Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N kwann unawa-mute.? Kama n hvy c usiwe unaenda kabisa ule upande wa status mana naona kama vile unajitesa mwnyw.Nulishamute woooote, ilinichukua muda kumaliza. Sina muda wa kudeal na emotions na stress za watu miye nina zangu, maana sina namna na wala dhamana ya kuwasaidia. Pia, sitaki kuwa prisoner kwenye simu yangu mwenyewe. Kuna watu kila siku status hadi 3, hebu zidisha na contacts ulizonazo, tutaweza wapi?
Limbukeni 😆Duhhhh....
Bora niendelee kuitwa mshamba tu kwakweli.
Ushamba SI ugonjwa ni akiliDuhhhh....
Bora niendelee kuitwa mshamba tu kwakweli.
Hayo maisha unayopost ni yep,au ya kisadikikikaUnajidanganya mkuu...mimi ninachoweka status na maisha yangu ni vitu viwili tofauti kama sio vitatu😃😃😃
Wewe ni msanii.Mm napenda sana kuview status za watu ila binafsi hua sipost chochote, inafika hatua kila baada ya mwezi na Mm napost kuwaambia watu kuwa wasifute namba yangu mana nataka kuona status zao 😎
Mbona zangu huwa unaview?Mie ni nadra sana kucheki status, simu sina akaunti ya tiktok
Kabisa aisee zimaliza bando sana hizoWakuu niende kwenye hoja.
Watu wengi wanatuma picha na makablasha mbalimbali Kwenye status page ya Whatsapp. Pia pale Facebook kuna Ile sehem ya stori.
Kule kuna Instagram na maticktok binafsi na kwa ushauri epuka kuvisit kila status. Utamalizamb zako Bure. Fungua favorite status na stori. Kwa ushauri tu.
Pia soma:
- Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri
Ova
Yani ni tofauti na uhalisia kabisa😃😃...Hayo maisha unayopost ni yep,au ya kisadikikika
Sasa wewe unajilinganisha na nani kwa mfano, wewe ni special case. Burudani ya mboni zangu, naachaje kuitazama, nani asiyependa raha, kwangu kuna raha gani nyingine zaidi ya kukutizama wewe?🥰Mbona zangu huwa unaview?
NdioWewe ni msanii.
🤣🤣🤣Bora. Unakuta mtu anapost viatu 89 mb hazikai.
Babe🥰🥰🥰🥰🥰Sasa wewe unajilinganisha na nani kwa mfano, wewe ni special case. Burudani ya mboni zangu, naachaje kuitazama, nani asiyependa raha, kwangu kuna raha gani nyingine zaidi ya kukutizama wewe?🥰
🤣🤣
😍😍😘Babe🥰🥰🥰🥰🥰