Account za Benki za Mange Kimambi zazuiliwa


Dada la hovyo. Linamuambia nani?.
 
Lakini naskia amevuna pesa ndegu sanaaaa. Yani naskia Ile video watu walilipia hizo buku Kwa fujo, kapata zaidi ya 100m, Kwa nilivyoskia

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Kama ni kweli anavuta pesa ndefu namna hii au hata pungufu yake anatakiwa aache kuicheza hiyo kamari kupitia crdb bank wenzake wanatumia cryptocurrency ndiyo salama yao.
 
kuna siku nimelipia app yake package ya mwezi mmoja nikifikiri anapost mambo mazito kama ya kipindi kile JIWE limeingia ikulu. Nilichokutana nacho kule ndani moyo wangu ulisononeka sana kiasi kwamba hata nikiona notification kua amepost kitu nilikua najawa na hasira sana, after two weeks nili uninstall app na sitarudia tena kusuport kazi yake ya kuumiza hisia za watu.
 
Huyu dada ni classic reference ya "You can pay for school, but can't buy class". It doesn't get any lower than her (her followers don't count of course lol). So hard to feel for her.
 
Aseee! Mambo yake tumuachie mwenyewe.......
 
Sina mengi kwa kuwa jina lako linaakisi fikra zako zilivyo haswa itakopowekwa "ho" katikati ya "ko" na "da".
Lakini ujue kama hujui mimi ni basha mzuri sanaa tena fundi mnoo nimebobea kwa walopofu nawapa vidonge havii nikuambie tu jina chokodari muulize mkenya yoyote atakupa jibu, au google kama utabahatika kupata maana yake
 
Mange anapigana vita asiyoijua. Mambo ya system si kuyategemea sana au kuomba msaada angekomaa kimya kimya tu.
 
Ila mange anajionaga yeye ni mafia, ona sasa vita yake na viongozi inawaingiza vijana wasio na hatia, na hao vijana wanamoyo sana kufanya kazi na mange
 
mnalalamika mkute mshalipia elfu moja moja zenu.....[emoji23][emoji1787][emoji3526]
Imagine[emoji23] watu bwana wanajua kupretend sana, hapo kila.muda wanachungulia kqwnye page yake kutaka kujua kapost nini leo, app pia wanayo ila wakijifungia peke yao wanasoma kila kitu wakija humu habari zote za kwenye App wanazijua ila wanajifanya eti App hawana [emoji48]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Lakini naskia amevuna pesa ndegu sanaaaa. Yani naskia Ile video watu walilipia hizo buku Kwa fujo, kapata zaidi ya 100m, Kwa nilivyoskia

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
And perhaps wakazifungia account walishajua na kuona pesa nyingi zimo kwenye account, wakapiga hapo hapo ili aumie
 
Ulikutana na nini kwani? Kumbe kuna subscribers wa mpaka mwezi [emoji23][emoji23][emoji23]mange anajua kucheza na akili za Watanzania
 
wewe na mbupu zako unafikia hata chembe? bora yeye anasimamia anachoamini wewe kukimbiza Mbupu tu...afu unamwita pumbav!!!,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa wabongo ndo wanapenda huko mbali kwa umbea. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hali ilivyo haoni hasara akianza kumchafua bi mkubwa wamuachee tu aendelee na umbea wake
Na ataanza soon, tutajua hata ambavyo hatukutakiwa kujua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…