Achague kozi ipi kati ya Bachelor of Medical lab na Architecture

Achague kozi ipi kati ya Bachelor of Medical lab na Architecture

sudan iii

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2018
Posts
263
Reaction score
323
Habari zenu ndugu yangu amechaguliwa kusom bachelor of Medical Lab Muhimbil na Bachelor of Architecture UDSM kwa upeo wenu ni wapi dogo aende kwa mstakabal mzuri wa maisha yake ya mbelen
 
yeye anaulizia kwa uzuri ipi ni nzur sabab yy alikua anatak MD lakin amepat BMLS na architecture so ajui akasome ipi
Uzuri kwenye Nini ?

Maslahi?
Uzuri wa course au uzuri wa Chuo?
Uzuri wowote wa course huwa inategemea na malengo ya mhusika amelenga Nini kwenye maisha yake sidhani Kama alijaza tu course bila kuwa na uelewa na anachokitaka.

Kama hajui mpaka saa hizi afanye Nini basi keshafeli
 
Uzuri na maanish maslahi
Ukienda kwenye maslahi bila kutumia akili nyingi aende hiyo medical laboratory Ila Kama anataka maslahi kwa kutumia akili nyingi basi aende ardh anaweza kuwa na pesa ndefu kupita hata MD ndio maana tunasema inategemea yeye kichwani mwake Kuna Nini?
 
Ukienda kwenye maslahi bila kutumia akili nyingi aende hiyo medical laboratory Ila Kama anataka maslahi kwa kutumia akili nyingi basi aende ardh anaweza kuwa na pesa ndefu kupita hata MD ndio maana tunasema inategemea yeye kichwani mwake Kuna Nini?
Asante kwa ushauli
 
Ukienda kwenye maslahi bila kutumia akili nyingi aende hiyo medical laboratory Ila Kama anataka maslahi kwa kutumia akili nyingi basi aende ardh anaweza kuwa na pesa ndefu kupita hata MD ndio maana tunasema inategemea yeye kichwani mwake Kuna Nini?
Samahani mkuu,hivi pesa nyingi kwa hii take home ya MD ambayo haifiki hata mil moja? Au kuna maslahi mengine tofauti.?
 
Habari zenu ndugu yangu amechaguliw kusom bachelor of medical lab muhimbil na bachelor of architecture udsm kwa upeo wenu ni wapi dogo aende kwa mstakabal mzuri wa maisha yake ya mbelen
mimi kama kaka yako nakushauri nenda kasome bsc in medical laboratory..maana tunajua ajira ni ngumu ndio ila kidogo vijihospitali ni kila siku vinafunguliwa mitaani , serikalini, sijaona watu wa lab wakikaa sana mitaani dogo, ila archtecture mdogo wangu ndio wapo wanaopata ila kuna msoto flani maana maakmpuni ya ajira kama hizo yanafunguliwa na ni machache kwa hiyo mtu mmoja anaweza kuajiriwa kwenye kampuni hat amoaka astaafu ,
pili lab ni miaka mitatu kama sikosei ikiingia hapo kuna uwezekano mkubwa wakumaliza fasta na unaweza kwenda kusoma masters ya kueleweka sana ndai ya miaka sita unakuwa na degree mbili watu watajipanga kukuajili upande wapili artchtecture ni maiak m5 sasa umalize uje ukaosme masters sijui na nini itake laot of years

kasome lab mdogo wangu kwa tanzania hapa unaishi kwa kuangalia opportunity kwa upande wa elimu we far away from dreams
 
Habari zenu ndugu yangu amechaguliw kusom bachelor of medical lab muhimbil na bachelor of architecture udsm kwa upeo wenu ni wapi dogo aende kwa mstakabal mzuri wa maisha yake ya mbelen
UDSM na muhas wameshatoa majibu kwa walioappy mwaka huu ?
 
Kama katok familia ya kimaskini anataka apate kazi haraka na mashahara wa kawaida sana..na maisha yake yawe ya kawaida aende medical lab..kama ni mtu wa michongo na anataka pesa ndefu ya maisha aende arch.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari zenu ndugu yangu amechaguliw kusom bachelor of medical lab muhimbil na bachelor of architecture udsm kwa upeo wenu ni wapi dogo aende kwa mstakabal mzuri wa maisha yake ya mbelen
Duh PCB anavigezo kweli vya kusoma iyo koz kweli?????iyo koz c ya watu wenye pure au
 
Tanzanians bana

Eti "ushauli"

Halafu bwege kama hili likimuona Mkenya au taifa lingine akiongea Kiswahili eti "hujui" Kiswahili and blah blah

Kumbe jinga halijui tofauti ya "r" na "l"

Tujivunie Kiswahili halafu ndio tuongea huu uozo?

Mtu akiongea Kingereza bwege kama hili linatanua midomo eti sisi sio Waingereza tuongee Kiswahili tu,na Kiswahili chenyewe halijui.

Sijui nini tunawezaga Watanzania,kila kitu hadi Kiswahili tunafeli
Toa ushauli kam unajua sana kiswahil nenda kafundish china
 
Ukienda kwenye maslahi bila kutumia akili nyingi aende hiyo medical laboratory Ila Kama anataka maslahi kwa kutumia akili nyingi basi aende ardh anaweza kuwa na pesa ndefu kupita hata MD ndio maana tunasema inategemea yeye kichwani mwake Kuna Nini?
Mnavyoongea kama ajira mnatoa nyie vile[emoji23][emoji23][emoji23]...
 
Back
Top Bottom