Account za Benki za Mange Kimambi zazuiliwa

A
Atanyooka
 
Mkuu ZCO ni cheo gani!!?
 
tahira hilo anaona kabisa nchi imefunga page za ngono yeye kafungua app anarusha video za watu za uchi alafu anatgemea malipo yapitie kwenye kampuni za kitanzania yani hajui kula na kipofu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Yani anawalipisha watz pesa kwakutumia platforms zilizo chini ya BOT alafu malipo hayo yanawapa watu access za kuona video za ngono 😂😂😂
 
I think waliomtumia wanatafuta namna ya kum dispose. Wanamjua siku moja atawavuruga!

Seems no one is trusting her, good weapon against your enemies but unreliable.

Kwao ni fursa ya kumfunga speed governer ili awe controllable. Lakini kitu kimoja kibaya zaidi "she is smart enough"....
 
Yaani huyu Mange huwa anapanick sana.

Yeye anafikiri habari zote ni kupost tu.Unapost uchi wa mtu kweli jamani 😡.

Ajue tu uhuru una mipaka yake. Mimi naona akadese kwenye magazeti ya the sun,People,Closer n.k ili ajifunze kidogo.

Wabongo wanapenda umbea yes. Ila tatizo yeye anakwenda mbali sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…