Account ya Mange Kimambi yadukuliwa

Account ya Mange Kimambi yadukuliwa

Mali ya JISIEMU sijui mnyama wa bahari sio ya kimchezo mchezo atulie sasa kama hasikii USA sio mbali shauri yake
 
sasa mdada mrembo kabisa unaenda kuzibuliwa mtaro alafu unakubali kurekodiwa live kabisa, mange akiiturishia hiyo 'connection' mnaanza kumnanga mange ohooo anaingilia faraga, ohooo hufaai ohooo…….! sasa mjinga ni nani apo wewee uliye kubali kurekodiwa live ukiliwa kisamvu cha kopo au mange?? kwa taarifa yako ukirekodiwa live hiyo si faragha tena na ukubali matokeo yake…...ova
Kabisaaa
 
Safi kabisa!! Nampongeza aliyeanzisha kampeni ya kum report Instagram. Taifa letu linakumbwa na watu wenye matatizo ya akili.Huwezi ukawa na akili timamu ukafanya ujinga aliokuwa anaufanya huyo kimini!

Karma imefanya yake. Alimdhihaki na kumtukana sana Magufuli, ametesa watu kwa aibu za kijinga, amedhalilisha Mama zetu na baba zetu. Ningekuwa hakimu ningemfunga kifungo cha kunyongwa hadi kufa! She is more than an embicile. Very dumbass being in this world.

Lakini bado kuna wenzetu walifurahia alivyokuwa anawadhalilisha watu. Na bado anawaungwaji mkono wengi ambao naamini wameumizwa na kufungwa kwa akaunti yake. Waendelee kuumia wapumbavu wenzie.

Tunashukur mno mno kwa hiyo kampeni hadi imemfutia akaunti yake.!
Aliyejirekodi ndo Hana akili timamu.Mange wamuache
 
sasa mdada mrembo kabisa unaenda kuzibuliwa mtaro alafu unakubali kurekodiwa live kabisa, mange akiiturishia hiyo 'connection' mnaanza kumnanga mange ohooo anaingilia faraga, ohooo hufaai ohooo…….! sasa mjinga ni nani apo wewee uliye kubali kurekodiwa live ukiliwa kisamvu cha kopo au mange?? kwa taarifa yako ukirekodiwa live hiyo si faragha tena na ukubali matokeo yake…...ova
Mfano lulu diva alivokua anajitia midole afu anamtumia mwanaume sura inaonekana live,alitgemea isivuje ht mange asingevujisha ingevuja tu Kuna kuibiwa simu,kumpa mtu simu akajitumia n.k

Connections nyingi zinavuja bila hata uwepo wa mange,ya menina,mina Ally na Yule wa kujitia fanta

Sema wenye mabifu na mange ndo wanamalizia hasira zao hapo
 
Mange ana matatizo ya akili... ana personality ambayo haitofautini sana na Magufuli..

Yaani furaha yake ni kuona wengine waki suffer...

we kiazi kweli umedhihirisha ulipomtaja magufuli pamoja na mange.

mange anatumia upopma wenu kutengeneza pesa,unrekodi kalio lako likiliwa ili iweje!!!magufuli na mange watu wenye muelekeo tofauti.
 
Mfano lulu diva alivokua anajitia midole afu anamtumia mwanaume sura inaonekana live,alitgemea isivuje ht mange asingevujisha ingevuja tu Kuna kuibiwa simu,kumpa mtu simu akajitumia n.k

Connections nyingi zinavuja bila hata uwepo wa mange,ya menina,mina Ally na Yule wa kujitia fanta

Sema wenye mabifu na mange ndo wanamalizia hasira zao hapo
True...
 
Kinachotuangamiza sisi Watanzania ni unafiki.....yaani jambo tunaliona zuri na kulifurahia wakifanyiwa watu wengine.......bila ya kujua kuwa Dunia inazunguka.......
Kabisa ndugu!!

Ni kutokujitambua TU. Wapo watu hadi walihoji TCRA iko wapi? Na serikali imelaumiwa sana kwa hlii hadi wengine wakaenda zaidi na kudai serikali inamlinda.

Ni aibu sana sana na jambo la fedheha kuwadhalilisha Watanzania wenzako. Huenda mwenzetu siyo Mtanzania. Mjinga sana yule kimini!
 
sasa mdada mrembo kabisa unaenda kuzibuliwa mtaro alafu unakubali kurekodiwa live kabisa, mange akiiturishia hiyo 'connection' mnaanza kumnanga mange ohooo anaingilia faraga, ohooo hufaai ohooo…….! sasa mjinga ni nani apo wewee uliye kubali kurekodiwa live ukiliwa kisamvu cha kopo au mange?? kwa taarifa yako ukirekodiwa live hiyo si faragha tena na ukubali matokeo yake…...ova
Wapo wengine wanafanyiwa hivyo bila ridhaa yao.

Huwezi jua mazingira ya mtu kukubali kurekodiwa ndugu. Wapo walibakwa na kurekodiwa. Wapo pia wanalubuniwa na wenza wao na kutishiwa kuachwa kama hawatakubali kurekodiwa na wachache wanarekodiwa kwa ridhaa zao.. Mazingira yote haya Ni privacy za watu. Tatizo linakuja pale mtu anaamua kujitafutia pesa kwa kulipa watu ili atumiwe picha za faragha zao. Huo ni ushamba na ujinga!!
 
we kiazi kweli umedhihirisha ulipomtaja magufuli pamoja na mange.

mange anatumia upopma wenu kutengeneza pesa,unrekodi kalio lako likiliwa ili iweje!!!magufuli na mange watu wenye muelekeo tofauti.
unaelewa maana ya personality?.. KWANI niMesEMA WANAFANANA?
 
Back
Top Bottom