Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Kwa maelezo yako..sisi Sigma Male tuko hivyo..mzoe tu..tunataka sana kuwa huru..hapo unavyokuwa nae ni kama unambana sana..tunapenda kuwa wenyewe..ingia YouTube utanielewa na utamuelewa mumeo.
Sijui kama atazingatia ila hii iachangia sana,sigma male hawako romantic kama wadada wengi wanavyotaka wanaume wawe.

Sigma male ni watu wakimya,hata ukijinunisha wao wanajua namna ya kuishi na wewe ukiwa umenuna yeye anakupotezea wmsihowe wewe ndio unaumia kwa kuona hakubembelezi.

Sigma males hawanuniwi wala kuhojiwa hojiwa kwamba kwa nini wako hivyo,usimuulizeulize kwwmba mbona uko mkimy,mbona hunijali mbona huchangamki n.k ukiuliza hivyo unaharibu kabisa unakuwa unakera zaidi aisee.

Kama anasoma nampa hii njia ya kuishi na huyo sigma male..

1.asijethubutu kumnunia akidhani hilo litamfanya mume ajiulize kakosea wapi,kumbuka sigma male hajali kununiwa na ukimnunia umeharibu kabisa.

Hakikisha mke haumnunii sigma male k2a sababu sigma male sio mtu wa kubembeleza ama kulialia.

2. Hakikisha mumeo unamchangamkia akirudi,hakikisha unapiga nae stori hata kwa kuzianzisha wewe,

NB : yani ongea nae kwa ile mood ambayo unakuwa nayo siku ukiwa umefurahi sana ndio tumia mood hiyo kuongea nae,tabasamu usipingepinge kila anachokisema kwa sababu huwezi kuwa na hoja za msingi kbele ya sigma male,so hakikisha anachokisema haupingi kijinga weka hoja then muwe mnaomgea kihoja.

3.hakikisha unampa moyo katika changamoto anazopitia na sio kumkosoa hata kama changamoto aliyonayo eye ndio kaisababisha usianze kumkosoakosoa.

4. Ni jambo gumu sana kwa sigma male kurekebisha kila kosa,kuna makosa sigma akiona yeye hupiga kimya na hupunguza ile furaha yake kwako yaani kama anakupotezea hivi kwa sababu kuna jambo unazingua alafu hutaki kujirekebisha eidha kwa ubishi au kutokujua kama unakosea.
.so kuepuka hilo hakikisha unajievaluate yourself kitu gani unahisi hakipendi na kipi anapenda.

Kwa kukusaidia tu nataja baadhi ya mambo ambayo sigma wengi hupenda.

.kuchangamkiwa.
.usiwe gogo kitandani yani tawala kutanda,mtawale mumeo uwe mtundu.
Usipingepinge hoja zake kwa sababu anahoja za smingi sana huwezi kumzidi hoja sigma kamwe.
 
Sijui kama atazingatia ila hii iachangia sana,sigma male hawako romantic kama wadada wengi wanavyotaka wanaume wawe.

Sigma male ni watu wakimya,hata ukijinunisha wao wanajua namna ya kuishi na wewe ukiwa umenuna yeye anakupotezea wmsihowe wewe ndio unaumia kwa kuona hakubembelezi.

Sigma males hawanuniwi wala kuhojiwa hojiwa kwamba kwa nini wako hivyo,usimuulizeulize kwwmba mbona uko mkimy,mbona hunijali mbona huchangamki n.k ukiuliza hivyo unaharibu kabisa unakuwa unakera zaidi aisee.

Kama anasoma nampa hii njia ya kuishi na huyo sigma male..

1.asijethubutu kumnunia akidhani hilo litamfanya mume ajiulize kakosea wapi,kumbuka sigma male hajali kununiwa na ukimnunia umeharibu kabisa.

Hakikisha mke haumnunii sigma male k2a sababu sigma male sio mtu wa kubembeleza ama kulialia.

2. Hakikisha mumeo unamchangamkia akirudi,hakikisha unapiga nae stori hata kwa kuzianzisha wewe,

NB : yani ongea nae kwa ile mood ambayo unakuwa nayo siku ukiwa umefurahi sana ndio tumia mood hiyo kuongea nae,tabasamu usipingepinge kila anachokisema kwa sababu huwezi kuwa na hoja za msingi kbele ya sigma male,so hakikisha anachokisema haupingi kijinga weka hoja then muwe mnaomgea kihoja.

3.hakikisha unampa moyo katika changamoto anazopitia na sio kumkosoa hata kama changamoto aliyonayo eye ndio kaisababisha usianze kumkosoakosoa.

4. Ni jambo gumu sana kwa sigma male kurekebisha kila kosa,kuna makosa sigma akiona yeye hupiga kimya na hupunguza ile furaha yake kwako yaani kama anakupotezea hivi kwa sababu kuna jambo unazingua alafu hutaki kujirekebisha eidha kwa ubishi au kutokujua kama unakosea.
.so kuepuka hilo hakikisha unajievaluate yourself kitu gani unahisi hakipendi na kipi anapenda.

Kwa kukusaidia tu nataja baadhi ya mambo ambayo sigma wengi hupenda.

.kuchangamkiwa.
.usiwe gogo kitandani yani tawala kutanda,mtawale mumeo uwe mtundu.
Usipingepinge hoja zake kwa sababu anahoja za smingi sana huwezi kumzidi hoja sigma kamwe.
Uwiiiii!! Asante Yesu, maana huu mbona sasa ni msalaba🙆🙆🙆
 
Hawa wanawake wa Arusha wanapenda wanaume wapole maboya ili wawatawale
 
Sijui kama atazingatia ila hii iachangia sana,sigma male hawako romantic kama wadada wengi wanavyotaka wanaume wawe.

Sigma male ni watu wakimya,hata ukijinunisha wao wanajua namna ya kuishi na wewe ukiwa umenuna yeye anakupotezea wmsihowe wewe ndio unaumia kwa kuona hakubembelezi.

Sigma males hawanuniwi wala kuhojiwa hojiwa kwamba kwa nini wako hivyo,usimuulizeulize kwwmba mbona uko mkimy,mbona hunijali mbona huchangamki n.k ukiuliza hivyo unaharibu kabisa unakuwa unakera zaidi aisee.

Kama anasoma nampa hii njia ya kuishi na huyo sigma male..

1.asijethubutu kumnunia akidhani hilo litamfanya mume ajiulize kakosea wapi,kumbuka sigma male hajali kununiwa na ukimnunia umeharibu kabisa.

Hakikisha mke haumnunii sigma male k2a sababu sigma male sio mtu wa kubembeleza ama kulialia.

2. Hakikisha mumeo unamchangamkia akirudi,hakikisha unapiga nae stori hata kwa kuzianzisha wewe,

NB : yani ongea nae kwa ile mood ambayo unakuwa nayo siku ukiwa umefurahi sana ndio tumia mood hiyo kuongea nae,tabasamu usipingepinge kila anachokisema kwa sababu huwezi kuwa na hoja za msingi kbele ya sigma male,so hakikisha anachokisema haupingi kijinga weka hoja then muwe mnaomgea kihoja.

3.hakikisha unampa moyo katika changamoto anazopitia na sio kumkosoa hata kama changamoto aliyonayo eye ndio kaisababisha usianze kumkosoakosoa.

4. Ni jambo gumu sana kwa sigma male kurekebisha kila kosa,kuna makosa sigma akiona yeye hupiga kimya na hupunguza ile furaha yake kwako yaani kama anakupotezea hivi kwa sababu kuna jambo unazingua alafu hutaki kujirekebisha eidha kwa ubishi au kutokujua kama unakosea.
.so kuepuka hilo hakikisha unajievaluate yourself kitu gani unahisi hakipendi na kipi anapenda.

Kwa kukusaidia tu nataja baadhi ya mambo ambayo sigma wengi hupenda.

.kuchangamkiwa.
.usiwe gogo kitandani yani tawala kutanda,mtawale mumeo uwe mtundu.
Usipingepinge hoja zake kwa sababu anahoja za smingi sana huwezi kumzidi hoja sigma kamwe.
Umesema vizuri..ila wanawavutia sana wanawake.
 
Mkuu ss wanaume tunakinai pus moj kila siku Kama pumzi ..mwach apumzk kwa muda afu acha mdomo
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenzi.

Baada ya miezi 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahari tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe. 2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine nami Dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja.

Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lakini namshukuru Mungu ninamtoto wa miezi. Kilichonifanya nije humu jamaa mapenzi kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa. Yaani hana hata kidogo.

Tunaweza maliza hata mwezi hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kauli nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safiri hata wiki zaidi ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi. Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako.

Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukani, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe. Bt mapenzi hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu. Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima.

Nahisi kudata nifanyeje?
uyu ni mimi kabisa
Ana tabia zangu
 
Umesema vizuri..ila wanawavutia sana wanawake.
Kabisa mkuu.

Wanawake wanavutiwa na vile sigma walivyo kwa nje wapole,hawanaga uropokaji ovyo,sigma wengi wako smart sana so wanatema point na ni wazuri kujenga hoja sana,pia sigma male hawashoboki na wanawake.

Sifa hizi humfanya mwanamke achanganyikiwe na kuona mwanaume ndio huyu sasa,ila kumbe behind the scene sigma wengi hawajuagi mambo ya romantic sijui kubembeleza sijui kubebishanabebishana wao hawaoni kama hayo mambo yana logic yoyote.

Nadhani wanawake wanaopenda kubebishwa na wanaopenda mume too romantic wanatakiwa wajiepushe sana na hawa sigma male kwa sababu wataishia kuona hawapendwi.

Kuna aina fulani ya wanawake ambao wamelelewa katika malezi fulani hao wanaweza kuishi na sigma males
 
Sijui kama atazingatia ila hii iachangia sana,sigma male hawako romantic kama wadada wengi wanavyotaka wanaume wawe.

Sigma male ni watu wakimya,hata ukijinunisha wao wanajua namna ya kuishi na wewe ukiwa umenuna yeye anakupotezea wmsihowe wewe ndio unaumia kwa kuona hakubembelezi.

Sigma males hawanuniwi wala kuhojiwa hojiwa kwamba kwa nini wako hivyo,usimuulizeulize kwwmba mbona uko mkimy,mbona hunijali mbona huchangamki n.k ukiuliza hivyo unaharibu kabisa unakuwa unakera zaidi aisee.

Kama anasoma nampa hii njia ya kuishi na huyo sigma male..

1.asijethubutu kumnunia akidhani hilo litamfanya mume ajiulize kakosea wapi,kumbuka sigma male hajali kununiwa na ukimnunia umeharibu kabisa.

Hakikisha mke haumnunii sigma male k2a sababu sigma male sio mtu wa kubembeleza ama kulialia.

2. Hakikisha mumeo unamchangamkia akirudi,hakikisha unapiga nae stori hata kwa kuzianzisha wewe,

NB : yani ongea nae kwa ile mood ambayo unakuwa nayo siku ukiwa umefurahi sana ndio tumia mood hiyo kuongea nae,tabasamu usipingepinge kila anachokisema kwa sababu huwezi kuwa na hoja za msingi kbele ya sigma male,so hakikisha anachokisema haupingi kijinga weka hoja then muwe mnaomgea kihoja.

3.hakikisha unampa moyo katika changamoto anazopitia na sio kumkosoa hata kama changamoto aliyonayo eye ndio kaisababisha usianze kumkosoakosoa.

4. Ni jambo gumu sana kwa sigma male kurekebisha kila kosa,kuna makosa sigma akiona yeye hupiga kimya na hupunguza ile furaha yake kwako yaani kama anakupotezea hivi kwa sababu kuna jambo unazingua alafu hutaki kujirekebisha eidha kwa ubishi au kutokujua kama unakosea.
.so kuepuka hilo hakikisha unajievaluate yourself kitu gani unahisi hakipendi na kipi anapenda.

Kwa kukusaidia tu nataja baadhi ya mambo ambayo sigma wengi hupenda.

.kuchangamkiwa.
.usiwe gogo kitandani yani tawala kutanda,mtawale mumeo uwe mtundu.
Usipingepinge hoja zake kwa sababu anahoja za smingi sana huwezi kumzidi hoja sigma kamwe.
Umegusa mule mule.

Niliwahi ku date na mdada mmoja, sikumbuki alinitibua kuhusu jambo gani, aisee mi nika kaa kimya tu, maana najua kwamba anajua anachokifanya halafu anasubiri nimwambie, hua nashindwa kabisa sjui kwanini. Na yeye akakausha, ndio ikawa mazima. Its been years now.

Labda ndio hii sigma maana ndio nimeifahamu hivi karibuni.
 
elezea jinsi ulivyovunja mioyo ya waliokuwapo kabla ili tujue tatizo lilipoanzia
 
Umegusa mule mule.

Niliwahi ku date na mdada mmoja, sikumbuki alinitibua kuhusu jambo gani, aisee mi nika kaa kimya tu, maana najua kwamba anajua anachokifanya halafu anasubiri nimwambie, hua nashindwa kabisa sjui kwanini. Na yeye akakausha, ndio ikawa mazima. Its been years now.

Labda ndio hii sigma maana ndio nimeifahamu hivi karibuni.
But nqdhani ni bora kujifunza kusema ukweli pale ambapo mtu unakwazika kuliko kuendeleza tabia hiyo kwa kuamini ni usigma.

Mimi mwenyewe marw chache sana mtu akinikera kumuambia badala yake huwa nampotezea tu
 
Upendo haujifichi, upendo pia hupoa! Hata hivyo, wanawake muelewe hili, mwanaume huanza na kutamani, kisha hupenda. Wanawake, huanza na kupenda. Aidha, bado una nafasi, tafuta mazingira mazuri, andaa kile anapenda, then, kwa unyenyekevu, zungumza nae kuhusu hisia zako, mwambie kuhusu vile unapenda na unavitamani, zungumza kuhusu moyo wako! Kama ni ideal, ataelewa na kufanyia kazi, kama sio, then utaelewa na kuchukua uamuzi stahili.
Ragards.
 
Sijui kama atazingatia ila hii iachangia sana,sigma male hawako romantic kama wadada wengi wanavyotaka wanaume wawe.

Sigma male ni watu wakimya,hata ukijinunisha wao wanajua namna ya kuishi na wewe ukiwa umenuna yeye anakupotezea wmsihowe wewe ndio unaumia kwa kuona hakubembelezi.

Sigma males hawanuniwi wala kuhojiwa hojiwa kwamba kwa nini wako hivyo,usimuulizeulize kwwmba mbona uko mkimy,mbona hunijali mbona huchangamki n.k ukiuliza hivyo unaharibu kabisa unakuwa unakera zaidi aisee.

Kama anasoma nampa hii njia ya kuishi na huyo sigma male..

1.asijethubutu kumnunia akidhani hilo litamfanya mume ajiulize kakosea wapi,kumbuka sigma male hajali kununiwa na ukimnunia umeharibu kabisa.

Hakikisha mke haumnunii sigma male k2a sababu sigma male sio mtu wa kubembeleza ama kulialia.

2. Hakikisha mumeo unamchangamkia akirudi,hakikisha unapiga nae stori hata kwa kuzianzisha wewe,

NB : yani ongea nae kwa ile mood ambayo unakuwa nayo siku ukiwa umefurahi sana ndio tumia mood hiyo kuongea nae,tabasamu usipingepinge kila anachokisema kwa sababu huwezi kuwa na hoja za msingi kbele ya sigma male,so hakikisha anachokisema haupingi kijinga weka hoja then muwe mnaomgea kihoja.

3.hakikisha unampa moyo katika changamoto anazopitia na sio kumkosoa hata kama changamoto aliyonayo eye ndio kaisababisha usianze kumkosoakosoa.

4. Ni jambo gumu sana kwa sigma male kurekebisha kila kosa,kuna makosa sigma akiona yeye hupiga kimya na hupunguza ile furaha yake kwako yaani kama anakupotezea hivi kwa sababu kuna jambo unazingua alafu hutaki kujirekebisha eidha kwa ubishi au kutokujua kama unakosea.
.so kuepuka hilo hakikisha unajievaluate yourself kitu gani unahisi hakipendi na kipi anapenda.

Kwa kukusaidia tu nataja baadhi ya mambo ambayo sigma wengi hupenda.

.kuchangamkiwa.
.usiwe gogo kitandani yani tawala kutanda,mtawale mumeo uwe mtundu.
Usipingepinge hoja zake kwa sababu anahoja za smingi sana huwezi kumzidi hoja sigma kamwe.
Ndugu umefanya nijitafakari mara mbili...umepita mulemule
 
You must be hiding something from us, please be transparent enough and tell us the negative side of yours that's making him stay away from you.

Lazima Kuna mambo ambayo umetuficha kuhusu wewe mwenyewe, Ni vizuri uyaweke wazi ili tujue Nini Cha kukushauri.

Mwanaume mwenye akili zake timamu hawezi kumkimbia mkewe bila sababu ya msingi.
 
kuna huu ujumbe japo nimesahau niliusomaga wapi ujaribu.

POISON THAT KILLS MEN

Once upon a time a beautiful girl got tired of her marriage life and wanted to murder her spouse.
One morning she ran to her mother and say to her " mother, I am tired of my husband I can no longer support his nonsense. I want to kill him but I am afraid Law of the land will hold me responsible, can you please help me mother?
"The mother answered:- Yes my daughter I can help you, but, there is a little task attached.
The daughter asked "what task? I am willing and ready to assume any task attached in order to get him out
"OK, said the mother,
1..You will have to make peace with him, so that no one will suspect you when he is dead.
2.. You will have to beautify yourself in order to look young and attractive to him
3.. You have to take good care of him and be very nice and appreciative to him

4.. You have to be patient, loving and less jealous, have more listening ears, be more respectful and obedient
5. Spend your money for him and don’t get angry even when he rto give you money for whatever
6. Don’t raise your voice against but encourage Peace and love so that you will never be suspected when he must have died.
Can you do all of that? Asked the mother.
Yes I can. She replied
OK, said the mother.Take this powder and pour a bit in his every day meal, it will slowly kill him.
After 30 days the lady came back to her mother and said.Mother, I have no intention of killing my husband again.
As of now I have grown to love him because he has completely changed, he is now a very sweet husband than I ever imagined.
What can I do to stop the poison from killing him? Please help me mother.She pleaded in a sorrowful tone.
The mother answered;Do not worry my daughter. What I gave you the other day was just Tumeric Powder.
It will never kill him. In reality, you were the poison that was slowly killing your husband with tension and dispassion.
It was when you started loving, honouring and cherishing him that you saw him change to a nice and sweet husband.
Men are not really wicked, but our way of relating with them determines their responses and feelings towards us.
Women, if you can only show respect, dedication, love, care and commitment to your husband, he will 100% be there for you.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom