Achana na kufungua status za watu utamaliza MB zako bure

N kwann unawa-mute.? Kama n hvy c usiwe unaenda kabisa ule upande wa status mana naona kama vile unajitesa mwnyw.
 
Duh aisee umaskini kitu mbaya sana..

Mkuu wengine sisi mida ya mchana tunakula WiFi ya ofisi jioni home ndo tunapitia status za wapendwa wetu na post zao huko me napenda sna cartoon za Tom and jerry na video za wanyama ndege na reels za mademu wa South Africa waki twerk...mbona kwa siku gb 1 inanitosha nainunua 2500 na huko nako ni kumaliza hela?2500 si bia moja hiyo
 
Kuna siku waifu aliniuliza kwamba....
J... mbona hauangalii statas zangu..??
Mimi nikamjubu kwamba....
Kipenzi..... hizo statas ndio nini...??
Akanijibu.... ni jina la demu mpya...🤣
 
Kabisa aisee zimaliza bando sana hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…