Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Tetesi: ACACIA yabwaga manyanga?

Twende tukashushe duara wakiondoka acacia
Kaka, wewe ulionyesha kushangaa kwa kusema Kahama itakuwaje na maendeleo kama Joburg ilhali huko uchimbaji umeanza toka 1880, wakati Kahama umeanza toka 1990!

Mimi nikakwambia kwamba kwa hali ya mazingira wezeshaji wa maendeleo ya sasa, Kahama hahitaji miaka 100 kuendelea! Inawezekana kuendelea kwa haraka sana. Nikatoa mfano wa nchi kama Malaysia iliyopiga hatua za haraka kuanzia miaka ya 1990. Korea ya Kusini ilikuwa maskini miaka ya 1950s, kama ilivyokuwa China, Singapore, Taiwan na Hong Kong. Hizi nchi hazikuhitaji miaka 100.

Kwa hiyo, Kahama inaweza kuendelea kabisa. Wananchi wa Kahama hawakupaswa kuwa hata na shida ya huduma youotw ya kijamii. Sasa ebu fikiria miaka 27 sasa, lakini huduma kama za maji, afya, elimu na barabara bado hoehae! Na sababu kubwa ni serikali za CCM; zinazoendekeza rushwa, upigaji na uzandiki wote ule. Serikali zilizofukia wananchi alive ili wawekezaji wajichukulie madini kirahisi.

Hii ndiyo hoja! Hilo ulilosema halihusiani na swala nililotaka kufahamu kutoka kwako.
 
Kaka, wewe ulionyesha kushangaa kwa kusema Kahama itakuwaje na maendeleo kama Joburg ilhali huko uchimbaji umeanza toka 1880, wakati Kahama umeanza toka 1990!

Mimi nikakwambia kwamba kwa hali ya mazingira wezeshaji wa maendeleo ya sasa, Kahama hahitaji miaka 100 kuendelea! Inawezekana kuendelea kwa haraka sana. Nikatoa mfano wa nchi kama Malaysia iliyopiga hatua za haraka kuanzia miaka ya 1990. Korea ya Kusini ilikuwa maskini miaka ya 1950s, kama ilivyokuwa China, Singapore, Taiwan na Hong Kong. Hizi nchi hazikuhitaji miaka 100.

Kwa hiyo, Kahama inaweza kuendelea kabisa. Wananchi wa Kahama hawakupaswa kuwa hata na shida ya huduma youotw ya kijamii. Sasa ebu fikiria miaka 27 sasa, lakini huduma kama za maji, afya, elimu na barabara bado hoehae! Na sababu kubwa ni serikali za CCM; zinazoendekeza rushwa, upigaji na uzandiki wote ule. Serikali zilizofukia wananchi alive ili wawekezaji wajichukulie madini kirahisi.

Hii ndiyo hoja! Hilo ulilosema halihusiani na swala nililotaka kufahamu kutoka kwako.
Sasa si tukachimbe wenyewe ili tusiibiwe na wezi mkuuu. mbona hivyo?
 
Sasa si tukachimbe wenyewe ili tusiibiwe na wezi mkuuu. mbona hivyo?
Halafu utauza wapi hayo madini?

NB: hatujawahi kuibiwa. Kwani walituvamia na kuanza kuchimba? Bali ni serikali za CCM ndizo ziliwapa madini yetu hao wawekezaji kwa makubaliano yaliyoidhinishwa kimikataba.
 
waende tu kwani hatujawahi kufaidika nao chini ya utawala wa siesieem
 
Halafu utauza wapi hayo madini?

NB: hatujawahi kuibiwa. Kwani walituvamia na kuanza kuchimba? Bali ni serikali za CCM ndizo ziliwapa madini yetu hao wawekezaji kwa makubaliano yaliyoidhinishwa kimikataba.
kwa hiyo mkuu unataka kusema tunawaonea kuwaita wezi?
 
kwa hiyo mkuu unataka kusema tunawaonea kuwaita wezi?
Magufuli na washabiki wake wanakosea ndiyo kuwaita wezi. Mwizi wakati nyiye maCCM ndiyo mmewapa ulaji hao wawekezaji?

Ina maana nyiye maCCM hamna akili ama? Mna tofauti na Chifu Magungo kweli?
 
gold haina shida soko lake. hii ni pesa ya dunia. tunaweza uza popote pale
Hivi unajua Barrick ni big player kwenye sekta ya dhahabu? Do you know the implication pale utakapokuwa na mahusiano nayo mabaya ya kibiashara? Wanaweza waka-influence dhahabu ya kutoka Tanzania iwe blacklisted. Ikiwa hivyo, utauza dhahabu wapi?

Ndiyo maana Balozi msaidizi wa Marekani kamwambia Magufuli asafiri nje apate exposure kidogo.
 
Maskini Noah zetu.... dah!
Toyota+Noah+White.jpg

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji85]
 
Huo mkopo wa tril mbili na vitukuu vyetu vitachangia kulipa vitakavyoanza kuchimba? Sijawahi ona mawazo ya hovyo hivyo?

Unafukuza mpangaji halafu unaenda kumkopa hela ya kumtibisha mwanao.

Hawa wazungu wanawalia timing tu, ndio maana wameleta wataalamu wa kijeshi kwenye mazungumzo.
 
Wameona shamba la bibi limepata mwenyewe. Waende tu, tena wamechelewa sana kuondoka. Hawa siyo wawekezaji bali ni wakwapuaji.
 
Back
Top Bottom