Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Acha waende tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upi huo mkuu? siyo GGM kweli..?"One team"
Hayo maneo mawili mnapaswa kuyaelewa kabla ya ku-conclude na msisahau kuna mgodi mmoja unakaribia kufungwa.
Acha waende tu.
Mfanyabiashara kwenye maslahi haendi hivi hivi don't be stupid!
It is all about BiG mullah[emoji387][emoji387][emoji387][emoji387] or small cash [emoji387]
Both it is a yes yes for them..
Buzwagi Gold Mine Kuna kitu kinaitwa MAISHA BAADA YA MGODI KUFUNGWA., kuna trainning na semina mbalimbali zinatolewa.Hawawezi kufunga kama wanafunga kiosk. Hilo ni kampuni liko listed NYSE, LSE, TSE na hata kaDSE. Lazima watatangaza rasmi kuwa wanafunga kabla ya kuchukua hatua kama hiyo. Kwa sasa wametangaza wako kwenye Care and Maintenance, ambayo ni aina fulani ya kustopisha shughuli zote za uzalishaji. Hata Dangote walifanya hivyo walipozuiwa kuagiza makaa ya mawe kuyoka Afrika Kusini. Pia ni namna ya kiutu uzima kutangaza kuwa hauridhiki na hali inavyoenda.
The fact kuwa watu wanaweza kufikiria wanafunga ni muendelezo ule ule wa uswahili wetu, uliojikita katika fitna, vijicho, ulaghai nk. Huu uswahili unafanya tufikiri na wengine wanaweza kufanya vitu vya ajabu ajabu.
Ni kama wanaaga team moja inayoondoka.![]()
More to follow...
Si mliwapa? Leo mnawaita wezi duuh!Wakwendreeee kureee nyamafu hawa! Wameiba mpaka wakavimbiwa
Itakuwa ni kweli walikuwa wanatupiga kwenye ule mchanga!Kwanini wanafunga mgodi wakati serikali haijazuia biashara yao kuu -dhahabu? Au Makinikia yana faida kuliko dhahabu?
nenda googlekwani one team farewell event kwa kiswahili maana yake ni kuondoka naomba kuuliza?
Shida watarudi wakiwa kwenye glasi nyinginetayari wanaondoka zao hao.
Nilishachukua advance kwa mtu nafanya biashara ili Noah ikija nampatia Noah animalizie hela, dah sijui itakuajeMaskini Noah zetu.... dah!
Dah vyuma vyetu vinasepa mchana kweupeNilishachukua advance kwa mtu nafanya biashara ili Noah ikija nampatia Noah animalizie hela, dah sijui itakuaje
Babu njoo Miller Pub mbweni uambulie japo bia za kupunguza machungu ya Noah ...Dah vyuma vyetu vinasepa mchana kweupe
View attachment 589614
Ccm, Ccm aaahhhh! Chama cha Mapinduzi, Ccm Number One!!Wazungu wakiwa wanaiba Madini yetu na CCM Kuukataa Wizi ndo wanaua Nchi Shame!
Dah.. kiongozi kiu imenishika ghafla... Kaisari kanibana ningefika hapo fasta...Babu njoo Miller Pub mbweni uambulie japo bia za kupunguza machungu ya Noah ...
Ndo mlowaletaWazungu wakiwa wanaiba Madini yetu na CCM Kuukataa Wizi ndo wanaua Nchi Shame!