Achana na Mwanachuo!

Usijali atakutafuta akimaliza chuo maisha yakianza kumtandika
Yaani nikikumbuka maisha ya chuo, mmh sidhani kama nitakuwa na hisia na yeye. Alafu nilimuuliza kama ameanza kunywa pombe, akajibu "mara moja moja" nikaona wazi kuwa ashapotea.
Kwahiyo akimalza sidhani kama nitamuhitaji
 
Sina neno la kusema hicho kilichonikuta mm mwaka juzi.Ila lilinikomaza sn lile jambo.Now najiona katili kwenye mapenzi kumbe la hasha ndo natakiwa niwe hivo
Lipi hilo? Tushirikishe ili tupate somo 😄😄😄
 
Kwa hiyo Mkuu ulitaka wewe ukonzako huko Kaskazini mwenzio yupo Dar kwamba hapo kuna mapenzi.mlisha ambiwa fimbo ya mbali haiui nyoka.
Kiukweli nilihisi mapema kuwa haitakuwa rahisi lakini ukishaingia penzini huwa unajpa moyo
 
Ni kweli mzee kwangu haitatokea tena lakini nna hofu na vijana wenzangu
 
Kosa ulilo fanya ni kutaka weka ratiba ya mawasiliano yani na vituko vyote bado unaamini ni kweli kabanwa?kama mtu hakupendi ni hakupendi tu

Mimi unakut nina pepa natakiwa jisomea ila msg moja hadi tano za kujulia mtu hali huwezi shindwa andika sasa iweje yeye ajidai yuko busy kiasi hicho?

Nishakuwa na demu wote tulikuwa wanachuo vyuo tofauti hata ratiba ni tofauti pia alianza marue rue siku ya pepa ile week et hanitafuti hadi anaenda chuo na anakaa town anafika anafanya pepa anarudi home jioni ndo labda naweza pata msg moja ukiuliza anasema yuko busy

Nikachoka dawa ya moto nimoto nikatafuta wa kuniweka busy ..


Ukimsumbua sana na yeye anapata nafasi ya kucheat vizuri



Ila akiwa anacheat na uko zako busy yeye pia anakuwa anawaza au na wewe unafanya kama yeye anavofanya hata hamu yakuendelea anakosa mpe muda usimwambie umemuacha fanya mambo yako
 
NATAMANI NIJUE...NINI KILIENDELEA...VIPI MAISHA YAKE BAADA YA CHUO...PENZI LIMEFIKIA WAPI?
Niliacha kumtafuta ingawa yeye alikuwa anaakaa kama mwezi au miezi kadhaa anantafuta kwa salama tuu nami namjibu vzuri lakini sikuwahi kuingiza mapenzi tens.
Bado anasoma hajamaliza
 
Kosa ulilo fanya ni kutaka weka ratiba ya mawasiliano yani na vituko vyote bado unaamini ni kweli kabanwa?kama mtu hakupendi ni hakupendi tu

Mimi unakut nina pepa natakiwa jisomea ila msg moja hadi tano za kujulia mtu hali huwezi shindwa andika sasa iweje yeye ajidai yuko busy kiasi hicho?

Nishakuwa na demu wote tulikuwa wanachuo vyuo tofauti hata ratiba ni tofauti pia alianza marue rue siku ya pepa ile week et hanitafuti hadi anaenda chuo na anakaa town anafika anafanya pepa anarudi home jioni ndo labda naweza pata msg moja ukiuliza anasema yuko busy

Nikachoka dawa ya moto nimoto nikatafuta wa kuniweka busy ..


Ukimsumbua sana na yeye anapata nafasi ya kucheat vizuri



Ila akiwa anacheat na uko zako busy yeye pia anakuwa anawaza au na wewe unafanya kama yeye anavofanya hata hamu yakuendelea anakosa mpe muda usimwambie umemuacha fanya mambo yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…