Hii nimetoa kukuthibitishia kuwa ulichaguliwa UDOM na bado unasoma UDOM ndio maana imekuwa rahisi kwako kutetea kuhusu chuo hicho,Unaonekana umetokea vijijini mkuu! kwahiyo kuna uhusiano gan hapo?
Achana nae huyo ni mtoto alianza cho 2021, mo lazima akitetee chuo, hajui kuna watu huifahamu UDOM kuliko hao wanafunzi.
Vyuo gani hivyo unavyozungumzia ebu taja kimoja.Hii nimetoa kukuthibitishia kuwa ulichaguliwa UDOM na bado unasoma UDOM ndio maana imekuwa rahisi kwako kutetea kuhusu chuo hicho,
Ungekuwa unasoma vyuo vingine kama ulivyoonesha jinsi ulivyochaguliwa usingeijibia UDOM,
Udoso bhana
Binadamu bwana. Sasa si umjibu tu kwa hekima hata kama yupo nje ya mada. Kwani kutokea vijijini ni dhambi. Au vijijini hawaishi watu, so watu wote lazima watoke mjini?Unaonekana umetokea vijijini mkuu! kwahiyo kuna uhusiano gan hapo?
Hakuna,wagogo ndio mna Tabia ya kunya porini halafu mnachamba na mchanga au magunzi ya mahindiwengi wasukuma pale, unategemea nini. Wasukuma mpaka wastaarabike mtangoja sana. Wanajichamba na vikaratasi na mpaka magunzi na hawaelewi. Oga yao yenyewe shida.
Sasa chawa picha ya ni waPicha
Itoshe kusema haujitambuiAcha porojo na kupondea chuo mkuu, kwanza nina wasi wasi na degree yako na pili anaepaswa kutumia choo kwa ustaarabu ni mwanafunzi mwenyewe sio kazi ya chuo. wafanya usafi wanajitahidi kufanya usafi wa vyoo ila shida ni wanafunzi wenyewe wala sio chuo. pia umesomea degree gani hapo UDOM inaonekana kichwani mweupe kabisa hakuna msomi mwenye hoja za kipumbavu kama wewe. unataka ufundishwe hadi kutumia choo kistaarabu na chuo? vitu vingine sio vya kuleta huku ni kujitia aibu tu.
Yaani ni aibu kubwa sana, hivi wanajisikiaje kila mara kudhihakiwa kuwa wao ni chuo cha kata?Uongozi wa Udoso wanabidi wajitafakari
Chooni na bafuni maji yanabidi yasikatike Sasa mwananfunzi abebe ndoo 😎✌️
Asee numekumbuka kipindi tupo miaka ya jakaya mwanzon.daah asee UDOM hakina hadhi ya kuwa university kabisa vyoo vichafu,ustaarabu 0 yani ukiwa udom kama unasoma diploma ya mifugo TuNimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.
Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.
UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU
"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseeeeh...Dodoma kuna shida ya maji,hivyo wanakunya Mav.I magumu sana na yananuk.a sana
Umehitimu zako sekondari huko kwenu isungangwanda. Unaambiwa umepangiwa kwenda chuo kikuu XX.Hilo la vyoo siyo UDOM tu ni Tanzania nzima, Mtanzania hana kabisa utamaduni wa kuweka usafi wa vyoo.
Elimu kubwa sana kwa vitendo inahitajika hapo.
Wewe utakuwa UDOSO tena kwa uandishi wako huu utakuwa CIVE.Unazungumzia maji gani hayo mkuu? nenda udom ukaone kila block kuna matenki makubwa mawili ya maji. ishu kubwa hapo ni wanafunzi wenyewe kutojitambua na haiwezekani chuo kikubebe maji hadi chooni ukajisaidie huo utakua ni upuuzi mkuu. Pili; ukisema kuwekwa kwa system za maji mpya ilo sio jambo dogo na linahitaji muda wa kutosha na fedha za kutosha. kukarabati miundombinu kwa kile chuo huwezi kukurupuka tu ukaanza ukarabati inahitaji fedha za kutosha. Tatu; wanafunzi wanashauriwa wanunue vyombo vya kuhifahia maji kama majaba na ndoo ila shida unakuta room nzima hawana ndoo wala jaba sasa unataka chuo kikununulie jaba la maji! unadhani vyoo havitokua vichafu kwa style hiyo?
Basi umenithibishia nilichomwambia, huyu dogo tayari nimeshamfahamu.Habari wakuu wa jf ,nimechaguliwa
UDOM - Diploma in pharmacy
OPEN UNIVERSITY - Bachelor of science in information and communication technology
ST JOSEPH - Bachelor of science with education in bios and chem. je nikasome kozi gani hapo kwa kuzingatia kigezo cha kujiajiri
Unaukumbuka uzi huu kamanda zink, wewe ni kijana mdogo sana Zink
Nimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.
Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.
UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU
"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
Naweza kuishi kwa starehe sehemu yenye njaa ya chakula ila si kwenye makazi yenye vyoo vichafu. Hakuna kitu nakichukia hapa duniani kama vyoo vichafuNimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.
Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.
UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU
"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.