Account ya Twitter ya hayati Magufuli yaondelewa "blue tick!"

Account ya Twitter ya hayati Magufuli yaondelewa "blue tick!"

WINGER_TEREZA

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
242
Reaction score
450
Habari wana jukwaa. Leo nikiwa katika harakati za kutafuta, kuchakata na kusambaza habari kwenye mtando wa kihanaharakati wa Twitter nilitembelea katika ukurasa wa hayati Magufuli ila nilisitaha ajabu kutokukuta kwa tiki ya blue ambayo inaonesha uthibitisho wa ukurasa husika kuwa ni sahihi.

Bado sijaelewa na sijaweza kung'amua kipi kimesababishwa kuondolea kwa hiyo blue tick ambayo inai-verify account husika. Nimepatwa na wakati mgumu maana najiuliza mbona kurasa zingine na mahayati kama hayati Dr Mengi na Hayati Maalim Seif ziko bado verified?

Wenye kuelewa anijuze, kipi kimetokea kwenye hiyo kurasa?. Tukio hilo lina maana gani katika medani za siasa na kijasusi. Pia vipi Serikali imetoa tamko lolote hadi sasa?.

Wasalam.

WipeOut02_21_2021_100205.547000.jpg
 
Mkuu yule jamaa pamoja na ule umwamba ila kiukweli aliwanyoosha watu na kuna kitu cha kujifunza na kuelezea watu.

Binafsi nilimpenda Legendary Pombe, najaribu kuiga mazuri yake.
ni sahihi,alikuwa na mapungufu mengi ila mazuri pia alikuwa nayo, mimi huwa namkubali kwenye mambo mawili tu, kujenga sgr na kuogopwa yani nchi nzima ilimgwaya😅
 
Mkuu yule jamaa pamoja na ule umwamba ila kiukweli aliwanyoosha watu na kuna kitu cha kujifunza na kuelezea watu.

Binafsi nilimpenda Legendary Pombe, najaribu kuiga mazuri yake.
Mwenzenu alijitia ma-stress yakamghalimu, tumemshauri mama asijitie ma-stress Wala hasisikilize kelele za sukuma gang mafisad
 
Hiyo account ilikuwa verified kipindi yuko hai hadi last week, but kuanzia leo ndio haiko verified. Ina additional, Mbona account ya Dr Mengi iko bado verified ili hali naye hatupo naye?
Imebadilishwa handle ndomaana verified inatoka means aliekua anaiendesha kabadil email pngne ataitumia yeye au waokwa 7bu wanazozijua
 
Back
Top Bottom