Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Mmefungwa mangapiAm here sweetheart...na cheki mechi🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmefungwa mangapiAm here sweetheart...na cheki mechi🥰
Hakuna kisingizio chochote cha kuikimbia damu yako.ni huu umaskini tu unatusumbua ila hata kama mzazi hakuwepo kwenye maisha yako ya makuzi usimlipe kwa kutokuwepo kwenye uzee wake. hakuna kitu cha kijinga kama kuthamini marafiki ambao hata hujakua nao ila unampotezea baba au mama ambaye alikuacha ukiwa mdogo huwezi jua ni hali gani ilimkuta akaamua kukukimbia
Tumewapiga kimoko wake zetu yangaaa😅💛💚Mmefungwa mangapi
Ww mbn unasema hivo...?Baba yangu angekuwa hai ningeshamuua angekufa mara ya pili
Usiseme hivo watakupiga ban🚫, sitaki upotee tenaTumewapiga kimoko wake zetu yangaaa😅💛💚
Hajawahi kukutana na wazazi katili huyoWw mbn unasema hivo...?
SweetyCandy 🤷Baba yangu angekuwa hai ningeshamuua angekufa mara ya pili
Kama hakuwepo kwenye maisha yako hana utofauti na watu wengine wa kawaidani huu umaskini tu unatusumbua ila hata kama mzazi hakuwepo kwenye maisha yako ya makuzi usimlipe kwa kutokuwepo kwenye uzee wake. hakuna kitu cha kijinga kama kuthamini marafiki ambao hata hujakua nao ila unampotezea baba au mama ambaye alikuacha ukiwa mdogo huwezi jua ni hali gani ilimkuta akaamua kukukimbia
Nyinyi watu mnahitaji kufanya amani na wazazi wenu kabla hawajafa. Kuweka chuki kwa uzembe wao na kutokuwepo katika maisha yako hakutakufaa chochote zaidi kuathiri wale walio karibu na wewe.
Anzisha uzi wako mzee , huu uzi ni kwa ajili ya wazaziNilicho gundua watanzania wamechelewa kupata elimu bora na mmeishi kwa kukaririshwa maisha na stori za vijiweni.
illuminati ni taasisi kubwa ulimwenguni ambayo inasimamia kuleta umoja na usawa katika Wana familia wake mfano maraisi, wabunge, wanasheria, madaktari, wasanii, wafanya biashara, masheikh, mapadri, wachungaji na kadhalika.
Taasisi hii Ina uwezo mkubwa na inaingia kokote iwe kanisani, serikalini, wananchi, taasisi binafsi na zisizo za serikali. Hatuna ubaguzi karibu mwana familia uwe pamoja nasi.
Safi sana nimeipenda hiiKuna mtu nimeona anagombana na wazazi wake kiasi kwamba amewapeleka polisi
Kumbe kuja Duniani nalo ni jambo la kushukuru ?.... Nilikuwa sijui Safi sana.Kosa nikuweka chuki kwa mzazi, alitenga mda kuhakikisha mimba yako inatungwa heshimu ilo tu bila kutenga mda wao huenda usingekuwepo duniani
Yes, kwa usgenzi alionifanyia nampoeleka kuzimu mwenywe namtupa huko hyyu mzee kaniharibia life
Ukiambiwa ushirikina alionifanyia huyu ibilisi acha tu huyu ni shetani fuluWw mbn unasema hivo...?
Yes, kwa usgenzi alionifanyia nampoeleka kuzimu mwenywe namtupa huko hyyu mzee kaniharibia life
Don't hold the pastUkiambiwa ushirikina alionifanyia huyu ibilisi acha tu huyu ni shetani fulu
Pigia bold kabisaNakazia.
Nani tena?Yes, kwa usgenzi alionifanyia nampoeleka kuzimu mwenywe namtupa huko hyyu mzee kaniharibia life
Watu wanashukuru vitu vya kijinga......hawana tofauti na Chawa.Kumbe kuja Duniani nalo ni jambo la kushukuru ?.... Nilikuwa sijui Safi sana.