Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Sijui kama atazingatia ila hii iachangia sana,sigma male hawako romantic kama wadada wengi wanavyotaka wanaume wawe.

Sigma male ni watu wakimya,hata ukijinunisha wao wanajua namna ya kuishi na wewe ukiwa umenuna yeye anakupotezea wmsihowe wewe ndio unaumia kwa kuona hakubembelezi.

Sigma males hawanuniwi wala kuhojiwa hojiwa kwamba kwa nini wako hivyo,usimuulizeulize kwwmba mbona uko mkimy,mbona hunijali mbona huchangamki n.k ukiuliza hivyo unaharibu kabisa unakuwa unakera zaidi aisee.

Kama anasoma nampa hii njia ya kuishi na huyo sigma male..

1.asijethubutu kumnunia akidhani hilo litamfanya mume ajiulize kakosea wapi,kumbuka sigma male hajali kununiwa na ukimnunia umeharibu kabisa.

Hakikisha mke haumnunii sigma male k2a sababu sigma male sio mtu wa kubembeleza ama kulialia.

2. Hakikisha mumeo unamchangamkia akirudi,hakikisha unapiga nae stori hata kwa kuzianzisha wewe,

NB : yani ongea nae kwa ile mood ambayo unakuwa nayo siku ukiwa umefurahi sana ndio tumia mood hiyo kuongea nae,tabasamu usipingepinge kila anachokisema kwa sababu huwezi kuwa na hoja za msingi kbele ya sigma male,so hakikisha anachokisema haupingi kijinga weka hoja then muwe mnaomgea kihoja.

3.hakikisha unampa moyo katika changamoto anazopitia na sio kumkosoa hata kama changamoto aliyonayo eye ndio kaisababisha usianze kumkosoakosoa.

4. Ni jambo gumu sana kwa sigma male kurekebisha kila kosa,kuna makosa sigma akiona yeye hupiga kimya na hupunguza ile furaha yake kwako yaani kama anakupotezea hivi kwa sababu kuna jambo unazingua alafu hutaki kujirekebisha eidha kwa ubishi au kutokujua kama unakosea.
.so kuepuka hilo hakikisha unajievaluate yourself kitu gani unahisi hakipendi na kipi anapenda.

Kwa kukusaidia tu nataja baadhi ya mambo ambayo sigma wengi hupenda.

.kuchangamkiwa.
.usiwe gogo kitandani yani tawala kutanda,mtawale mumeo uwe mtundu.
Usipingepinge hoja zake kwa sababu anahoja za smingi sana huwezi kumzidi hoja sigma kamwe.
ya nini sasa haya maisha ya hivi
Kucheka na asocheka
Kuongea na asoongea
yani mbona nimesoma tu hapa na kichwa kinauma!

Hizi human behaviours zingine muwa mnaishia kuzisoma kwenye mitandao na vitabu, sio justifications za kuwatesa wenzenu na kuwa hamuwezekaniki kuishi na wengine!

Life and love is all about balancing and be empathetic.
Kubaki kwenye personalities ambazo zinawanjua mahusino na kuumiza na kujeruhi wenine si UFAHARI HATA KIDOGO!
 
ya nini sasa haya maisha ya hivi
Kucheka na asocheka
Kuongea na asoongea
yani mbona nimesoma tu hapa na kichwa kinauma!

Hizi human behaviours zingine muwa mnaishia kuzisoma kwenye mitandao na vitabu, sio justifications za kuwatesa wenzenu na kuwa hamuwezekaniki kuishi na wengine!

Life and love is all about balancing and be empathetic.
Kubaki kwenye personalities ambazo zinawanjua mahusino na kuumiza na kujeruhi wenine si UFAHARI HATA KIDOGO!
Ndio maana nikasema mtu asikae tu na tabia fulani akashindwa kurekebisha eti kisa ni usigma,hakuna maana,tujirekebishe na tuwe na tabia ambazo hazituumizi sisi wala kuwaumiza wenzetu.
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenzi.

Baada ya miezi 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahari tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe. 2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine nami Dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja.

Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lakini namshukuru Mungu ninamtoto wa miezi. Kilichonifanya nije humu jamaa mapenzi kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa. Yaani hana hata kidogo.

Tunaweza maliza hata mwezi hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kauli nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safiri hata wiki zaidi ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi. Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako.

Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukani, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe. Bt mapenzi hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu. Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima.

Nahisi kudata nifanyeje?
Pole sana
 
Kwahiyo hoja ni kwamba unataka jamaa abutue kitumbua? Hapo jiangalie je baada ya kujifungua mtoto umekua mchafu? Hauna usafi wako tena hivo anavumilia tu kusogeza siku.
Hahaha
 
Back
Top Bottom