Uchaguzi 2020 Acha kulalamika, nawe kachukue fomu

Uchaguzi 2020 Acha kulalamika, nawe kachukue fomu

Wacha pressure, hata mimi nilipinga, napinga, na nitapinga siku zote Gwajima na watu wengine wanaojiita wa Mungu kuonesha dalili za kuitamani siasa, wale tayari wana jukumu la kuwachunga kondoo zao, hawawezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja, hata maandiko matakatifu hayataki jambo hilo.
Acha wendawazimu ww mbona ww unaweza kuwatumikia hao bwana zako zaidi ya kumi wanaokupa kunya?
 
Unajua kutukana au unajifunza mwenzangu sasa nitakunyosha bikira wa kiume ....
Napendaga sana ako kamchezo fanya haraka na kusubilia , inaonekana unatizo la uzazi njoo kwangu mwaka huu lazima uzae mwehuuu weeee
 
Hawafai

Elimu yako mkuu ni darasa la kwanza

Unataka ubunge na kiswahili hujui
Naheshimu haki za binadamu... Maana tunasema Magu kutojua Kimalkia hakumfanyi kua so msomi
 
Uko Sahihi sanaaa ,,Watu wache kulalamika
,Itakuwa Ni wivu TU hakuna kinginee
 
Mwache awachape hao waumini wake wa kike kama kawaida yake lakini hawezi kutuchapa sisi.
We mjinga naona usipomtaja Gwajima unawasha tu alafu nawashangaa unamjadili mtu ambaye hata hakufahamu na hata ukimtukana hakujibu unaonekana pimbi na mjinga Sana na yule ndo kiboko yenu tripu hii atawachapa mpaka mkomeee Mwana wa Lucifer's
 
Back
Top Bottom