Acha shule fanya biashara

Acha shule fanya biashara

Yani usilologwe ukaacha ela ukaenda kusoma assume kila siku biashara inakuingizia faida ya 20000 or 15000 ulipo ajiriwa kwasiku 10000 jumla kwasiku una 25000 zidisha kwa mwenzi 750000 hii toa matumizi kwamwenzi 150000= 600000zidisha kwa 12=7200000 hii ela toa 1000000 inabaki 6200000 ×7 jibu utakalo pata fananisha nakaratasi ambalo utapewa baada yakusoma alafu urudi mtaani uanze kuishi kama Mimi ambae ninaandika ujumbe huu nikiwa nimeweka cheti ambacho nimekininua kwamda wangu na ada zangu alafu sahivi ninaishia kupika karanga nakutembeza mamaeeee

Aaaaaah umetisha mkuu
 
Mimi uwa ashauri sana watu kurudi africa baada ya mafanikio,kdogo ulicho nacho marekani ni kikubwa africa,mfano una biashara ya $ laki moja ni biashara ya kawaida sana ila kwa level ya africa ni pesa nyingi sana na ni biashara vikubwa.
Mimi uwa napenda sana maisha ya kuishi na kusaidia watu kama vile ajira na maitaji fulani kwa level ya marekani sina uwezo huo ila kwa africa naweza kufanya vtu vikubwa na nikalitakasa jina langi.
Marekani hakuna jipya unaloweza kulifanya maana kila kitu wamemaliza yaani labda utakachojifunza kutoka kwako na ww ukakifanye africa hii ndo heshima kwangu.
Ila ukiendelea kuishi uku,utapata kila unachokita,magari,maisha mazuri,utakula ila utaendelea tu kuwa mtu wa kawaida maana mpaka ujulikane ni mziki mzito tofauti na nchi zetu za africa.
Kwaiyo personality yangu na maisha ya africa vinaendana.
Napenda mtu urudi na kuwaeleza kile ulichojifunza na uichoona na sisi tukafanya cha kwetu.
Maisha tu ndo yanatufanya tunganganie nchi za wezetu ila mimi napenda kuona africa inaendelea,kwaiyo wale wanaoishi nje na kujifunza wana nguvu kubwa ya kuendeleza maana wanajigunze vtu vingi tofauti,.
Maana nchi kama marekani sijuwi nini wamebakiza,kwaiyo kuishi kwako hapa ni fursa kwa bara letu la africa,tunatakiwa turudi kushare tulinacho
Tupe connection za kufika uko mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom