Acha mwanamke asomeshwe na wazazi wake! Ukimsomesha wewe upendo wake kwako unaondoka kabisa

Acha mwanamke asomeshwe na wazazi wake! Ukimsomesha wewe upendo wake kwako unaondoka kabisa

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
nawasihi sana ndugu zangu, usisomeshe mwanamke kwa lengo la kuja kumuoa baada ya Masomo.

Nakwambia kadri unavyomsomesha ndivyo anavyokuona useless na sio level zake.

Acheni wasomeshwe na wazazi wao, wewe nenda katimize jukumu la kuoa na kujenga familia
FB_IMG_1651861814158.jpg
 
Ester, Mungu anakuona asee.
 
nawasihi sana ndugu zangu, usisomeshe mwanamke kwa lengo la kuja kumuoa baada ya Masomo.

Nakwambia kadri unavyomsomesha ndivyo anavyokuona useless na sio level zake.

Acheni wasomeshwe na wazazi wao, wewe nenda katimize jukumu la kuoa na kujenga familia
View attachment 2214502
Ni kiona mwanamke anatesaka kwenye ndoa yake simuonee huruma wengi wana tendea wanaumme walio wafikisha hapo vibaya
 
Mkuu usitupangie maisha na wala usitupangie matumizi ya hela zetu.

Kwani nikimsimesha na akaja kuniacha wewe unaumia nini?

Sisi wengine hatusomeshi kuja kuoa bali tunasomesha ili kufanya long term investment. Nikimaanisha tunawekeza kupata mbunye muda wote tunaotaka.

Mwanamke kuku disappoint sio lazima uwe umemsimesha tu.

Mwanamke msaidie bila kutegemea chochote zaidi ya mbunye yake. Kama anakupa uchi, hiyo inatosha kabisa.
 
Mkuu usitupangie maisha na wala usitupangie matumizi ya hela zetu.

Kwani nikimsimesha na akaja kuniacha wewe unaumia nini?

Sisi wengine hatusomeshi kuja kuoa bali tunasomesha ili kufanya long term investment. Nikimaanisha tunawekeza kupata mbunye muda wote tunaotaka.

Mwanamke kuku disappoint sio lazima uwe umemsimesha tu.

Mwanamke msaidie bila kutegemea chochote zaidi ya mbunye yake. Kama anakupa uchi, hiyo inatosha kabisa.
Akili zako zinaendana na dp yako
 
Mkuu usitupangie maisha na wala usitupangie matumizi ya hela zetu.

Kwani nikimsimesha na akaja kuniacha wewe unaumia nini?

Sisi wengine hatusomeshi kuja kuoa bali tunasomesha ili kufanya long term investment. Nikimaanisha tunawekeza kupata mbunye muda wote tunaotaka.

Mwanamke kuku disappoint sio lazima uwe umemsimesha tu.

Mwanamke msaidie bila kutegemea chochote zaidi ya mbunye yake. Kama anakupa uchi, hiyo inatosha kabisa.
Kwani kuna garantee kwamba ukishasomesha utaendelea kuiona mbunye? wewe hujawahi kuangukiwa na kitu kizito kichwani acha kuleta ujuaji...
 
nawasihi sana ndugu zangu, usisomeshe mwanamke kwa lengo la kuja kumuoa baada ya Masomo.

Nakwambia kadri unavyomsomesha ndivyo anavyokuona useless na sio level zake.

Acheni wasomeshwe na wazazi wao, wewe nenda katimize jukumu la kuoa na kujenga familia
View attachment 2214502
Hawaelewagi hawa
 
Wanawake sio watu wazuri kabisa, ila hatuachi kuwaamini
 
Mimi sasa hv sitaki stress. Nasubiria wale aliens wa huko kwenye mawingu waliotumiwa picha za wanawake ili kuwasababisha waje duniani. Wakija tu, nachagua moja pisi yenye traqo kubwa naanza kuichakata mpka izae. Uzuri wale akili watakuja nazo sitahitaji kusomesha kima
 
Endeleeni kutusomesha bana..hadhina mtaikuta kunako mbengoo
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Acha tu kusomesha me akiniomba hata mia ya daftali namwambia sina ila akiomba nauli aje natuma ila ole wake asije lazima ajute kunifaham
 
Back
Top Bottom