MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nampongeza Mama Samia kwa kumnyoosha huyu kichaa Mange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni 'character assassin' aliyejificha kwenye mwavuli wa umbeya / udaku.Yaani huyu Mange huwa anapanick sana. Yeye anafikiri habari zote ni kupost tu.Unapost uchi wa mtu kweli jamani 😡.Ajue tu uhuru una mipaka yake. Mimi naona akadese kwenye magazeti ya the sun,People,Closer n.k ili ajifunze kidogo. Wabongo wanapenda umbea yes. Ila tatizo yeye anakwenda mbali sasa.
Kama video ya Prof J.Hapo alikosea sana. Halafu eti sasa anaona yeye ndo victim hadi anaomba msaada kwa CCM.Huyo ni 'character assassin' aliyejificha kwenye mwavuli wa umbeya / udaku.
Acha ukuda weee pimbiPumbavu sana huyu dada na siku akirudi bongo akamatwe achapwe viboko 12.
Kwa hali ilivyo haoni hasara akianza kumchafua bi mkubwa wamuachee tu aendelee na umbea wakeNampongeza Mama Samia kwa kumnyoosha huyu kichaa Mange
Waona ni sawa anavyowadharirisha watu?Pole sana Mange. Hii dunia kuna watu wanajiona wao ndio binaadamu!
Unadhani hata hiyo BTC haizuiliki? Mbona FBI kila siku wanawadaka watu na hizo BTC zaonilijua tu watafanya hivyo walivyofanya,tatizo mitanzania mingi haijui kutumia cryptocurrencies kama btc angeweka option ya btc akaendeleza kazi yake ya uchambaji
My beautiful Victoire asante 👏🏾Yaani huyu Mange huwa anapanick sana. Yeye anafikiri habari zote ni kupost tu.Unapost uchi wa mtu kweli jamani 😡.Ajue tu uhuru una mipaka yake. Mimi naona akadese kwenye magazeti ya the sun,People,Closer n.k ili ajifunze kidogo. Wabongo wanapenda umbea yes. Ila tatizo yeye anakwenda mbali sasa.
Elewa mantiki ya hilo bandiko. Soma kwa utulivu na unyenyekevu utatambua vema kilichonasibishwa
Mkuu ZCO ni cheo gani!!?
Na wangeanza na hao wanaofanya naye kazi waozee gerezani kwanzaHuyu Binti amezidi mdomo mrefu hata anaofanya nao kazi wana moyo