Acha chuki na wazazi wako

Acha chuki na wazazi wako

Your parents are a test for you and you’re a test for them. Accept that. Coping with difficult parents isn’t easy. They’re also human, flawed & weak just like everyone. You need to accept them for who they are. You can’t change them. The only person you can change is yourself.‬
 
Your parents are a test for you and you’re a test for them. Accept that. Coping with difficult parents isn’t easy. They’re also human, flawed & weak just like everyone. You need to accept them for who they are. You can’t change them. The only person you can change is yourself.‬
Sasa mzee kuna mtu ulimlipia ada ya English medium?? Mbona mimi nimeandika kiswahili vizuri tu
🤔
 
ni huu umaskini tu unatusumbua ila hata kama mzazi hakuwepo kwenye maisha yako ya makuzi usimlipe kwa kutokuwepo kwenye uzee wake. hakuna kitu cha kijinga kama kuthamini marafiki ambao hata hujakua nao ila unampotezea baba au mama ambaye alikuacha ukiwa mdogo huwezi jua ni hali gani ilimkuta akaamua kukukimbia
 
Mzazi anayezaa halafu anatelekeza watoto na kukwepa majukumu ya kulea ni mjinga na mpumbavu sana.

Wala hastahili huruma wala msamaha wa namna yoyote ile.

Hakuna kulea ujinga wa mtu hata kama ni mzazi wako.

Huu upumbavu wa watu hasa waafrika kuzaa zaa kama mapanya halafu kulea na kuhudumia hawawezi lazima ukomeshwe.

Lijitu linazaa linakimbia majukumu kulea watoto, Halafu badae linategemea lirudi kuja kulia lia na kutia huruma kutaka msamaha kwa gia ya "mzazi/uzazi"

Aiseee hiyo hapana furushaaa huyo mzazi!!!!
 
ni huu umaskini tu unatusumbua ila hata kama mzazi hakuwepo kwenye maisha yako ya makuzi usimlipe kwa kutokuwepo kwenye uzee wake. hakuna kitu cha kijinga kama kuthamini marafiki ambao hata hujakua nao ila unampotezea baba au mama ambaye alikuacha ukiwa mdogo huwezi jua ni hali gani ilimkuta akaamua kukukimbia
Mtu kuwa mzazi si kigezo kwamba hawezi kuwa mjinga na mpumbavu.

Hata wajinga huzaa watoto.

Na ndio hao wanazidisha umaskini duniani kwa kukwepa majukumu.

Mzazi wa namna hii hafai na hastahili huruma ya aina yeyote ile.

Hakuna huruma kwa mzazi mjinga na mpumbavu aliyeleta kiumbe duniani halafu aka kikimbia kijilee chenyewe, Halafu baadaye arudi kuomba msamaha na kutia tia huruma.
 
Padri wa kanisa la katoliki, ametunukiwa shahada na taasisi kubwa duniani Freemasonry,
Kwanini uteseke duniani wakati taasisi Ina uwezo wa kukutajirisha, jiunge ikiwa una kidhi vigezo hivi
Umri wako 25 - 45
Kazi yako binafsi au kipaji chako
Uwezo wa kumwaga damu mbuzi wawili wakubwa kama kiapo.
Utapewa shilingi bilioni 2.5 za kitanzania.
Screenshot_20240808-121642_(1).png
 
Mtu kuwa mzazi si kigezo kwamba hawezi kuwa mjinga na mpumbavu.

Hata wajinga huzaa watoto.

Na ndio hao wanazidisha umaskini duniani kwa kukwepa majukumu.

Mzazi wa namna hii hafai na hastahili huruma ya aina yeyote ile.

Hakuna huruma kwa mzazi mjinga na mpumbavu aliyeleta kiumbe duniani halafu aka kikimbia kijilee chenyewe, Halafu baadaye arudi kuomba msamaha na kutia tia huruma.
sawa
 
Padri wa kanisa la katoliki, ametunukiwa shahada na taasisi kubwa duniani Freemasonry,
Kwanini uteseke duniani wakati taasisi Ina uwezo wa kukutajirisha, jiunge ikiwa una kidhi vigezo hivi
Umri wako 25 - 45
Kazi yako binafsi au kipaji chako
Uwezo wa kumwaga damu mbuzi wawili wakubwa kama kiapo.
Utapewa shilingi bilioni 2.5 za kitanzania.
View attachment 3064650
hahahaha kirahisi tu watafute wale jamaa wanaotafuta utajiri humu jf
 
Nyinyi watu mnahitaji kufanya amani na wazazi wenu kabla hawajafa. Kuweka chuki kwa uzembe wao na kutokuwepo katika maisha yako hakutakufaa chochote zaidi kuathiri wale walio karibu na wewe.
Endelea kuongeza michepuko, kula nyapu kila kona, zaa hovyo hovyo telekeza watoto harafu baadae utegemee huruma ya watoto.

You gonna reap what you saw.

Na kwa sasa tumegundua kinachoitwa Laana ya wazazi ni Bosheni tu na uongo uliotungwa na wazazi wahuni.
 
Padri wa kanisa la katoliki, ametunukiwa shahada na taasisi kubwa duniani Freemasonry,
Kwanini uteseke duniani wakati taasisi Ina uwezo wa kukutajirisha, jiunge ikiwa una kidhi vigezo hivi
Umri wako 25 - 45
Kazi yako binafsi au kipaji chako
Uwezo wa kumwaga damu mbuzi wawili wakubwa kama kiapo.
Utapewa shilingi bilioni 2.5 za kitanzania.
View attachment 3064650
Habari za kuokota mitandaoni hizi😆😆😆
 
ni huu umaskini tu unatusumbua ila hata kama mzazi hakuwepo kwenye maisha yako ya makuzi usimlipe kwa kutokuwepo kwenye uzee wake. hakuna kitu cha kijinga kama kuthamini marafiki ambao hata hujakua nao ila unampotezea baba au mama ambaye alikuacha ukiwa mdogo huwezi jua ni hali gani ilimkuta akaamua kukukimbia
Kweli kabisa
 
Padri wa kanisa la katoliki, ametunukiwa shahada na taasisi kubwa duniani Freemasonry,
Kwanini uteseke duniani wakati taasisi Ina uwezo wa kukutajirisha, jiunge ikiwa una kidhi vigezo hivi
Umri wako 25 - 45
Kazi yako binafsi au kipaji chako
Uwezo wa kumwaga damu mbuzi wawili wakubwa kama kiapo.
Utapewa shilingi bilioni 2.5 za kitanzania.
View attachment 3064650
Sijawahi iamini iyo Imani maana Mimi ni mromani catholic pure kabisa ila nitajaribu iyo Imani ingine
 
Back
Top Bottom