Acha chuki na wazazi wako

Acha chuki na wazazi wako

Nyinyi watu mnahitaji kufanya amani na wazazi wenu kabla hawajafa. Kuweka chuki kwa uzembe wao na kutokuwepo katika maisha yako hakutakufaa chochote zaidi kuathiri wale walio karibu na wewe.
Simulizi kuhusu kuwakumbuka wazazi.
kwa simulizi nyingine kama hizi tembelea ukurasa wa " SIMULIZI ZA WAUNGWANA" hapa hapa JF.

 
Sijawahi iamini iyo Imani maana Mimi ni mromani catholic pure kabisa ila nitajaribu iyo Imani ingine
Karibu ndugu yangu tuwe familia moja, hakika utafurahia
Kuwa mwanafamilia yetu kwani utapewa mtaji wako shilingi bilioni 2.5 za kitanzania.
Gari mbili za kifahari
Nyumba ghorofa ya kifahari
Utakwenda nchi za ulaya na marekani kupumzika likizo.
Karibu sana ndugu yangu.
 
Habari za kuokota mitandaoni hizi😆😆😆
Mwezi wa 10 tunafanya usaili kwa Wana taasisi wapya ambao wamekubali kuwa Wana familia yetu basi ndugu Bush Dokta nitakualika katika jumuishi chakula cha jioni wakati usaili ukifanyika uje ujionee kwa macho mambo makubwa na mazuri hakika kutoka katika taasisi yetu kubwa na nguvu duniani illuminati.
 
hahahaha kirahisi tu watafute wale jamaa wanaotafuta utajiri humu jf
Nilicho gundua watanzania wamechelewa kupata elimu bora na mmeishi kwa kukaririshwa maisha na stori za vijiweni.

illuminati ni taasisi kubwa ulimwenguni ambayo inasimamia kuleta umoja na usawa katika Wana familia wake mfano maraisi, wabunge, wanasheria, madaktari, wasanii, wafanya biashara, masheikh, mapadri, wachungaji na kadhalika.

Taasisi hii Ina uwezo mkubwa na inaingia kokote iwe kanisani, serikalini, wananchi, taasisi binafsi na zisizo za serikali. Hatuna ubaguzi karibu mwana familia uwe pamoja nasi.
 
Mwezi wa 10 tunafanya usaili kwa Wana taasisi wapya ambao wamekubali kuwa Wana familia yetu basi ndugu Bush Dokta nitakualika katika jumuishi chakula cha jioni wakati usaili ukifanyika uje ujionee kwa macho mambo makubwa na mazuri hakika kutoka katika taasisi yetu kubwa na nguvu duniani illuminati.
We jamaa acha mikwara....familia yenu iko wapi? Ndio huko mnakula supu ya nyoka?
 
Nilicho gundua watanzania wamechelewa kupata elimu bora na mmeishi kwa kukaririshwa maisha na stori za vijiweni.

illuminati ni taasisi kubwa ulimwenguni ambayo inasimamia kuleta umoja na usawa katika Wana familia wake mfano maraisi, wabunge, wanasheria, madaktari, wasanii, wafanya biashara, masheikh, mapadri, wachungaji na kadhalika.

Taasisi hii Ina uwezo mkubwa na inaingia kokote iwe kanisani, serikalini, wananchi, taasisi binafsi na zisizo za serikali. Hatuna ubaguzi karibu mwana familia uwe pamoja nasi.
Hiyo iluminati inayoitwa taasisi kubwa lakini hadi leo inazungumzwa kinadharia tu ndio ukubwa gani huo?
 
Hiyo iluminati inayoitwa taasisi kubwa lakini hadi leo inazungumzwa kinadharia tu ndio ukubwa gani huo?
illuminati ni taasisi kubwa duniani, haipo kwa nadharia ipo kwa uhalisia ila haujawahi kuwa mwanafamilia huwezi kuelewa chochote zaidi ya kusikia stori za kijiweni.

Mtaka Cha uvunguni sharti uiname, bila kuinama na kuchungulia huwezi kujua kilichopo uvunguni.
 
We jamaa acha mikwara....familia yenu iko wapi? Ndio huko mnakula supu ya nyoka?
Taasisi yetu makini na kubwa ulimwenguni hatupo kwa ajili ya ubishani au kumwaminisha mtu kuhusu familia yetu. Kila mmoja abaki na Imani yake. Kila la kheri mkuu.
 
Nilicho gundua watanzania wamechelewa kupata elimu bora na mmeishi kwa kukaririshwa maisha na stori za vijiweni.

illuminati ni taasisi kubwa ulimwenguni ambayo inasimamia kuleta umoja na usawa katika Wana familia wake mfano maraisi, wabunge, wanasheria, madaktari, wasanii, wafanya biashara, masheikh, mapadri, wachungaji na kadhalika.

Taasisi hii Ina uwezo mkubwa na inaingia kokote iwe kanisani, serikalini, wananchi, taasisi binafsi na zisizo za serikali. Hatuna ubaguzi karibu mwana familia uwe pamoja nas
tatizo sio kuingia najiuliza niingie ili iweje mkuu kama ni kaugali nakapata tena kenye amani sihitaji umaarufu zaidi ni kua na uhakika wanangu wanaishi vyema na familia inasonga.... ila sio mbaya kwakua tunatofautiana mtazamo ila mm nimechagua kuishi kwa kujitafutia
 
tatizo sio kuingia najiuliza niingie ili iweje mkuu kama ni kaugali nakapata tena kenye amani sihitaji umaarufu zaidi ni kua na uhakika wanangu wanaishi vyema na familia inasonga.... ila sio mbaya kwakua tunatofautiana mtazamo ila mm nimechagua kuishi kwa kujitafutia
Amiin mkuu na hakika mola mlezi akujalie katika utafutaji wako ila usisahau kumwomba na kutimiza sheria zake. Kila la kheri mkuu.
 
Make peace with everybody before you gone to glory.

Respect ur parents
Love ur neighbors
Love ur siblings and relatives

Make peace with past.

And finally stay connected with ur higher power GOD or universe.
 
Back
Top Bottom