Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Siiamini StamIco!! Siyo muumini wa Eti stamico iliyoboreshwa! You know why? Kwa sababu sina imani na huyo mboreshaji! Sina imani na maboresho yenyewe,sina imani na tija itayoletwa na uboreshaji wenyewe! Kwa kuwa nina kumbukumbu nzuri! Kwa miongo kadhaa hakujawahi kuwa na manufaa yoyote yaliyoletwa na uboreshaji wa huyo mboreshaji!! Nakumbuka kipindi kile cha mauaji makubwa ya Tembo wetu kuna kura iliwahi kupigwa hapa!! Na matokeo yake asilimia kubwa walitamani hata Hao Tembo wangebadilishwa kwa KUKU angalao wangepata mayai na nyama!! Maana kwao Tembo hawakuwa na faida yoyote ya moja kwa moja, so is those mines!! Kwa wengi haina faida kabisa! Labda waajiriwa wa migodini,ila kwa sisi huku tungeona bora hayo maeneo mngetupa walau tulime maboga!! Hizo tanzaNite na dhahabu zenu hazina faida yoyote kwetu!!! Mpeni tu mtu yeyote! Hata kichaa! Nothing real matter!
 
Wachimbaji wadogo wadogo zaidi ya hapo ni kukwepa mkojo na kukanyanga mavi, tusameheane kwa ukakasi wa maneno but that's a fact
 
Kaka mshana wewe ni moja ya watu ninaowaheshimu sana na haitatokea nikujibu kwa namna yoyote mbaya ila ndugu fanya utafiti utagundua kuwa hawa watu kuna mambo mengi sana Mazuri waliyowekeza huko. Nakutajia baadhi ya mambo positive
1: Wameboresha miundo mbinu (barabara ya kutoka mgodini hadi Kahama pamoja na Ile ya kutoka mgodini kwenda Nyamtukunja (kwenye ziwa Victoria
2: Wamevuta maji kutoka ziwa Victoria na wameacha vituo vya kuchota maji kila kijiji lililopita bomba na kipindi kikali cha kiangazi wananchi wamekuwa wananywesha mifugo.
3: Wamejenga shule za kisasa za Secondary hususani ya Bugarama na Bulyanhulu
4: Wamejenga nyumba za walimu za kisasa katika kata Tatu zinazozunguka mgodi
5: Hospital ya kisasa ambayo haipo mkoa mzima wa Shinyanga na ipo Bugarama
6: Ajira na mishahara ambayo labda uwe mkuu wa wilaya kuipata.
7: Miundombinu ya umeme na tayari kabla ya makinikia walikuwa wameshaplan kuleta maji ya ziwa Victoria kwenye vijiji kadhaa vinavyozunguka mgodi.
8: Nyumba zao walizojenga kwa ajili ya wafanyakazi zilizopo Ilogi na Bugarama hakika zimefanya maeneo hayo kuonekana kama mjini kabisa.
9: Stand na soko lililopo Bugarama na hadi sasa limekuwa chanzo kikubwa cha mapato katika wilaya ya Msalala. Mengine siyakumbuki
NB: Huko ni nyumbani so kila updates nazipata na nishawahi kuwa miner hapo mgodini

mshana jr anaogopa watu wasiojulikana,,so must awe mzalendo wa UKUKU
 
Bora walau hili tuachane nalo hata kama limetula lakini inatosha
HAPA NDIPO NAONA MITANZANIA WAGA MIPUMBAFUU SISI....AKIJA RAIS MWINGINE AKASEMA HAWA WAWEKEZAJI TULIKOSEA KTK ZILE RIPOTI ZA MRUMA ..ACACIA HAWANA HATIA WAENDELEE NA UCHIMBAJI ....NAJUA TU KWA JINSI MLIVYO MTASHANGILIA NA KUUNGA KAULI HIII.....SO STUPID STUPID STUPID YAANI MPAKA KEROOO
 
makinikia yetu yatatuvimbia. Halafu madai yanafuatia
 
Siiamini StamIco!! Siyo muumini wa Eti stamico iliyoboreshwa! You know why? Kwa sababu sina imani na huyo mboreshaji! Sina imani na maboresho yenyewe,sina imani na tija itayoletwa na uboreshaji wenyewe! Kwa kuwa nina kumbukumbu nzuri! Kwa miongo kadhaa hakujawahi kuwa na manufaa yoyote yaliyoletwa na uboreshaji wa huyo mboreshaji!! Nakumbuka kipindi kile cha mauaji makubwa ya Tembo wetu kuna kura iliwahi kupigwa hapa!! Na matokeo yake asilimia kubwa walitamani hata Hao Tembo wangebadilishwa kwa KUKU angalao wangepata mayai na nyama!! Maana kwao Tembo hawakuwa na faida yoyote ya moja kwa moja, so is those mines!! Kwa wengi haina faida kabisa! Labda waajiriwa wa migodini,ila kwa sisi huku tungeona bora hayo maeneo mngetupa walau tulime maboga!! Hizo tanzaNite na dhahabu zenu hazina faida yoyote kwetu!!! Mpeni tu mtu yeyote! Hata kichaa! Nothing real matter!
Stamico wameshindwa kuendesha Tulawaka. Tangu waichukue hadi leo hawajatengeneza hata senti tano. Wanakula pesa tu. Wabongo kukurupuka hawajambo
 
Wanaondoka lakini si ajabu wakaibukia mahakama ya usuluhishi.
Hawaondoki wanaenda kufinalize kesi huwezi kumshitaki mtu ukiwa bado unachimba unasusa ili gharama ziwe endelezi ..........
 
Tupige kura kujua ni nani anafaa kupewa umiliki wa kuchimba madini baada ya uwekezaji usio na tija kukoma?
Umejuaje kuwa uwekezaji huu hauna tija ? Tuanzie hapo kwanza? Au na wewe ndio umemezeshwa maneno kuwa tunaibiwa ktk makinikia ?
 
Mgodi sio kitu cha kufikirika kama serikali na watanzania tunavyojaribu kuaminishana..

Ukweli ni kwamba Manufaa ya Migodi kwa Tanzania yalikuwa madogo sana LAKINI CHANZO CHA HAYA YOTE NI SERIKALI, wenye migodi ni wafanyabiashara na sio charity organization kama tunavyojaribu kuaminisha.. Walipokuja hapa kuwekeza walikaa chini na kujadiliana kibiashara juu ya investment zao, hapa vilitumika vichwa ili kila mtu apate chake chenye faida kwake hapa ndipo tulipoamua wenyewe nini cha kulipwa, ADUI YETU NAMBA MOJA NI SERIKALI YA CCM KWA KUSHINDWA KUNEGOTIATE KWA MASLAHI YA WATANZANIA NA TANZANIA..

Mgodi kama moja ya investment kubwa hauhitaji siasa katika daily operation zake, kuanzia kule shimoni aka pit, process plant, logistics and supply chain, finance up to security. Skills, knowledge, Exposure, training, experience, good salary and benefits, insurances and safety, hivyo vyote ndio silaha ya mining.. Kwa sababu ya skills, good knowledge and exposure unakuta kijana wa Veta au asiye na cheti analipwa 8millions na anadeliver to expection or over expections, siamini kama huyu kijana tutakubali kumlipa kiasi hiki na sio laki mbili, vipi tuko tayari kumlipa GM USD 25k to 50k maana hata wale wenye kulipwa tsh milioni 35 tumesema ni nyingi, na je hawa wabunge na mawaziri watakubali watoto wauswazi maminer wanaokula vumbi kulipwa kima cha chini tsh 1.5milioni huku watoto zao kwenye kiyoyozi wenye degrees without skills and knowledge wakilipwa tsh laki nane??

Mgodi sio siasa na theory, Mgodi ni uhalisia na kutenda..
 
Back
Top Bottom