Achaa tamaa weka timu chache ushinde bet

Achaa tamaa weka timu chache ushinde bet

KANJI nae mchawi tuu

Unakuta

Unaplan kuweka timu Moja unajikuta umeweka tatu alafu hzohzo mbil ulizoziongeza ndio zinachana,😃
 
Kuna option ya over 8.5 first set tennis .Hiyo utatafuta mpaka utachoka.Wanigeria walikuwa wanamtungua Kanji hadi sio poa.
 
Unajiachia zako tamaa halafu unaweka Man city, Galatasaray na Barcelona wote Win stake high chamoto unakiona.
Betting haina cha team chache wala kuchambua inakupiga right and left
 
Betting Haina kanuni, Jana niliwapa ushindi Atletico Madrid, Real Madrid na Bayern Munich hatahivyo mechi zote zikanilaza kapa, wakati majuzi nilitabiri ushindi wa timu 15 zote nikapatia hivyo nikapata pesa
 
Kuna option ya over 8.5 first set tennis .Hiyo utatafuta mpaka utachoka.Wanigeria walikuwa wanamtungua Kanji hadi sio poa.
Screenshot_20241004-191854.jpg

Unasemea iyo ama🤷🏽‍♂️
 
Watu wengi wakisikia neno bet, moja kwa moja wanahuisha na mpira wa miguu, ni kweli wapo sawa ila betting siyo kwenye mpira wa miguu tu hata kwenye michezo kama cricket, basketball, ngumi na michezo mengine, Embu tungalie kwa upande wa mpira wa miguu ambo unaongoza kwakua na mashibiki wengi duniani. Kwa hapa Tanzania kuna makampuni mengi yanayo jihusisha na mechezo ya kubahatisha/bahati nasibuu mfano wa makampuni hayo ni Pamoja na sokabet, Tuangangalie kwa upande wa sokabet. Ukifuata hatua hizi utaweza kuwa unashinda katika ubashiri utakaofanya kila siku

1. usiweke mechi nyingi kwa mkeka mmoja/ticket. Hii ni kwasababu unapoweka mechi nyingi katika mkeka mmoja unapunguza uwezekano wa wewe kushinda. Japo kuwa wengi wanawaza kupata hela nyingi lakini wanasahau kuangalia uwezekano wa kushinda. Ni kweli kwamba ukiweka mechi nyingi ndio hela inaongezeka ila uwezekano wakushinda unapungua, ndiyo maana wenye makampuni hawaruhusu kubeti/kutandika mkeka wa mechi moja .angallia mfano hapo chini

2. Zijue timu unazozibetia/ ambazo unazitabiria : kujua timu kabla ya kubeti ni jambo muhimu sana kwa sababu kunatimu ni mahasimu sana katika ligi fulani. Kwa mfano ligi kuu vodacom wakicheza simba na yanga, hata kama simba akiwa anashika nafasi za mwishoni katika ligi hatakubali kufungwa kirahisi na yanga kwa hiyo mechi itakua naupinzani mkali. Mara nyingi zikikutana timu kama hizi matokeo huishia kuwa droo/draw au utofauti mdogo wa magoli. Pia kingine atika kuzijua timu jaribu kuangalia kama kuna timu ni kibonde wa mwingine. Kwa mfano asernal ni mteja wa man united mara kwa mara, kwahiyo jaribu kuangalia nani anamfunga mwenzake mara kwa mara kisha mpe.

3.usibetie timu kwa sababu ya ushabiki: hiki ni kitu cha kuzingatia kwani wengi wwamekua wakibet kwa sababu tu ya mapenzi ya katika timu fulani. Ushauri ni bora usibetie timu unayoipenda kama uwezi kazuia hisia zako, kwani hisia zinamzuia mtu kuichambua timu anoyo ishabikia

4.Angalia goal differences/ tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa: ni vizuri kuangalia tofauti ya magoli kwa zile timu ambazo unataka kuzibetia na hii ni nzuri hususani kwa wale ambao watakua wanabeti kama timu zote zitafunga. Kwa mfano kama timu inamagoli mengi ya kufunga kuliko ya kufungwa ni wazi kwamba timu hii haifungwi mara kwa mara kwa hiyo ikikikutana/kucheza na timu ambayo ina magoli mengi sana ya kufugwa kuliko ya kufunga, hii inaonyesha kuwa hii timu itafungwa bila yenyewe kufunga kwahiyo kama uliweka both team will score “yes” huo mkeka utakua umechanika.
NB: hii haimanishi kwamba itakua hivyo kwa mechi zote ila ni kwamba uwezekano mkubwa/ possibility ipo hivyo

5. Usibet mechi zaidi ya tatu: Na maanisha kuwa the more teams the greatest possibility to lose but the less teams the greatest possibility to win. Watu wengi wanakosea. Huandaa mkeka wenye idadi kubwa ya mechi matharani mechi 8; 10; 12; 15 wengine hadi 20 na huweka sh. 500 au sh.100 na wakitegemea kula mamilioni ya pesa. Ndugu zangu hizo ni ndoto za mchana. Bora hiyo sh.500 au hiyo buku ungenunua vocha. Haiwezekani na mara nyingi watu huliwa kila siku. Wengine huchagua list kubwa ya big team kama barca; real madrid; bayern; psg; juventus ambazo zinapewa possibility kubwa ya kushinda. Lakini team hizi hupewa odds (point) ndogo sana kama 1.11; 1.03; 1.20 ila kwa kampuni kama sokabet odds huwa kubwa sana.
Upumbavu mtupu. Haya maandishi ungeelezea hata kilimo cha ufuta au jambo lingine lenye manufaa kuliko huu ushuzi unaozidi kuwafukarisha watu.
 
Back
Top Bottom