DOKEZO Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

DOKEZO Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa sababu kuna maji

Udom maji hakuna,, hadi ukasombelee kisimani.

Lakini kwani kusombelea maji kisimani ndio kunampa mtu authority ya kushusha limzigo lake Bila maji?
Ni ujasiri wa hali ya juu sana.
Ndio maana nikakwambia hilo ni suala la uongozi, waandae bajeti waite watu wa plumber waangalie ni namna gani watavuta maji kutoka visimani kwenda vyooni, mboni Mzumbe Mbeya Campus wameweza UDOM wanasindwa nini kuiga? UDOM nini kinawashinda kuiga kutoka vyuo vingine? Nakuuliza wewe wanashindwa nini?
 
Wewe unaonekana hata Chuo hujafika, hujui unachokisema

Pesa za ada wanazolipa kuna fungu linakatwa kwa ajili ya usafi moja ya usafi ni usafi wa vyoo na vyoo haviwezi kua safi km miundombinu ya maji ni mibovu maji ya shida wanachota kwenye visima mtu anahangaika na kindoo Cha maji akakate gogo wakati somewhere kuna wenzao maji yapo bafuni na vyooni ni suala la kubinyeza koki tu, kwa hio lazima wahoji usiwe zuzu
Nifike chuo Ili nigundue Nini?kama chuoni kwenyewe mnapeleka kunguni na mnachafua vyoo hovyohovyo!?? Bangladesh!
 
Nifike chuo Ili nigundue Nini?kama chuoni kwenyewe mnapeleka kunguni na mnachafua vyoo hovyohovyo!?? Bangladesh!
Mimi sio mwanachuo, huko nilishamaliza kitambo sana sio km wewe ambae hata kukanyaga haujakanyaga
 
Mimi sio mwanachuo, huko nilishamaliza kitambo sana sio km wewe ambae hata kukanyaga haujakanyaga
Nikakanyage Ili nigundue nakuuliza,maphilosopher wote kina Aristotle,Plato, Socrates, Immanuel Kant ,Karl Max walishafanya Yao,Sasa Habiba mie wa watu nitagundua lipi jipya?ni kama we mwenzangu Umegundua Nini huko chuo zaidi ya Plagiarism?
 
Nikakanyage Ili nigundue nakuuliza,maphilosopher wote kina Aristotle,Plato, Socrates, Immanuel Kant ,Karl Max walishafanya Yao,Sasa Habiba mie wa watu nitagundua lipi jipya?ni kama we mwenzangu Umegundua Nini huko chuo zaidi ya Plagiarism?
Kumbe bibie waitwa Habiba ngoja nikufuate private, tuzungumze Jambo moja mkuu
 
Ndio maana nikakwambia hilo ni suala la uongozi, waandae bajeti waite watu wa plumber waangalie ni namna gani watavuta maji kutoka visimani kwenda vyooni, mboni Mzumbe Mbeya Campus wameweza UDOM wanasindwa nini kuiga? UDOM nini kinawashinda kuiga kutoka vyuo vingine? Nakuuliza wewe wanashindwa nini?
Kwahiyo huo muda wanaoandaa bajeti
Wanafunzi waendelee tu kunya juu ya vinyesi vya wenzao!

Mtu mwenye akili timamu huwezi kunya kwenye choo kichafu..
Unakunya unaacha mavi yako!

Mbona inawezekana kuchota maji..
Ukijisikia uvivu, beba kila kitu miswaki sabuni, ukaoge na kunya vyoo vya darasani.
 
Kwahiyo huo muda wanaoandaa bajeti
Wanafunzi waendelee tu kunya juu ya vinyesi vya wenzao!

Mtu mwenye akili timamu huwezi kunya kwenye choo kichafu..
Unakunya unaacha mavi yako!

Mbona inawezekana kuchota maji..
Ukijisikia uvivu, beba kila kitu miswaki sabuni, ukaoge na kunya vyoo vya darasani.
Kwani hicho Chuo kinaongozwa na Mazuzu? Usitake nitukane hapa bure
 
Issue sio wanafunzi nyinyi hamuelewi nyinyi mnajifanya km hamuishi na watoto ushawahi kumpa mtoto remote ya TV ukamuona anavyoifanya baada ya Nusu saa? Huna watoto wewe? Hauishi na watoto? Utasema kwani wanavyuo ni watoto? Acha ujinga
 
Issue sio wanafunzi nyinyi hamuelewi nyinyi mnajifanya km hamuishi na watoto ushawahi kumpa mtoto remote ya TV ukamuona anavyoifanya baada ya Nusu saa? Huna watoto wewe? Hauishi na watoto? Utasema kwani wanavyuo ni watoto? Acha ujinga
Mkuu huko vyuoni tumepita Kuna watu ni Wachafu sana. Pamoja pia na miundo mbunu kuwa mibovu.
 
Mkuu huko vyuoni tumepita Kuna watu ni Wachafu sana. Pamoja pia na miundo mbunu kuwa mibovu.
Nimekuuliza watoto sijakuuliza watu usijitoe ufahamu, una watoto au huna watoto? Ushafanikiwa kuzaa?
 
Ninao wengi tu
Basi ndio ujue wanaoenda kusoma pale ni watoto wameacha wazazi wao huko majumbani kwa hio kuna namna ya kuwa-handle watoto na kuwajengea miundombinu rafiki sio unawaweka km mifugo fulani alafu unasema Mimi kuna watu nilisoma nao, nonsense hauwezi ukasema sijui Mimi nilisoma na watu fulani wakawa hivi na hivi nimekwambia km una watoto utakua umenielewa km huna watoto huwezi kunielewa
 
Hilo suala sio la watanzania, ushaelewa hilo suala ni la uongozi wa Chuo wameajiri watu wa kufanya usafi wa vyoo kwanini vyoo vinakua vichafu, unasemaje watanzania kufanyaje?
Mkuu, nimesema hivyo kwa uzoefu. Nilikuwepo UDOM kuanzia 2008 - 2011. Ingawa usafi ulikuwa ukifanyika kila siku, hilo halikuzuia vyoo kuchafuliwa. Vingeweza kusafishwa Jioni, lakini kufikia kesho yake Asubuhi, vikawa vimeshatumika ndivyo sivyo.

Ukiacha ya UDOM, nimeshashuhudia vituko vilivyofanywa na watu kazini kwa kutumia choo na kukiacha kikiwa hakijaflashiwa, n.k., tena kwa siku za hivi karibuni. Halafu sasa waliofanya hivyo ni watu ambao usingeweza kuamini:
1. Amesoma
2. Mtu mzima
3. Kiongozi kazini

Kwa mwaka huu tu, nimeshashughulika na kesi kama nne nilizofikishiwa na wafanya usafi mahali ninakofanyia kazi. Na ujue hizo nne ni kesi zenye ushahidi unaothibitisha walioufanya huo upuuzi.

Hao wachafuzi wa vyoo hawakuwa raia wa ng'ambo, bali Watanzania, kama ilivyo kwa wanafunzi wa UDOM. Hiyo ni sababu mojawapo inayonifanya niamini kuwa Watanzania bado wapo nyuma sana katika ustaarabu wa kutumia vyoo. Ninakubaliana na mtu mmoja ambaye alishawahi kusema kuwa VYOO VILIKUJA KWA NDEGE, kwa hiyo havijazoeleka kwa Watanzania wengi.

Angalia picha mojawapo ya vyoo vya Kitanzania. Kwa nini kaandika hivyo? Unakionaje? Kingekuwaje kama kingekuwa kinatunzwa na kutumiwa na Wazungu lakini papo hapo kilipo?
 

Attachments

  • IMG_20231030_173553.jpg
    IMG_20231030_173553.jpg
    713.4 KB · Views: 3
  • IMG_20231030_173533.jpg
    IMG_20231030_173533.jpg
    638.8 KB · Views: 3
  • IMG_20231030_173530.jpg
    IMG_20231030_173530.jpg
    614.3 KB · Views: 3
nilichoelewa sasa baada ya maelezo mbalimbali yaliyotolewa hapa, ni kuwa

• chuoni kuna maji - ni maji ya kisima, unakinga na ndoo unasepa na maji chooni.

• wasomi wanaona uvivu/aibu/hawapo tayari kuingia chooni wakiwa wamebeba ndoo ya maji mkononi.

• wasomi wameendelea kutumia vyoo pasipo kutumia maji kwa sababu maji ni ya kubeba mkononi kutoka kule nje.

kama haya ni ya kweli basi kuna shida kubwa vichwani kwa hawa wasomi coz hawazingatii kanuni ya msingi ya usafi wa mwili. maana kwa lugha rahisi hawa muda mwingi wanatembea na ma.vi mat.ako.ni (hakuna lugha rahisi zaidi ya hii).

ni kweli uongozi unapaswa kuweka maji humo vyooni lakini bado kundi la wasomi halitegemewi kufanya mambo ya ajabu kama haya mithili ya wanyama au watu wasioenda shule eti kwa kisingizio cha maji kuwa nje ya choo.

hapo tatizo pia ni ublazameni na usistaduu. mtu anaona soni kubeba ndoo ataonwa na fulani. anachagua kwenda kujipaka ma.vi atembee nayo! ajabu sana hii.

hawa wasomi waende vyuo vingine waone wenzao walivyonyooka kwenye hayo mambo ya usafi.
 
Back
Top Bottom