Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Mi nimeona hapo red tu baaaaas...

Hayo makinikia tuliyaacha tangu enzi za Nyerere mnataka mfaidi peke yenu?

Tutabanana hapohapo kwenye Noah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseee I meant babu
Yalaaa hebu fanya kama hukuona
Wacha niisomee albadir hii simu isirudie makosa tena
 
bdabd4e8dab4b80d8777965ab3282180.jpg


More to follow...
Kiukweli sijaielewa hii picha
 
Ni kawaida sana panya kuhama kama nyumba imekumbwa na baa la njaa.
Ila uzuri ni kwamba agalabu hudhuru nyumba hiyo kuona kama kuna dalili ya shibe then wanahamia kwa mara nyingine.
 
Back
Top Bottom