NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
duh,,,,mammaaae.Unatuliza mshono [emoji2314]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh,,,,mammaaae.Unatuliza mshono [emoji2314]
Acha wendawazimu ww mbona ww unaweza kuwatumikia hao bwana zako zaidi ya kumi wanaokupa kunya?Wacha pressure, hata mimi nilipinga, napinga, na nitapinga siku zote Gwajima na watu wengine wanaojiita wa Mungu kuonesha dalili za kuitamani siasa, wale tayari wana jukumu la kuwachunga kondoo zao, hawawezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja, hata maandiko matakatifu hayataki jambo hilo.
Sijaona ulipotajwa au unajistukia?Too low Mtani….hukuwa na haja ya kunianzishia uzi. Nina wasiwasi hujaelewa nilichoandika, umekurupuka tu.
Ww bwabwa tu huo ustaa ulimkabidhi ww au unaropoka kama unaumwa ugonjwa wa kuharisha?Eti hata mastaa wa ngono kama Gwaji Boy naowanaomba ridhaa kwa wanachama.
Ata mm mwenyew nasong mbeleUyo gwaji amekukaa kichwani naona nahisi ukilala ukiamka ni gwaji tu kazi unayo mwaka huu ila kaa ukijua mwenzio anasonga mbele we endelea na utoporo wako
Napendaga sana ako kamchezo fanya haraka na kusubilia , inaonekana unatizo la uzazi njoo kwangu mwaka huu lazima uzae mwehuuu weeeeUnajua kutukana au unajifunza mwenzangu sasa nitakunyosha bikira wa kiume ....
Naheshimu haki za binadamu... Maana tunasema Magu kutojua Kimalkia hakumfanyi kua so msomiHawafai
Elimu yako mkuu ni darasa la kwanza
Unataka ubunge na kiswahili hujui
Af manka usitumie makalio kufikiri[emoji3064]Vyama vipo vingi nenda huko kwingine, sizani kwakina mhe.Dovutwa kumejaa nafasi zitakuwepo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Sasa kwani shida nini! Wengine wanatumia nini kufikiri?Af manka usitumie makalio kufikiri[emoji3064]
Huko kwingine hata ubaloz wa nyumba 10 hupatiSasa kwani shida nini! Wengine wanatumia nini kufikiri?
Haaa haaa ndiyo maana hamtaki kwenda huko? Ndiyo mnatakiwa mwanze kukijenga chama [emoji23][emoji23][emoji23]Huko kwingine hata ubaloz wa nyumba 10 hupati
Nikweli waseme tuwachangieKamaa Huna hell unasema tunakuchangia unaenda kuchukua form yako
Hembu njoo Kwanza chumbanHaaa haaa ndiyo maana hamtaki kwenda huko? Ndiyo mnatakiwa mwanze kukijenga chama [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3] ngoja nimalizie kupika kabisaHembu njoo Kwanza chumban
Aya manka[emoji3][emoji3][emoji3] ngoja nimalizie kupika kabisa
We mjinga naona usipomtaja Gwajima unawasha tu alafu nawashangaa unamjadili mtu ambaye hata hakufahamu na hata ukimtukana hakujibu unaonekana pimbi na mjinga Sana na yule ndo kiboko yenu tripu hii atawachapa mpaka mkomeee Mwana wa Lucifer's
Lete ushahidi. Ukimzushia mtumishi wa Mungu mambo yasiyokuwako subiri kuangukiwa na laana.