DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Miaka mitatu udsm cjawahi kuvikalia vile vyoo vya kukaa.... Chooni mamimavii everywhere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanzania ukiwemo na wewe bibie...Hilo la vyoo siyo UDOM tu ni Tanzania nzima, Mtanzania hana kabisa utamaduni wa kuweka usafi wa vyoo.
Elimu kubwa sana kwa vitendo inahitajika hapo.
Daah hii kitu uisikie tu ni hatariaz sana.
Kwanini sehemu kama ile vyoo vikose maji?Kuhusu vyoo ni wanafunzi wenyewe, kama usafi vinafanyiwa kila siku, shida ni wanafunzi wachafu sana, mtu anajua hana maji lakini anafosi kuingia bila maji, huu upuuzi upo sana.
Na sijui kama mlipopita JKT mlielewa somo la usafi.
Mie siyo Mtanzania, nilipachikwa tu Utanzania bila kuulizwa.Mtanzania ukiwemo na wewe bibie...
Mbona hatukuoni ukiitetea hii Tanganyika ikiliwa na wala urojo, badala yake wewe ndo umegeuka chawa wa wala urojo, au umeonjeshwa urojo bibie..Mie iyo Mtanzania, nilipachikwa tu Utanzania bila kuulizwa.
Mimi Mtanganyika. Nimezaliwa Tanganyika.
Hata Kama Kuna maji ya uhakika, wengi walikotoka hawajawahi kutumia hivyo vyoo sasa unategemea mtu wa hivyo atasafisha? Huko makazini (maofisini) sema kuna wanaohudumia vyoo vinginevyo ingekuwa ni vilevile. Majumbani NI yale yale akija mgeni mwingine utatoa darasa hadi unachoka inabidi akitoka kushusha uingie ukamwagie maji. Sasa kama hata majumbani tunalia huo mkusanyiko wa chuo ukoje? Tena chuoni kuna wakuja wengi kweli yaani hata kuchamba wengine hawajui. Kama umemaliza salama shukuru MunguBila maji ya uhakika yote hayo unayoyazungumzia ni kama ndoto tu.
Kwani viazi vya kutengenezea huo urojo vinatokea wapi? Unataka niudhi wateja?Mbona hatukuoni ukiitetea hii Tanganyika ikiliwa na wala urojo, badala yake wewe ndo umegeuka chawa wa wala urojo, au umeonjeshwa urojo bibie..
DUWASAKwanini sehemu kama ile vyoo vikose maji?
Hiyo tu vyoo kukosa maji ni upumbavu mkubwa wa watawala.
Weka maji vyooni wewe afisa wa Udom,fanya repairs vyooni, acha drama.Kuna vyoo vichafu au Kuna wachafua vyoo waliobobea! Vyoo havijengwi vichafu ,vinachafuliwa!
Kabisa,hujawahi fika dodoma wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseeeeh...
Habari wakuu wa jf ,nimechaguliwa
UDOM - Diploma in pharmacy
OPEN UNIVERSITY - Bachelor of science in information and communication technology
ST JOSEPH - Bachelor of science with education in bios and chem. je nikasome kozi gani hapo kwa kuzingatia kigezo cha kujiajiri
Unaukumbuka uzi huu kamanda zink, wewe ni kijana mdogo sana Zink