Mnauonea uongozi bure
Shida ni wanafunzi wenyewe wachafu.
Dada wa usafi anamaliza kufanya usafi,mtu anaenda tua mzigo wake pale..utadhani mtoto mchanga asiyejitambua.
Watu wanatupa uchafu hovyo, kwanini vyoo visizibe??
Kama kila mtu angetunza hivyo vyoo Kwa kuzingatia usafi
Kila mmoja angeenda chooni na maji ya kutosha , ile hali isingekuwepo .
Wanafunzi acheni uchafu.
Matatizo mengine yanatatulika na wanafunzi wenyewe.
Maji kutokutoka bombani bado si kigezo Cha mtu kutua mzigo wake na kuuacha..
Kavute maji kisimani
Kama huwezi basi katumie vyoo vya madarasani umalize mambo yako huko,, mara nyingi huwa na maji.