasa katika vitu visivyo itaji siasa
Sijakusoma mdau![emoji630] siku nyingi tu
Hiyo ni historia mkuu..sheria zishabadilika
Yatasaidia mkuu...dont underestimate JFmapendekezo ya jf hayatasaidia.ila tunahitaji stamico imara
Wachina off courseTupige kura kujua ni nani anafaa kupewa umiliki wa kuchimba madini baada ya uwekezaji usio na tija kukoma?
Kasome sheria zaidiNani kakudanganya kuna sheria huwa inaaply kwa mtu aliyekuwepo kabla ya hiyo sheria, vinginevyo umlipe..
Mkuu uchimbe kwa jembe?Hivi HaWa accacia wakiondoka nasi tukianza kuvuna dhahabu kwa kutumia zana zetu, je tutaingiza hiyo dhahabu kwenye masoko gani? Naomba msaada kwa wale wanaoelewa uchumi wa madini duniani namna unavyoendeshwa.