Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Hakuna kinachodumu milele, hata hio hali sio ya milele itapita tu kwake, chamsingi endelea kurekebisha pale unapohisi ndio tatzo kuna siku atarejea nyumbani kama mwanzo coz anaonekana ametekwa nje kwa mkopo.
 
Go with the flow, jiulize kwanza ni kwanini uko hapo, ukipata jibu lizingatie. Kusema ukweli kuzaa watoto baba tofauti haipendezi, hata kama una mpango wa kuondoka jitahidi upate watoto wawili wa baba mmoja.
Mtoto wa pili anapataje wakati jamaa mwezi mzima hagusi [emoji23]
 
Hili ndilo jibu sahihi.

Nimeona wengi wakishauri ajiweke smart, mara amfuate jamaa na kuzungumza naye n.k, lakini kiuhalisia jamaa hana mapenzi yoyote kwa dada yetu, na hakuna kanuni ya kumbadilisha zaidi ya kuukubali ukweli tu na kuvumilia au kufanya maamuzi mengine.

Mimi mwenyewe nina sifa kama za huyo mdau hapo (mkimya sana na sina makuu). Aisee katika ukimya wangu (na ninaamini hata wakimya wengine wapo hivi) huwa sina tabia ya kutongoza ovyoovyo, ukiona nimemtongoza mwanamke ujue nimempenda kwelikweli, na ndo huyo atanitesa baadaye!

Lakini kutongoza mara chache haimaanishi kuwa nakuwa na fursa finyu ya kupata wanawake, hapana. Wanawake wengi (hasa waliotendwa na players waongeaji) huwa wanajitongozesha kwa wakimya wakiamini ni mahala salama kwao, kumbe ndo wanajizika kabisa kwa simba waenda pole.

Mimi huwa nawapata wengi wa kujileta (loose balls), na wanaume hatuna utaratibu wa kukataa fursa. Sasa matokeo yake huwa nawasotesha sana kwakuwa mapenzi yangu hayapo kwao hata kidogo, na sipendi kabisa kuwatesa lakini inatokea automatically kwakuwa mapenzi hayapo. Yaani nikiwa na mpenzi wa namna hiyo hata nigundue ananichepukia hata sishtuki! Hata asafiri mwaka mzima kama asemavyo mtoa mada, haina tabu. Ila kwa niliyemtongoza mwenyewe akianza vituko hadi makamasi yatanidondoka!
Sawa sawa mkuu.
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenzi.

Baada ya miezi 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahari tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe. 2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine nami Dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja.

Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lakini namshukuru Mungu ninamtoto wa miezi. Kilichonifanya nije humu jamaa mapenzi kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa. Yaani hana hata kidogo.

Tunaweza maliza hata mwezi hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kauli nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safiri hata wiki zaidi ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi. Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako.

Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukani, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe. Bt mapenzi hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu. Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima.

Nahisi kudata nifanyeje?
Duh
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenzi.

Baada ya miezi 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahari tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe. 2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine nami Dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja.

Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lakini namshukuru Mungu ninamtoto wa miezi. Kilichonifanya nije humu jamaa mapenzi kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa. Yaani hana hata kidogo.

Tunaweza maliza hata mwezi hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kauli nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safiri hata wiki zaidi ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi. Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako.

Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukani, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe. Bt mapenzi hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu. Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima.

Nahisi kudata nifanyeje?
Kaa kwenye mji wako, maana ulijipendezesha, ukajitongozesha, ukajishikisha mimba na mengine ambayo hukueleza hapa. Jitihada zilikuwa zako, pengine hali uliyoigundua sasa ilikuwepo tangu awali, Ila zile jitihada za kuuteka moyo wake, zikakufanya usione hiyo hali. Ulimkuta na maisha yake, pekee, pengine ndio anachopendelea na amekupa ulichokitaka. Nenda naye taratibu huku uliendelea kumchombeza, pengine atazoea.
 
Back
Top Bottom