macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
One of the weaknesses of individuals who are cowardly, selfish, and ignorant is their tendency to use the word 'we' instead of 'I.'Ingia mwenyewe barabarani kwasababu wewe ni masikini wenzio sisi sio masikini tunafurahia nchi
Yes! Kill him first....I recently learnt that, as a result of an operation led by a man named Mafwele, your lives may be in danger. If so, do you still have sole responsibility for your safety and well-being?
Watu hawaombi kuwekewa hela mfukoni ila wanalalamikia mazingira ya kupata hela yakiwa hayaeleweki au hayapo kabisa.Mazingira wezeshi
Uwajibikaji ukizingatiwa, trust me mazingira yanajitengeneza yenyewe.Watu hawaombi kuwekewa hela mfukoni ila wanalalamikia mazingira ya kupata hela yakiwa hayaeleweki au hayapo kabisa.
Weka mifumo ya kazi sawa watu wafanye kazi wapate maslahi yao wajenge uchumi. Ondoa kodi gandamizi ili wajasiriamali waweze kusimama na kukua kiuchumi. Ondoa ubadhirifu ili kodi zilete tija kwa walipa kodi.
Point muhimu Sana hii. Naamini Kwa yeyote atayesoma hii coment Leo ataacha rasmi kuilaumu serikali.Kulaumu hakubadilishi mambo kuwa mazuri. Bahati mbaya sana watanzania tunapenda sana kulaumu. Kwa mfano: hatupaswi kulaumu serikali bali tunatakiwa kutumia haki yetu kuiondosha madarakani pale inaposhindwa kutumiza majukumu na kama inatumia ulaghai wa kuiba kura, na sisi tutumie nguvu kuwaondoa.
Vibaya hivooo
Tatizo connectionLeo tunakuzwa katika misingi ya kujitetea na kukwepa kuwajibika karibu katika kila eneo. Hatujifunzi na hatutaki kukubali kuwa tunapaswa kuwajibika asilimia mia moja juu ya maisha yetu na badala yake tunawatafuta wa kuwatupia lawama.
Ni kweli yapo mambo mengi yanayoweza kutokea nje ya uwezo etu ila hayaondoi wajibu wetu juu ya maisha yetu. Hatuwezi kuizuia mvua kunyesha ila tunaweza kukwepa au kujilinda mvua isituloweshe.
Mchezo wa lawama " blame game" ni mchezo wa wasiopenda kuwajibika juu yao. Ni mchezo wa kujiliwaza na kuhamishia majukumu yako kwa wengine kana kwamba na wao hawana majukumu yao. Unayemlaumu na yeye analaumu.
Umasikini na uzembe mkubwa umejificha kwenye mchezo wa lawama. Mduara mzima wa umasikini na uzembe kivuli chake kikuu na faraja yake ni lawama. Lawama hutuaminisha kuwa yupo aliyepaswa kuwajibika juu yetu na siyo sisi "anayetusaidia kuishi maisha yetu"...ah!..ah...
Lawama humfanya mtu kujiona yupo Tasahihi sana "malaika"'ila wengine ndiyo wanaomkosea na kumfanya kuwa alivyo. Ukweli unaouma ni kuwa "tupo tulivyo kwa sababu tunataka haswa kuwa hivi tulivyo". Hakuna lugha rahisi zaidi ya kuumiza Ili kumfanya mtu kuona uchungu juu ya hali yake na kuchukua hatua.
"You are the master of your life"
Eeh sasa wawajibikaji ndio wanaosema tulinde amani unategemea nini hapoUwajibikaji ukizingatiwa, trust me mazingira yanajitengeneza yenyewe.
Lengo ni kuwajibika na kuacha lawama, ndiyo hata Mimi ninapaswa kujifunza kutoka kwako.Hata ww uliyeandika huu Uzi pia unapenda kulaumu kwa sababu umewalaumu wanaopenda kulaumu...
Naam, tatizo wanaposema sisi tunakadumisha kitu kwao, hili nalo ni kosa la kiufundi la civil societies!..Eeh sasa wawajibikaji ndio wanaosema tulinde amani unategemea nini hapo
Mimi nadhani tunapaswa kujiconnect kwanza wenyewe " self connection" ndipo tutafute external connection.Tatizo connection
Nimejifunza kitu hapa, Tena kwa evidence, Kuna kipindi nilijilaumu sanaa nilikosa amani kwa kipind cha mwenzi mmoja ivi.. kumbe ilikua “blame game” nimejifunza kupitia andiko lako mkuu, AsanteLeo tunakuzwa katika misingi ya kujitetea na kukwepa kuwajibika karibu katika kila eneo. Hatujifunzi na hatutaki kukubali kuwa tunapaswa kuwajibika asilimia mia moja juu ya maisha yetu na badala yake tunawatafuta wa kuwatupia lawama.
Ni kweli yapo mambo mengi yanayoweza kutokea nje ya uwezo etu ila hayaondoi wajibu wetu juu ya maisha yetu. Hatuwezi kuizuia mvua kunyesha ila tunaweza kukwepa au kujilinda mvua isituloweshe.
Mchezo wa lawama " blame game" ni mchezo wa wasiopenda kuwajibika juu yao. Ni mchezo wa kujiliwaza na kuhamishia majukumu yako kwa wengine kana kwamba na wao hawana majukumu yao. Unayemlaumu na yeye analaumu.
Umasikini na uzembe mkubwa umejificha kwenye mchezo wa lawama. Mduara mzima wa umasikini na uzembe kivuli chake kikuu na faraja yake ni lawama. Lawama hutuaminisha kuwa yupo aliyepaswa kuwajibika juu yetu na siyo sisi "anayetusaidia kuishi maisha yetu"...ah!..ah...
Lawama humfanya mtu kujiona yupo sahihi sana "malaika"'ila wengine ndiyo wanaomkosea na kumfanya kuwa alivyo. Ukweli unaouma ni kuwa "tupo tulivyo kwa sababu tunataka haswa kuwa hivi tulivyo". Hakuna lugha rahisi zaidi ya kuumiza Ili kumfanya mtu kuona uchungu juu ya hali yake na kuchukua hatua.
"You are the master of your life"
Mungu akubariki na akuwezeshe kupiga hatua zaidiNimejifunza kitu hapa, Tena kwa evidence, Kuna kipindi nilijilaumu sanaa nilikosa amani kwa kipind cha mwenzi mmoja ivi.. kumbe ilikua “blame game” nimejifunza kupitia andiko lako mkuu, Asante
Amina mtumishiMungu akubariki na akuwezeshe kupiga hatua zaidi