Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

"One team"

Hayo maneo mawili mnapaswa kuyaelewa kabla ya ku-conclude na msisahau kuna mgodi mmoja unakaribia kufungwa.

Vile vile hii ni ishara kuwa mazungumzo hayana dalili ya kuleta muafaka zaidi ya kupelekana mahakamani.
Maana yake timu yao imefanya kazi vizuri. Hayo maneno " one team" ni ya kupongezana.
 
"One team"

Hayo maneo mawili mnapaswa kuyaelewa kabla ya ku-conclude na msisahau kuna mgodi mmoja unakaribia kufungwa.

Vile vile hii ni ishara kuwa mazungumzo hayana dalili ya kuleta muafaka zaidi ya kupelekana mahakamani.
Hisia. No analysis.
 
Ni lini CCM iliwahi kuukataa uwizi wa raslimali za nchi hii?? [emoji56] [emoji87]
Ni mwaka juzi tu mlilazimisha kupitisha usiku wa manane sheria ya Gas na mafuta!! Ambayo nayo hamwezi kuitengua kama ilivyo kwenye dhahabu. Shame on U ccm !!
Red Giant Mchana nimeuliza serikali ilisaini mikataba ya Mafuta.....

Naomba kuuliza Tanzania tunachimba Mafuta??
 
Nikisoma hilo bango na kinachozungumzwa ni tofauti...kweli ni kazi kubwa kuiongoza tz
 
Hivi HaWa accacia wakiondoka nasi tukianza kuvuna dhahabu kwa kutumia zana zetu, je tutaingiza hiyo dhahabu kwenye masoko gani? Naomba msaada kwa wale wanaoelewa uchumi wa madini duniani namna unavyoendeshwa.
 
Mtetezi wao yuko Nairobi kesho BAVICHA wanamuombea Sala Maalum huko Dar es Salaam; wambie wasubiri kidogo.
Hawa wanaume mshua alishatuambia wamekubali kutulipa Noah zetu. Sasa wanataka kutuacha na simanzi
 
"One team"

Hayo maneo mawili mnapaswa kuyaelewa kabla ya ku-conclude na msisahau kuna mgodi mmoja unakaribia kufungwa.

Vile vile hii ni ishara kuwa mazungumzo hayana dalili ya kuleta muafaka zaidi ya kupelekana mahakamani.
Ktendo cha kusea
Baada ya kushirikiana na watanzania wenzetu chini ya serikali ya ccm kutuvuna kwelikweli!
Baada ya kushirikiana na watanzania wenzetu chini ya serikali ya ccm kutuvuna kwelikweli!
Acha kuleta siasa katika vitu visivyo itaji siasa
 
Back
Top Bottom