Acha niamke nikatafute kazi

Acha niamke nikatafute kazi

Nipo kazini mshahara wangu ni laki 550k take home lakini nyuma ya huo mshahara nina madeni namna hii

Kazini deni la shilingi elfu 42 na 500
Huko nyumbani nina deni la 30k , kiujumla nachoka akili yangu.
 
Nipo kazini mshahara wangu ni laki 550k take home lakini nyuma ya huo mshahara nina madeni namna hii

Kazini deni la shilingi elfu 42 na 500
Huko nyumbani nina deni la 30k , kiujumla nachoka akili yangu.
Heri wewe unapata mshahara
 
Heri wewe unapata mshahara
Nimewahi kuteseka bila kazi kila nikienda na vyeti vyangu sipatiwi kazi ,

Nikajisemea kimoyo moyo sitakuja kuomba kazi tena kwenye sector binafsi labda mpaka pale ajira za serikali zikitoka.

Basi buana nilikaa na harakati za kilimo huko kijijini kwetu nikaanza kulima Mahindi hekari moja, pamba nusu hekari na maharage nikalima robo .

Hapo sina mtaji wakununua mbolea , ila mbegu nikapambana kununua na mwaka 2023- 2024 mvua ilikuwa yakutosha , ile hekari moja ya mahindi nikaomba wafanyakazi wanisaidie maana huko kwetu tunatumia warundi nikawaahidi nitawalipa , sawa wakalima nikapanda mahindi ,na sehemu iliyobakia pamba na maharage nililima kwa nguvu zangu , nilikuwa nauwezo wakushinda shambani mpaka jioni na hiyo nikutokana na uchungu niliokuwa nao , nilipambana sana ,nikavuna na pamba mwezi wa 6 nikatoa laki 4 na elfu 35 tu , maharage nilitoa gunia moja ,kiukweli nikiyafurahia maisha hayo , baada yakuuza pamba nilipigiwa simu ya ajira bila kuomba ndo nikaenda kupambana zaidi na mpaka sasa nimeajiriwa na ninajishughulisha na kilimo.


Ushauri kwa vijana wenzangu , tusichague kazi hata kama kazi hakuna tafuta fursa yako binafsi kikubwa pambana , unapofungua mlango mmoja nirahisi na mwingine kufunguliwa ya bila wewe kubisha hodi.
 
Nimewahi kuteseka bila kazi kila nikienda na vyeti vyangu sipatiwi kazi ,

Nikajisemea kimoyo moyo sitakuja kuomba kazi tena kwenye sector binafsi labda mpaka pale ajira za serikali zikitoka.

Basi buana nilikaa na harakati za kilimo huko kijijini kwetu nikaanza kulima Mahindi hekari moja, pamba nusu hekari na maharage nikalima robo .

Hapo sina mtaji wakununua mbolea , ila mbegu nikapambana kununua na mwaka 2023- 2024 mvua ilikuwa yakutosha , ile hekari moja ya mahindi nikaomba wafanyakazi wanisaidie maana huko kwetu tunatumia warundi nikawaahidi nitawalipa , sawa wakalima nikapanda mahindi ,na sehemu iliyobakia pamba na maharage nililima kwa nguvu zangu , nilikuwa nauwezo wakushinda shambani mpaka jioni na hiyo nikutokana na uchungu niliokuwa nao , nilipambana sana ,nikavuna na pamba mwezi wa 6 nikatoa laki 4 na elfu 35 tu , maharage nilitoa gunia moja ,kiukweli nikiyafurahia maisha hayo , baada yakuuza pamba nilipigiwa simu ya ajira bila kuomba ndo nikaenda kupambana zaidi na mpaka sasa nimeajiriwa na ninajishughulisha na kilimo.


Ushauri kwa vijana wenzangu , tusichague kazi hata kama kazi hakuna tafuta fursa yako binafsi kikubwa pambana , unapofungua mlango mmoja nirahisi na mwingine kufunguliwa ya bila wewe kubisha hodi.
A very touching story
Asante
Tupambane maana nothing comes on a silver platter
 
Back
Top Bottom