Achana na Mwanachuo!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Babuuuu nimechekaass mnoooo, sijui nimewaza nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili suala la ku generalize ndo tunakataaa,. Mbna wengine wapo chuo last yr now na penzi lao lilianza wakiwa 4m 5, hakuna tatizo?

Upuuzi ni wa wengi, sio woteee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanichekeshaaa sanaaa.
 
Sasa mtu utoke mkoa uzamie hostel ya chuo kumfata mpenzi wako, km sio uchizi n nn?
 
Kiukweli wanawake wa chuo hawafai waupekeni mbali na kuwaoa labda ujitoe akili hasa hawa waliofika chuokikuu bora hawa wanaosoma certificate au diploma
Kwamba wa certificate na Diploma wanakuaje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wote wale wale tyuuh.
 
Mbavu zangu mie uwiiiiiih. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili suala la ku generalize ndo tunakataaa,. Mbna wengine wapo chuo last yr now na penzi lao lilianza wakiwa 4m 5, hakuna tatizo?

Upuuzi ni wa wengi, sio woteee.
Sasa kama katika watu 100 wanaoweza kutunza kiapo ni wawili af 98 wanazingua conclusion itakuwa ni ipi hapo?
 
Sasa kama katika watu 100 wanaoweza kutunza kiapo ni wawili af 98 wanazingua conclusion itakuwa ni ipi hapo?
Wengi wao, sio woteee
Yaan hata angekua m1, conclusion ya "wote" imekufa automatically na generalize haitakiwi kuwepo.
 
Hizo ndoa za vyuoni ni kama toroli za supermarket, kazi yake ikiisha unaacha hapo hapo huondoki nalo
 
Mmmh, ukiwa na malengo na mtoto wa chuo umekwisha. Lazima wakiingia huko wapate watu wapya, fikra zinabadilika na lazima utemwe au upangwe tu hakuna namna.
Mnatushauri nini sis wenye watoto wetu wa kike. Maana haya mambo kwamba mwanangu anamkwe wangu Mimi sijui nawaza kwamba huyu ng'ombe ananiomba pesa ale na mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…