Achana na Mwanachuo!

Achana na Mwanachuo!

Kama hubaniwi mbususu hebu jaribu kucheza nafasi yako mkuu.

Hudumia pale unapoona kuna namna unaweza pata mbusus la sivyo utaliwa.

Hao wanachuo hua tunawasubiri likizo au wakimaliza, miaka 3 sio mingi mkuu. Akimaliza utamchapa mpaka umfukuze mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Wanaolewa kabisa kwa miaka mitatu au miwili mizima wakiwa vyuoni majamaa yanakula na kupakua chumba kimoja. Kinachokosekana kwenye ndoa hizi za vyuoni ni makaratasi tu. Halafu unakutana naye anakwambia eti mi sijawahi kuolewa. Kumbe alishaolewa ndoa bubu na si ajabu hata mimba kibao alishatoa. Wengi wao walishatumika sana kingono kwa kweli na kutokana na kuumizwa huko baada ya kutemwa ndo maana wengi wao wanaishia kuwa ma feminists uchwara! Ndiyo maana ndoa za wasomi hawa zinaongoza kwa talaka! [emoji706][emoji706]
Babuuuu nimechekaass mnoooo, sijui nimewaza nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahah kwa wanachuo ni kawaida hio tabia wako nayo. Lazma apate boya wa kumchachua na kumformat akili kiingia chuo tu. Unajua chuo kuna aina flani ya maisha ambayo yanawachanganya sana wadada hata awe mjanja kiasi gani.

Ukifika wakati unaagana na demu wako anaenda chuo kama hampo mkoa mmoja ni muda muafaka wa kuweka mashada juu ya kaburi la penzi lenu. Atakudanganya atajitunza kwa ajili yako hio ni uwongooo... Uwongoo hio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Cha kufanya tafta sub tu mapema.
Hili suala la ku generalize ndo tunakataaa,. Mbna wengine wapo chuo last yr now na penzi lao lilianza wakiwa 4m 5, hakuna tatizo?

Upuuzi ni wa wengi, sio woteee.
 
Mtoto wa kike atoke kwenye poor family
Aingie chuo wadanganyane eti soon after school watapata kazi ila usisasahau viboom hapo anavipokea .

Dear rafiki hawezi kuwa yule mliyekuwa mnashinda naye mtaani hata buku hamna

Sio watoto wa kike tu hubadilika hata baadhi ya vitoto vya kiume vikifika chuo huhisi vimemamliza maisha na sasa viko maisha mengine

Dawa ni kumuacha amalize atarudi whether kwa kupiga magoti au kwa shetani aliyesahau mbuyu wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanichekeshaaa sanaaa.
 
Mkitoka mikoani msiwafate hostel kuwafumania mtaishia kuitiwa mwizi unapoteza maisha ishatokea hii binti wa chuo kumuitia ex wake wake alipojichanganya kumsuprise akakuta yupo chini ya kifua cha mwanachuo mwenzake, jamaa akapigwa akafa. Mtu akishaenda chuo achana nae msubirie likizo akija. KILA eneo lina mmiliki wake.
Sasa mtu utoke mkoa uzamie hostel ya chuo kumfata mpenzi wako, km sio uchizi n nn?
 
Kiukweli wanawake wa chuo hawafai waupekeni mbali na kuwaoa labda ujitoe akili hasa hawa waliofika chuokikuu bora hawa wanaosoma certificate au diploma
Kwamba wa certificate na Diploma wanakuaje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wote wale wale tyuuh.
 
Mkiwa mikoani mnadiss wanaume wa Dar. Mkija Dar mnakimbiwa, wachumba wamenogewa kupiga blow jobs ndingani.
Na hivyo vitoto vinavyokuja kusaka degrees vyuo vya Dsm vinagongwa kwa kupelekwa swimming tu ya 10k, dinner na kawine ka elfu 5.

Ugeni wa mji mbaya.
Mbavu zangu mie uwiiiiiih. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili suala la ku generalize ndo tunakataaa,. Mbna wengine wapo chuo last yr now na penzi lao lilianza wakiwa 4m 5, hakuna tatizo?

Upuuzi ni wa wengi, sio woteee.
Sasa kama katika watu 100 wanaoweza kutunza kiapo ni wawili af 98 wanazingua conclusion itakuwa ni ipi hapo?
 
Sasa kama katika watu 100 wanaoweza kutunza kiapo ni wawili af 98 wanazingua conclusion itakuwa ni ipi hapo?
Wengi wao, sio woteee
Yaan hata angekua m1, conclusion ya "wote" imekufa automatically na generalize haitakiwi kuwepo.
 
Wanaolewa kabisa kwa miaka mitatu au miwili mizima wakiwa vyuoni majamaa yanakula na kupakua chumba kimoja. Kinachokosekana kwenye ndoa hizi za vyuoni ni makaratasi tu. Halafu unakutana naye anakwambia eti mi sijawahi kuolewa. Kumbe alishaolewa ndoa bubu na si ajabu hata mimba kibao alishatoa. Wengi wao walishatumika sana kingono kwa kweli na kutokana na kuumizwa huko baada ya kutemwa ndo maana wengi wao wanaishia kuwa ma feminists uchwara! Ndiyo maana ndoa za wasomi hawa zinaongoza kwa talaka! [emoji706][emoji706]
Hizo ndoa za vyuoni ni kama toroli za supermarket, kazi yake ikiisha unaacha hapo hapo huondoki nalo
 
Mmmh, ukiwa na malengo na mtoto wa chuo umekwisha. Lazima wakiingia huko wapate watu wapya, fikra zinabadilika na lazima utemwe au upangwe tu hakuna namna.
Mnatushauri nini sis wenye watoto wetu wa kike. Maana haya mambo kwamba mwanangu anamkwe wangu Mimi sijui nawaza kwamba huyu ng'ombe ananiomba pesa ale na mwanaume
 
Back
Top Bottom