DOKEZO Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

DOKEZO Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Acha porojo na kupondea chuo mkuu, kwanza nina wasi wasi na degree yako na pili anaepaswa kutumia choo kwa ustaarabu ni mwanafunzi mwenyewe sio kazi ya chuo. wafanya usafi wanajitahidi kufanya usafi wa vyoo ila shida ni wanafunzi wenyewe wala sio chuo. pia umesomea degree gani hapo UDOM inaonekana kichwani mweupe kabisa hakuna msomi mwenye hoja za kipumbavu kama wewe. unataka ufundishwe hadi kutumia choo kistaarabu na chuo? vitu vingine sio vya kuleta huku ni kujitia aibu tu.
 
Nimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.

Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.

UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU

"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
Picha
 
Nimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.

Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.

UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU

"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
Makamu wa chuo afukuzwe haraka
 
Hapo tatizo ni nyie watumiaji kama hamjiheshimu ,mnakunya kunya ovyo juu ya masink,unajisaidia humwagi maji/flash
Mwanachuo analewa anatapikia chooni hasafishi

Unategemea nani aje akufanyie usafi ?

Baadhi ya wanavyuo chuoni ni wachafu sana,hawana ustaarabu
wengi wasukuma pale, unategemea nini. Wasukuma mpaka wastaarabike mtangoja sana. Wanajichamba na vikaratasi na mpaka magunzi na hawaelewi. Oga yao yenyewe shida.
 
Kuna vyoo vichafu au Kuna wachafua vyoo waliobobea! Vyoo havijengwi vichafu ,vinachafuliwa!
Hapo tatizo ni nyie watumiaji kama hamjiheshimu ,mnakunya kunya ovyo juu ya masink,unajisaidia humwagi maji/flash
Mwanachuo analewa anatapikia chooni hasafishi

Unategemea nani aje akufanyie usafi ?

Baadhi ya wanavyuo chuoni ni wachafu sana,hawana ustaarabu
Nyinyi bado mnaishi mjini kwa zama za kubeba makopo ya maji. Haiwezekani mnaambiwa chuo kikuu hakuna maji ya kutosha vyooni na hawafanyi ukarabati wa miundombinu alafu nyie mnawashangaa wanaotoa hoja.

Mbadilike muache kutumia magunzi chooni. Chuo kikuu kilichopo mji mkuu kinatakiwa kuwa na mifumo sahihi ya maji safi na maji taka. Na kiwe na miundombinu mizuri ya usafi. Ni aibu magonjwa ya uchafu kuanzia chuo kikuu, sasa uswahilini itakuwaje.
 
Acha porojo na kupondea chuo mkuu, kwanza nina wasi wasi na degree yako na pili anaepaswa kutumia choo kwa ustaarabu ni mwanafunzi mwenyewe sio kazi ya chuo. wafanya usafi wanajitahidi kufanya usafi wa vyoo ila shida ni wanafunzi wenyewe wala sio chuo. pia umesomea degree gani hapo UDOM inaonekana kichwani mweupe kabisa hakuna msomi mwenye hoja za kipumbavu kama wewe. unataka ufundishwe hadi kutumia choo kistaarabu na chuo? vitu vingine sio vya kuleta huku ni kujitia aibu tu.
Maji hamna. Hebu eleza chooni huwa unatumia nini kama sio maji, unatumia magunzi?
Kama maji hawana, usafi wanafanyaje?

Wewe mwenye IQ kubwa mtaalam, tueleze bila maji chooni unasafisha kwa nini.
 
Maji hamna. Hebu eleza chooni huwa unatumia nini kama sio maji, unatumia magunzi?
Kama maji hawana, usafi wanafanyaje?

Wewe mwenye IQ kubwa mtaalam, tueleze bila maji chooni unasafisha kwa nini.
Unazungumzia maji gani hayo mkuu? nenda udom ukaone kila block kuna matenki makubwa mawili ya maji. ishu kubwa hapo ni wanafunzi wenyewe kutojitambua na haiwezekani chuo kikubebe maji hadi chooni ukajisaidie huo utakua ni upuuzi mkuu. Pili; ukisema kuwekwa kwa system za maji mpya ilo sio jambo dogo na linahitaji muda wa kutosha na fedha za kutosha. kukarabati miundombinu kwa kile chuo huwezi kukurupuka tu ukaanza ukarabati inahitaji fedha za kutosha. Tatu; wanafunzi wanashauriwa wanunue vyombo vya kuhifahia maji kama majaba na ndoo ila shida unakuta room nzima hawana ndoo wala jaba sasa unataka chuo kikununulie jaba la maji! unadhani vyoo havitokua vichafu kwa style hiyo?
 
Unazungumzia maji gani hayo mkuu? nenda udom ukaone kila block kuna matenki makubwa mawili ya maji. ishu kubwa hapo ni wanafunzi wenyewe kutojitambua na haiwezekani chuo kikubebe maji hadi chooni ukajisaidie huo utakua ni upuuzi mkuu. Pili; ukisema kuwekwa kwa system za maji mpya ilo sio jambo dogo na linahitaji muda wa kutosha na fedha za kutosha. kukarabati miundombinu kwa kile chuo huwezi kukurupuka tu ukaanza ukarabati inahitaji fedha za kutosha. Tatu; wanafunzi wanashauriwa wanunue vyombo vya kuhifahia maji kama majaba na ndoo ila shida unakuta room nzima hawana ndoo wala jaba sasa unataka chuo kikununulie jaba la maji! unadhani vyoo havitokua vichafu kwa style hiyo?
Udoso kama udoso
 
Unawezaje kujua na kuelezea mambo ya UDOM na usiijue udoso, una akili ndogo sana
Thibitisha mimi ni udoso. kwahiyo kuongelea mambo ya udom ndio kua udoso? kweli hii nchi ina vilaza wengi.
 
Thibitisha mimi ni udoso. kwahiyo kuongelea mambo ya udom ndio kua udoso? kweli hii nchi ina vilaza wengi.
Ungekuwa huijui usingejibu hivi, kumbe waijua na uliuliza ni nini? Sasa huoni unajitekenya wewe kamanda.
 
Thibitisha mimi ni udoso. kwahiyo kuongelea mambo ya udom ndio kua udoso? kweli hii nchi ina vilaza wengi.
Habari wakuu wa jf ,nimechaguliwa
UDOM - Diploma in pharmacy
OPEN UNIVERSITY - Bachelor of science in information and communication technology
ST JOSEPH - Bachelor of science with education in bios and chem. je nikasome kozi gani hapo kwa kuzingatia kigezo cha kujiajiri

Unaukumbuka uzi huu kamanda zink, wewe ni kijana mdogo sana Zink
 
Ungekuwa huijui usingejibu hivi, kumbe waijua na uliuliza ni nini? Sasa huoni unajitekenya wewe kamanda.

Habari wakuu wa jf ,nimechaguliwa
UDOM - Diploma in pharmacy
OPEN UNIVERSITY - Bachelor of science in information and communication technology
ST JOSEPH - Bachelor of science with education in bios and chem. je nikasome kozi gani hapo kwa kuzingatia kigezo cha kujiajiri

Unaukumbuka uzi huu kamanda zink, wewe ni kijana mdogo sana Zink
Unaonekana umetokea vijijini mkuu! kwahiyo kuna uhusiano gan hapo?
 
Unazungumzia maji gani hayo mkuu? nenda udom ukaone kila block kuna matenki makubwa mawili ya maji. ishu kubwa hapo ni wanafunzi wenyewe kutojitambua na haiwezekani chuo kikubebe maji hadi chooni ukajisaidie huo utakua ni upuuzi mkuu.
Kumbe UDOM ukitaka kujisaidia ni kweli unaenda na ndoo ya maji chooni?
Yani 2023 hii chuo kikuu kikubwa wanabeba mkebe wa maji kwenda maliwatoni. Si ndio upuuzi wenyewe unaosemwa hapa. Maana yake na kudeki nako wanapandisha ndoo block za juu.
Pili; ukisema kuwekwa kwa system za maji mpya ilo sio jambo dogo na linahitaji muda wa kutosha na fedha za kutosha. kukarabati miundombinu kwa kile chuo huwezi kukurupuka tu ukaanza ukarabati inahitaji fedha za kutosha.
Wapi nimesema system mpya za maji. Kwani chuo hakikuzinduliwa na mifumo ya maji? Tangu day one hakukuwa na mabomba vyooni mpaka leo hii unahamasisha wanafunzi wachote maji kwenda nayo chooni.

Au hamjui kufanya repair na maintenance mnasubiri chuo kibomoke ndio mjenge upya.
Tatu; wanafunzi wanashauriwa wanunue vyombo vya kuhifahia maji kama majaba na ndoo ila shida unakuta room nzima hawana ndoo wala jaba sasa unataka chuo kikununulie jaba la maji! unadhani vyoo havitokua vichafu kwa style hiyo?
Chuo kikuu kinategemea kufanya usafi wa public toilets kwa maji ya majaba?
Hata sekondari yangu hatukuwahi fanya hivi. Kumbe hali ni mbaya kiasi hiki.
 
Kumbe UDOM ukitaka kujisaidia ni kweli unaenda na ndoo ya maji chooni?
Yani 2023 hii chuo kikuu kikubwa wanabeba mkebe wa maji kwenda maliwatoni. Si ndio upuuzi wenyewe unaosemwa hapa. Maana yake na kudeki nako wanapandisha ndoo block za juu.

Wapi nimesema system mpya za maji. Kwani chuo hakikuzinduliwa na mifumo ya maji? Tangu day one hakukuwa na mabomba vyooni mpaka leo hii unahamasisha wanafunzi wachote maji kwenda nayo chooni.

Au hamjui kufanya repair na maintenance mnasubiri chuo kibomoke ndio mjenge upya.

Chuo kikuu kinategemea kufanya usafi wa public toilets kwa maji ya majaba?
Hata sekondari yangu hatukuwahi fanya hivi. Kumbe hali ni mbaya kiasi hiki.
Achana nae huyo ni mtoto alianza cho 2021, mo lazima akitetee chuo, hajui kuna watu huifahamu UDOM kuliko hao wanafunzi.
 
Back
Top Bottom