Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Hujui maana ya maombiMtu wa maombi hapaswi kusema hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui maana ya maombiMtu wa maombi hapaswi kusema hivyo.
Suala la mtu kuwa msafi au mchafu ni la kitabia, na tabia haijengwi kwa siku moja.Daah hii kitu uisikie tu ni hatariaz sana.
Haya mambo ya usafi na yenyewe sasa wayaingize kwenye orientation course mara mtu aking'aa viwanja vya chuo apigwe msasa haya mambo uenda ikasaidia.
nasema uongo wajameni?
Ohoo! Kumekucha!!!Mie siyo Mtanzania, nilipachikwa tu Utanzania bila kuulizwa.
Mimi Mtanganyika. Nimezaliwa Tanganyika.
Uongo UONGO UONGO UONGO, kuna Chuo nikikupeleka chooni unaweza ukasema hiki sio choo, kuna vyoo vya kisasa hadi unaogopa na ni Chuo cha SerekaliKaribia vyuo vyote wapo hivo sio udom tu,
Very true,,,Uongo UONGO UONGO UONGO, kuna Chuo nikikupeleka chooni unaweza ukasema hiki sio choo, kuna vyoo vya kisasa hadi unaogopa na ni Chuo cha Serekali
Mama yao msemaji wa Chuo kasema ni UONGO, Chuo hakina kunguni wa kutisha ingawa kunguni wapo kila sehemuKwenye kunguni ni tatizo sana
Hao uliowataja wana tabia ya uchafu?Wabongo kwa uchafu, utafikiri Wasomali na Wapemba?
Nakwambia huyo jamàa hajui kuna vyuo vina vyoo vizuri na wale watu wa usafi wanapiga kazi kuhakikisha choo kinakua safi mda wote, alafu sio tu choo ni choo cha kisasa choo bafu la kisasa sio kulenga choo cha shimo sekondari primary, choo km wanatumia maofisa kumbe wanatumia wanafunziVery true,,,
Uko sahihi kabisa mkuu!Watanzania wengi hawaja fikia level ya ustaarabu.
Na hii ni my own observation...
Waafrika hasa watanzania wana Asili ya uchafu karibu kila mahali.
Unaweza weka kila miundombinu ya usafi lakini ikaharibiwa au isitumiwe kabisa.
Sahihi kabisa, nimesoma SUA, postgraduate aisee kuna watu unawaangalia unatikisa kichwa kwa masikitiko, Yani ni wachafu wachafu ajabu, anaenda chooni bila maji hata kidogo, aibuuu, kule maji yanasumbua Ila Kuna madumu tunachotea maji lazima uwe nayo room kwako Kuna wengine uchafu ni jadi yao, Pedi wanatupa hovyo hovyo PhD huyooo! Aiseee koridoooo inanuka mikojoooooooo jaman khaaaaaKaribia vyuo vyote wapo hivo sio udom tu, baadhi ya wanavyuo wenyewe ni wachafu,nje wanavaa vizuri ila tabia zao sasa
Hilo suala sio la watanzania, ushaelewa hilo suala ni la uongozi wa Chuo wameajiri watu wa kufanya usafi wa vyoo kwanini vyoo vinakua vichafu, unasemaje watanzania kufanyaje?Uko sahihi kabisa mkuu!
mkuu shule zipi izo? kayumba nyingi wanafunzi zaidi ya 700 matundu ya choo ya kuhesabu.Suala la mtu kuwa msafi au mchafu ni la kitabia, na tabia haijengwi kwa siku moja.
Akisubiriwa mpaka aende Chuoni ndipo akafundishwe matumizi sahihi ya vyoo, itakuwa too late.
Alau ungewekwa utaratibu watu waanze kifundishwa kuanzia darasa la kwanza, na kuwepo utaratibu maalum wa ufuatiliaji kuhakikisha kuwa wanayaishi hayo mafunzo.
Kwanini vyuo vingine vina vyoo visafi kwani havina wanafunzi? Tembea uone sio unakaa tu sehemu moja toka tembelea vyuo tofauti utajifunza jambo kila Chuo unachoingia omba wakuelekeze choo kilipo ukaduwae chooniWanafunzi acheni uchafu.
Matatizo mengine yanatatulika na wanafunzi wenyewe.
Wanafundishwa ila watu ni wapumbavuKwenye Orientation vijana wafundishwe,ila Watanzania wengi ustaraabu hawana.Utunzaji wa vitu F
Mboni vyuo vingine visafi hakuna wanafunzi? Au wanafunzi wa UDOM wanatoka Nchi gani? Msituchanganye hapaWanafundishwa ila watu ni wapumbavu
Mtu anatua zigo lake analiacha.
Mtu anaenda oshea chombo chake kwenye sink la kunawa, na anamwaga mabaki ya chakula.
Halafu uje ulalamikie uongozi kweli!
Udom wanafunzi wameendekeza uchafu.
Nadhani ingekuwa busara muwabebe hao wanafunzi wa Udom wakatembelee vyoo vya vyuo vingine.Kwanini vyuo vingine vina vyoo visafi kwani havina wanafunzi? Tembea uone sio unakaa tu sehemu moja toka tembelea vyuo tofauti utajifunza jambo kila Chuo unachoingia omba wakuelekeze choo kilipo ukaduwae chooni
Endelea kuchanganyikiwa Mkuu kama ukitaka.Mboni vyuo vingine visafi hakuna wanafunzi? Au wanafunzi wa UDOM wanatoka Nchi gani? Msituchanganye hapa