Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Bongo na sehemu kubwa ya Africa kwa ujumla.Uchafu upo kila sehemu ya mchanganyiko wa watu wengi.
sehemu za umma usafi hauzingatiwi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo na sehemu kubwa ya Africa kwa ujumla.Uchafu upo kila sehemu ya mchanganyiko wa watu wengi.
sehemu za umma usafi hauzingatiwi kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa wanafunzi wengi wao ni watoto wetu sisi wakulima uku. sisi uku vyoo yetu ni vya shimo vile vya kulenga.
Hayo mambo ya choo cha mzungu wameyakuta ukouko chuo na bahati mbaya mambo aya hakuna anaekufundisha, utafanya unavoweza au ulivozoea uko kwenu.
inabidi lazma wafundishwe matumizi (wapende wasipende) vinginevo iyo shida haiwezi kuisha.
uko maofisini kwenyewe tu kuna watu kibao wanapanda na viatu juu ya masinki ya choo cha kukaa sembuse uko shuleni.
wakusanywe ao wanafunzi wafundishwe matumizi sahh na usafi wa choo.
Mkuu, umeshapata ajira?Nimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.
Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.
UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU
"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
Hakika, Pia sehemu nyingi za kula za mabasi vyoo ni vichafu sana. Watu wanajisaidia hawaflashi, sabuni za kunawa za unga wamedailuti na maji, kwingine vyakula wanauzia njia za kwenda vyooni.Hicho ni choo cha stendi ya mabasi ya Katoro mkoani Geita. Unafikiri ni kwa nini wameamua kuandika hivyo?
Inawezekana Uongozi wa UDOM una mapungufu yake, lakini kwa vyoo kuwa vichafu si la uongozi wa Chuo pekee.
Suala la usafi wa vyoo bado ni changamoto kubwa sana Tanzania. Tabia ya usafi bado haijafikia viwango sahihi.
Wawekwe mgambo katika vyoo kukagua kila anayetoka chooni kama amesafisha vizuri.Hawa wanafunzi wengi wao ni watoto wetu sisi wakulima uku. sisi uku vyoo yetu ni vya shimo vile vya kulenga.
Hayo mambo ya choo cha mzungu wameyakuta ukouko chuo na bahati mbaya mambo aya hakuna anaekufundisha, utafanya unavoweza au ulivozoea uko kwenu.
inabidi lazma wafundishwe matumizi (wapende wasipende) vinginevo iyo shida haiwezi kuisha.
uko maofisini kwenyewe tu kuna watu kibao wanapanda na viatu juu ya masinki ya choo cha kukaa sembuse uko shuleni.
wakusanywe ao wanafunzi wafundishwe matumizi sahh na usafi wa choo.
Mkuu, kwani hao wanavyuo wametoka wapi? Nafikiri ungesema tu "Watanzania"Karibia vyuo vyote wapo hivo sio udom tu, baadhi ya wanavyuo wenyewe ni wachafu,nje wanavaa vizuri ila tabia zao sasa
Kwa Afrika ni rahisi ku control jamii ya watu 500 kuliko 34000Chuo cha Kata hicho, wanazidiwa na watoto wa Primary vyoo visafi.
Madam, upo sahihi, lakini kusema hiyo ni tabia ya "Mtanzania" utakuwa umekosea. Labda ungesema Watanzania wengi. Naamini wewe huna hiyo tabia.Hilo la vyoo siyo UDOM tu ni Tanzania nzima, Mtanzania hana kabisa utamaduni wa kuweka usafi wa vyoo.
Elimu kubwa sana kwa vitendo inahitajika hapo.
Sio wawasimamie vizuri watu wa usafi mkuuKinachotakiwa na kuwekwa mgambo kusimamia matumizi sahihi ya vyoo.
Mtu wa maombi hapaswi kusema hivyo.Tulikuwa hapo UDOM mwaka juzi kwenye kongamano la maombi ya kitaifa na Mwalimu Mwakasege,
Tulikuwa tunalala kwenye mabweni ya hicho chuo!
. Aisee tulkaa hapo wiki nzima ila muda wote nilishindwa kabisa kwenda kujisaidia kwenye vile vyoo humo ndani
Niliwaza sana, nikasema mtu mweusi ni laana.
Yule mama yenu msemaji wa UDOM atakuja kukupinga vikali na kusema unasema haya wakati vyuo vimefungwa, subiri uone suala la KUNGUNI alipinga vikali kwamba mnachafua Jina la Chuo Sasa umeibuka huu uozo kuna vyuo ukienda chooni unatamani ubakie huko huko usitoke, chooni bafu maji bweleleNimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.
Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.
UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU
"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
Maombi? Maombi gani?Mtu wa maombi hapaswi kusema hivyo.