anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 482
Bora. Unakuta mtu anapost viatu 89 mb hazikai.Mi wote nimemute
Wakuu niende kwenye hoja.
Watu wengi wanatuma picha na makablasha mbalimbali Kwenye status page ya Whatsapp. Pia pale Facebook kuna Ile sehem ya stori. Kule kuna Instagram na maticktok binafsi na kwa ushauri epuka kuvisit kila status. Utamalizamb zako Bure. Fungua favorite status na stori. Kwa ushauri tu.
Pia soma.
Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri
Ni mara chache sana mtu atapost facebook na instagram, inaweza kuwa mara 1 kwa mwezi lakini huku status za whatsapp mtu anaweza kupost kila siku maana hata watu wanaoziona ni wale aliowasevu na anaweza kuwachuja zaidi, pia hata watu watao like ama ku comment ni siri yake sio wazi wazi. Mtu...www.jamiiforums.com
Ova
Mi pia siangalii...Mie ni nadra sana kucheki status, simu sina akaunti ya tiktok
Hasa wenye stress za maisha...Halafu kupitia status za watu unaweza kugundua tabia za watu zilizojificha . Ziwe nzuri au mbaya
kabisa yaani . Lazima utajua tu nini kinaendelea kwenye akili ya mhusika. Au anapitia nini.Hasa wenye stress za maisha...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta hela kijanaWakuu niende kwenye hoja.
Watu wengi wanatuma picha na makablasha mbalimbali Kwenye status page ya Whatsapp. Pia pale Facebook kuna Ile sehem ya stori. Kule kuna Instagram na maticktok binafsi na kwa ushauri epuka kuvisit kila status. Utamalizamb zako Bure. Fungua favorite status na stori. Kwa ushauri tu.
Pia soma.
Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri
Ni mara chache sana mtu atapost facebook na instagram, inaweza kuwa mara 1 kwa mwezi lakini huku status za whatsapp mtu anaweza kupost kila siku maana hata watu wanaoziona ni wale aliowasevu na anaweza kuwachuja zaidi, pia hata watu watao like ama ku comment ni siri yake sio wazi wazi. Mtu...www.jamiiforums.com
Ova
sio kweli kwa asilimia 90 asilimia 10 ni kweliHalafu kupitia status za watu unaweza kugundua tabia za watu zilizojificha . Ziwe nzuri au mbaya
Aisee! [emoji23][emoji23]Mkuu status ndio nn Kwenye cm .Ili NAMI nijuee